Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mimi sio mgeni hapa JF, Kuna wakati apo nyuma nilikuja kuomba ushauri juu ya binti ambae nilikuwa nimempenda Kwa mara ya kwanza kwenye maisha Yangu, binti ambae bila ya sababu yoyote aliniaacha...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Leo nimeamka na mood za kutosha kwakweli.....then nikapita kwenye app ya mdada mmoja maarufu aliyekuwa ameelezea namna ya kufanya kwenye mahusiano unapokuwa na mwanaume ili aone upendo wako na...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Nimejikuta tu ghafla nimetokea kuwapenda wanawake wanaovaa nguo za kiume tomboys au nikimuona mwanamke kavaa nguo za kiume navutiwa nae..unamkuta pisi Kali imevaa jezi kwa juu...
9 Reactions
68 Replies
4K Views
Hello , Ndoa nyingi hasa hizi za fasheni zimekuwa chanzo Cha umaskiini, ufukara, watoto fedhuli wa mitaani, ndoa hazina maadili, ndoa ni dhuluma yq nafsi za watu wanaochapiwa wanakesha bar...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Salaam. October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana. Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua...
31 Reactions
198 Replies
6K Views
Kama unataka kuwa na mwanamke zingatia ratio ifuatayo; 1. Mwanamke nayependa outing hotels, pamba kali, lavish apartment, simu nzuri na Usafiri. Rafiki yangu hapo lazima uwe highly paid, waleti...
13 Reactions
14 Replies
921 Views
Mimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me Nachukiwa vibaya mno Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana...
8 Reactions
146 Replies
5K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Amini nawaambia kwamba, wasichana/wanawake wastaarabu bado wapo. Unaweza ukajiuliza kwanini wewe hukutani naye, hukutani naye kwasababu unatumia akili za kibinadamu...
15 Reactions
52 Replies
3K Views
Hali si shwari, wanandoa wanalalamika, mke amekuta meseji 👇 kwenye simu ya mumewe, kumbe mjadala wa kutooa unajadiliwa ng'ambo ya pili pia
1 Reactions
11 Replies
775 Views
mchana huu wa leo niliweka >> uzi huu<< kilichotokea jana mimi (28) nilienda kufunga hesabu, binti wa kazi (19) akiwa kaketi pembeni niliingia tamaa nikaanza kumkiss na kumcaress huku nae akitoa...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Daaah nimeshangaa sana Kama mada inavyojieleza hapo juu Kuna mwali bonge bonge guu la bia ila tako pasi Nikawa na imani huyu japo ana tako pasi ila litakua laini teketeke Salamaleko nimekutana...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Jana usiku wakati mnaenda kulala mlikuwa fresh tu. Mmelala ila hukumpelekea moto, asubuhi anaamka amenuna. Anaamka anafanya kazi zake za asubuhi hakusemeshi. Kama mna watoto, yaani ni full...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakati muafaka wa kutulia katika mahusiano(Ndoa) ilikuwa ni pale ambapo mwanaume ameshaweka akiba ya kutosha au anamsingi mzuri wa uchumi kama kazi nzuri au biashara yakueleweka. Mambo ya mahaba...
1 Reactions
9 Replies
526 Views
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu.. Bila ya kupepesa macho niwaambie wanaume wenzangu ukweli ulio mchungu kabisa, Kama mke ulie nae, mpenzi au mchumba hukumkuta Bikra jua kabisa ni mke halali wa...
8 Reactions
46 Replies
3K Views
Hey there, i'm using JF Wenye imani ya dini kama yangu na wengine ambao upendelea kujifunza vitu haijailishi chanzo cha hayo maarifa natumai tutakuwa tunaifahamu hii hadithi maarufu sana "Ndoa ni...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
Mambo manne yanayovutia wanawake Kwa wanaume 1 Uwezo wa kukidhi mahitaji yake: Mwanamke anatamani uchukue usukani wewe mwanaume uwe mpaji wa mahitaji yake.Hii haijalishi anafanya kazi au hafanyi...
8 Reactions
98 Replies
2K Views
Zamani mwanaume akitaka kumuoa Binti, alichunguza vigezo vingi Sana ambavyo vilipekea Kwa kiasi Fulani ndoa kuwa na amani lakini sasa hivi mambo yamekuwa ndivyo sivyo VIGEZO AMBAVYO WANAUME...
1 Reactions
2 Replies
942 Views
Habari Nilikuwa napitia uzi wa member mmoja hapo nimemsikitia yeye na asilimia 90 ya wanaume waliochangia kwenye huo uzi Mmesoma biblia na qur-an, mungu hakuchukua mabonge mawili ya udongo...
19 Reactions
46 Replies
2K Views
Back in 97 or so after High School, I knew this girl young and so beautiful Getting to know her wasn’t so easy I must tell ya But I won her heart, eventually, yay! The chemistry, biology, you...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Tumekuwa tukiingia kwenye ndoa au mahusiano na watu tusiowajua historia zao vizuri kiundani na kupelekea kuoa au kuolewa na viumbe wanye tabia za ajabu zikiwepo za kishirikina. Usilidhike na...
8 Reactions
56 Replies
23K Views
Back
Top Bottom