Baada ya kufanya utafiti wa Maika 07. Nimebaini kuwa miongoni mwa mambo yanayorudisha vijana nyuma kimaendeleo ni mahusiano.
Mahusiano ambayo hayana mbele wala nyuma ni tatizo kubwa sana kwa...
Asalaam aleykhum ndugu zangu wapendwa,
Nina mtoto mdogo wa kiume ambaye tangu alipozaliwa uume ''mashine'' yake haijawahi onekana inasimama hata wakati akiwa anakojoa.
Hali ile tulivyoigundua...
Naomba kuuliza,
Hawa wadada wazuri wazuri wenye shepu zao, wanaocheza cheza na kuonyesha maungo yao kwenye mitandao ya kijamii, wanamaanisha wamekosa waume wa kuwaoa na wapo kwa ajili ya...
Kuna huyu mchumba wangu tuna miaka kama nane kwenye uhusiano, kipindi chote nikiwa nasoma almost miaka 5 ya udaktari yaan sijawahi kuwa na pesa kabisa zaidi mimi ndio nilikuwa namtegemea yeye...
Wakuu mmebarikiwà sana na Mwenyezi Mungu wote.
Aisee wakati nipo advance nilipata binti mmoja WA kinyiramba na tulipotezana baada ya Mimi kuhitimu advance nikaenda mkoa mwingine.
Ilipita miaka...
Yes ni muhimu sana kushirikiana kwenye tendo la ndoa ili kuongeza furaha,amani kwenye ndoa au mahusiano.
Tuwe tunaongea kujua kila mtu apendacho kuanzia romance staili za na mbinu za na kila mtu...
Habarini Wana JF..
Ni yuleyule Mr. Liverpool A.K.A YANGA BINGWA.
Sasa story iko hivi..
Juzi nilisafiri kwenda Mbeya (hata navyoandika huu Uzi nipo Tunduma@Songwe) kufatilia bidhaa fulani hivi...
Ili neno ndugu zangu msijaribu wa kike na wakiume kwenu. Leo nameletewa barua toka mahakamani bila kujua Mombasa wakati mke wangu Tanzania hafahamu kinachoendelea.
Huyu mtoto wa Kimombasa kwa...
Waungwana salamu kwanza kama ilivyo desturi yetu.
Hii week kwangu ilikuwa hectic kidogo lakini pia nilipata nafasi ya kusafiri hadi kanda ya ziwa ndani ndani huko na kukutana na watu wapya hivyo...
Wanaume huwa tunapitia changamoto nyingi sana za kimahusiano, na kupelekea familia zetu kutetereka; na kama hukujipanga vizuri, majuto huwa ni mjukuu.
Kimaumbile, mwanaume ameumbwa kutamani, na...
Don’t expect people to be there for you just because you were there for them.
The reality is, not everyone will be there for us when we need them, regardless of how much we've done for them in...
Hii ni baada ya kuwashilikisha idea yangu ya kuuza nyumba ya mke mkubwa iliyo kando mwa barabara ya lami ili kufanya miradi mingine ya maendeleo
Ni jambo la kushukuru kwa kuwa baada ya mauzo ya...
Happy Sunday to everyone!
For all who are in marriage, both men and women, despite of human imperfections, did you marry the right person? if we could turn back time, would you still choose the...
Siku nyingine jua la kawaida
na upepo mwanana Kwa mbali.Nimeamka na furaha sana.
Nikajiandaa fresh na chukua funguo zangu za JEEP na kuzama ndani ya mkoko wangu Moja Kwa Moja Hadi klabu...
Ipo hivii huu ni mchepuko ambao tulikuna maene yangu ya kazi. Tulibadirishana namba na kuendelea kuangalia status zetu.
Basi siku moja alikua kapost yupo out nokakoment "Upo kiwanja kizuri ila...
Haya majina watoto wakike mnaweza kuwa mpo hapa JF ila kwa kweli mnakismart kwa wapenzi wenu ila walishindwa kuelewa umuhimu wenu.
Leo naangalia jina ambalo nilikuwa na mahusiano naye...
Mapenzi ya kichuo chuo yalikuwa yana raha sana; siku kama ya leo muda kama huu, unakuwa umepigilia pamba huku ukinukia vizuri, na kumchukua baby wako, labda mko mwaka mmoja au mmepishana, mnaingia...
Ulimwengu umebadilika sana. Mimi kama kaka yenu nayaona mambo kwa utofauti sana na ninyi ambao hamjakua vema. Kuna vitu vingi sana watoto wa kiume mnaachwa nyuma na jamii haiwapi umuhimu tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.