Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za...
10 Reactions
277 Replies
8K Views
Habari za asubuhi, Wana JF Hivi kwa nini wanawake mnapenda kuanika sana madhaifu yetu, mnapokuwa na watoto Najua tupo kwenye ugomvi Mambo ya chumbani yaishie ukouko ndani, unayaleta mpaka...
5 Reactions
58 Replies
2K Views
Mpenzi wangu kaniacha, kasema ameota anavishwa Pete na mtu mwingine, hivyo kasema mm sio mpango wa Mungu kwake. Ni fanye nini mm. ( Huu ni ujumbe niliotumiwa na rafiki yangu Jana anaomba tumshauri)
2 Reactions
13 Replies
499 Views
Najuta kuoa mwanamke Historia ya ukoo wao hakuna mwenye gari passo wala elimu. Vijana mmekuwa mkilalamika kuhusu koo zenu mpaka wenyewe ndio maana mama zenu wanawaongezea ndugu kwa baba wengine...
0 Reactions
2 Replies
373 Views
Majaribu kila siku yananiandama mimi tu, nina wiki nimekimbia ninapokaa na kuacha kodi ya miezi 2 ikiendelela kisa mke wa mtu, Hapa nilipoamia sasa ni siku ya tatu kuna binti, mpangaji mwenzangu...
9 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, poleni na heka heka za kusaka shekeli. Ndugu zangu na wanafamilia katika jukwaa hili nipende kuwashukuru Wote mlionitia moyo kufuatia changamoto ya Fangasi waliokuwa...
2 Reactions
2 Replies
408 Views
1. Una miaka chini ya 35 2. Umeoa mke mzuri na mnapendana 3. Mna Afya njema 4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale 5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi 6. Sio matajiri ila pesa ya...
10 Reactions
47 Replies
2K Views
Wanaume tunateseka kweli, yaani unashinda kutafuta pesa kwa njia yoyote ili mwisho wa siku nyumbani kueleweke, unajitahidi kutoa pesa kwa malengo ikitokea lolote kuwe na akiba, lakini wake zetu...
2 Reactions
23 Replies
995 Views
Mwanamke anapenda ajisikie amani kwako ili aweze kujiachia. Kama mwanamke wako siku hizi unaona; Hana hamu ya kufanya mapenzi, Uke mkavu, japo zamani alikua ukimgusa tu maji yamejaa, Au zamani...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Huu ni mfumo uliomtoa mwanamke kutoka kuwa tegemezi na kumfanya kuwa tegemezi zaidi. Kwa kisingizio kuwa wanahaki sawa na wanaume....! Yaani kumpaka mwanamke mafuta kwa mgongo wa chupa na...
2 Reactions
9 Replies
559 Views
Sina maelezo mengi ila sikutegemea kufanya chochote kwa siku ya leo kutokana na uchofu niliokuwa nao jana toka kazini, nilitaka nipumzike tu leo lakini tayari nimeshajaribiwa na naona kabisa...
12 Reactions
64 Replies
4K Views
unakuta alikuwa mdingi na heshima zake na nyie mnamwamkia na kumtambulisha kwa watu kuwa huyu ndo mdingizela, kumbe anavyozidi kukua akili zake zinarudi utotoni. imagine siku upo umechill sehemu...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni kweli ukimpenda, ni kweli uli invest kwake, ni kweli mlipeana ahadi nyingi, ni kweli umepoteza muda kwake, LAKINI KWANINI ULIE, KWANINI UKATE TAMAA. Ndugu, MUNGU anasababu kukupitisha kwenye...
0 Reactions
2 Replies
373 Views
Siku za hivi karibuni tumepata taarifa ya mtu maarufu sana duniani Stephen (TWitch) ambaye huonekana akiwa na furaha sana,amechangamka , anacheza na watoto wake na mkewe kiasi kwamba watu wengi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamvi Leo nilikua kwenye kikao Cha familia tukijarbu kusuluhisha hii case, uyu dada ameolewa lakini kuna muda hajiskii tu kukaa na mumewe, yaani according to her kwa maudhi aliyonayo...
3 Reactions
7 Replies
853 Views
*Hello Wana JF, ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Natafuta mke wa kuoa, Ni mwanaume mwenye umri 37, dini mkristu, nimejiajiri, sina mtoto, situmii kilevi chochote,Ila nimpambanaji Sifa ya...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Yaan ni kama Wee Jamaaz Umsomeshe Demu iwe kuanzia shule au Chuo Cha Kati au Chuo Kikuu Kwa ahadi ya Demu Kuolewa Nawewe. Alafu Demu baada ya kusoma ale Kona ... Dai chako !!!! Dai Chako...
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Mimi ni Polisi: Leo Halali Nyumbani Leo, 09/06/2015, nimekumbuka matukio mawili makubwa yaliyonikuta kwa kufuatana na ambayo si mazuri hata kuyakumbuka. Miaka kama kumi na mbili hivi iliyopita...
31 Reactions
142 Replies
21K Views
Tukielekea kwenye mfungo wa ramadhani ripoter wenu kaka shetani kutoka mombasa tumeshuudia kituko cha jamaa kuomba mahali yake wakati harusi imeshafanyika wiki iliyopita. CHANZO: Baada ya...
9 Reactions
55 Replies
3K Views
Mke wa lecturer ananipenda lakini mimi simtaki, nifanye nini wakuu? Mara ya kwanza nilikwenda na Lecturer kwake, siku hiyo mke wake akaniomba namba hadi leo ananimbia niwe naye kimapenzi.
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom