Wana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu...
Hapana Shaka yoyote wengi wetu humu ndani tunajua harakati za DeepPond na mama j, ni mastory ambayo Yana vituko na burudani na mafunzo ndani yake, binafsi huwa sikosi kumsoma huyu mwamba.
Lakini...
Hii ndio njia pekee ya kutongoza bila kukataliwa
Huwa nawaambia wanaume wenzangu.
Nguvu kubwa ya mwanamke iko kwenye "Communication". Mawasiliano
Wakati sisi tunacheza cha ndimu, wao walikuwa...
Madhara ya Maumivu ya Mapenzi; unakosa hamu ya kula, unahisi huwez kuish tena, unakuwa mtu wa hasira.
Unapoteza kumbukumbu, unataka kulipa kisasi, unakuwa addicted na masturbation.
Nimeficha I'd yangu maarufu!
Tumetimiza miaka Saba (7) ya ndoa, ni furaha iliyoje tuna familia watoto wa Tatu.
Mke wangu tulifahamiana JamiiForums, nampenda sana amenifanya nisahau shida na...
Katika mavazi yote nguo za ndani ni siri ya mvaaji.
Kama imeisha ama la,kama iko safi ama la.
kawaida ya nguo hutupwa kila zinapokuwa zimeisha na ni kawaida sana kukuta nguo zilizoisha...
Katika jambo ambalo linarudisha nyuma sana maendeleo sio tu binafsi ya mtu , bali ya familia, jamii na taifa zima basi ni kukosekana kwa utaratibu mzuri wa kuishi ndani ya familia.
Familia ni...
Jana nilikuwa na miadi ya mdada mmoja ambaye nilikuwa namfukuzia muda ila akaleta maringo nikampotezea. Mimi ni muumini wa dhehebu la KATAA NDOA. Sasa juzi huyu dada akanitafuta vuuu msg akaanza...
Muwe na jioni njema
Kaka mkubwa anasema Interlacustrine R
Haijawahitokea Mchepuko akawa pekee na haitatokea kamwe, kiufupi tu Me huwa tunapenda kufa mapema kabla ya siku zetu kwa...
Shughuli ya kuveshana pete nchini Kenya, imenusurika kuharibika baada ya mwanamke Jessica Hawayu kumeza pete ya uchumba ambayo alifichwa kwenye chakula chake (pilau) kwa 'surprise'.
Mpango kati...
Napenda kutoa shukurani zangu kwa Wana JF wote, Mlionipa ushauri, juu ya njia panda niliyokuwepo. Maumivu ya Mapenzi na hisia niliyo kuwa nayo, na washukuru sana. Sasa nimeamua kuwa mtu huru, na...
Yani utakuta unamfukuzia mwanamke mpaka unachoka ,anakuja kukukubalia teyari ushakata nae tamaa kabisa, alafu siku zinaenda anakujakuambia tafuta hela at the sametime anakuambia uchelewe kukojoa...
Watu wakiwa nje dah, makelele mengi; mara naweza kufanya hivi, mara naweza kucheza mdundiko, naweza kusimamia kucha, naweza kulicheza sebene, na hakuna atakayenishinda, mara itakuwa full...
Nina rafiki yangu wa muda mrefu sana yeye anafanya kazi mzuri sana serikalini tumezoeana sana sana sasa ilipita mda sijaenda kwake juzi kati aliniita uku akilalamika umenitupa mdogo wangu utaki...
Salamu nyoooote!
Ni matumaini yangu kwamba nyote my wazima wa afya njema.
Tuende moja kwa moja na mada husika.
Kwanza kabisa naomba nikili wazinya kuwa Hawa Wadada wa kazi wanaotusaidia kazi...
Wakuu, hii mada imekuwa inspired na Ndo maana nikasema sio kila mwanaume
wapo wanaoibiwa hawajui but wengine huwa wana kama sixth sense hivi
au strong connection.....labda Pasco aje...
Habarini za wakati huu ndugu wana-MMU,
Hongereni kwa Majukumu na kwa Changamoto mnazopitia kwani hizo ndio Maisha menyewe. Ni muda umepita toka niweke post yangu hapa MMU.
Mimi ni kijana (31)...
Katika pitapita zangu nimekutana na tovuti ya nofap hii imenipa hamasa sana ukiangalia ukanda mzima huu wa afrika mashariki hakuna tovuti hii kwa jamii yetu
Nimeona niianzishe na teyari nilikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.