Kuna watu wanajua kufanya mamboz aisee. Mtoto ni miss fulani hivi mwembamba yaani, mweupeee ila anabalaa.
Mtoto anajua hadi nasema huyu hana tofauti na Messi kwenye football. Nilipelekwa...
Nimejaribu kufanya kautafiti fulani siyo rasmi sana. wasichana wengi wanajifungua nje ya ndoa- wakiwa mtaani, shuleni, kazini, mchepuko, vyuo vikuu n.k.
Nisaidieni chanzo cha haya masuala na...
Usitupe mtoto chooni, usikinyonge kichanga chako, usitoe mimba, na siku zote mlee mwanao vizuri kwa uangalizi na umakini wa hali ya juu. Huwezi kujua huyo ni nani. Muda ni shujaa wa kweli pale...
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Ngoja niende moja kwa Moja kwenye maada yangu. Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 32. Nilimaliza chuo miaka kadhaa huko Nyuma. Miaka imekwenda miaka inakimbia...
Habari ganj wanafamilia wa MMU, Ni muda sana umepita tangu nilete maada yangu kuomba ushauri. Poleni kwa changmoto za maisha NA misiba iliyoikumba nchi yetu pendwa.
Niende kwenye maada, mie na...
Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hawa wanandoa.
Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni...
Kuna binti mmoja niliwahi kumtongoza akanikataa,basi me nikabembeleza sana ila akawa amebaki na msimamo wake,kwa kweli huyu binti nilitokea kumpenda sana na ikafikia hadi hatua nikawa namhonga...
Nawasalimu wana MMU wote kwa jina la JF, Alasiri hii nimejisikia tu kwa utashi wangu kumuelezea jinsi ninavyomjua Miss Nakadori humu MMU, kwa upande wangu kutokana na thread zake ambazo huwa...
Wakuu hamjambo
Marahabaaa.....
Nimekuja kuwauliza hivi mbona
Hamnaga singo faza mtaani. Yaani huwezi kuta mwanaume mwenye mtoto bila ndoa aitwe singo faza.
Hata kama wapo mbona wana CV nzuri...
Habarini waungwana.!
Niende kwenye dhima ya uzi wangu. Mke wangu mdogo ana week ya pili mguu unamuwasha mno. Naomba kueleweshwa tiba.
Anasema akifanya mapenzi asubuhi hali hii humkuta. Pia ana...
Inawezekana ukafunga ndoa bila kutoa mahari, yaani hata ukiambiwa utoe ukagoma? Mahari ni lazima ili kufunga ndoa?
Mfano mmekubaliana mnaenda kufunga ndoa ya kiserikali au kanisani. Kuna kigezo...
Habari Wadau, niende kwenye mada. Hii imemtokea rafiki yangu amabae ana girlfriend wake wamekaa muda mrefu mdogo.
Katika harakati za kutafuta maisha rafik yangu alipata kazi akapangiwa mkoani...
Ni Hawara yako (Demu wako) kabisa (japo una Mke) na Umeshamjulisha na Kumkataza kabisa asiwe anakupigia Simu Usiku ukiwa Kwako na Mkeo na ikitokea akakiuka Makubaliano na Masharti yako na akapiga...
Aisee,
Mnaoenda mikoani kwa shughuli mbalimbali (hasa msimu huu wa kilimo) kuweni makini Sana na mabinti/wanawake wazur mnaowatamani uko mitaani.
Wee Ni mgeni Umeenda mkoani. Unamuona binti...
TIP YA MIZAGAMUO PART II
RECAP
........ kwenye swala la HISIA ni vizuri kumuonyesha MWANAMKE kuwa unamthamini sio KWASABABU tu pia na sababu zingine kama akili, mavazi, nywele,upole, mshauri...
Kati ya vitu vigumu ambavyo vimekuwa vinawasumbua vijana wengi sikuhizi ni pale anapokuwa ana mapenzi na mtu ambaye kiukwel yeye anampenda kutokana na mazingira labda waliokutana au vitu...
Naenda kupata mtoto wa tatu na mwanamke ambaye sikuwahi fikiri nitazaa naye!
Ipo hivi mwaka jana katika safari zangu za biashara nilijikuta nalala hotel moja Mbeya, sababu ya kulala hapo ni ubora...
Habari JF
Nina mahusiano Mazuri na ninayetaka kumuoa ila tatizo ni kwamba yeye anataka Nimuoe mwezi wa kumi na sio huu wa Ramadhani.
Nina muhudumia kila kitu, naogopa kupoteza pesa mana mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.