Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
"UMRI SIO RAFIKI NITAMLIPA MSHAHARA ATAKAYE NIOA" Haya sasa unaambiwa mwanamke mmoja wa Nigeria mwenye makazi yake nchini Ufaransa ameingia kwenye mtandao ya kijamii kutoa tangazo anahitaji...
2 Reactions
15 Replies
713 Views
Habari za usiku Wana Jf hope wote ni wazima poleni na majukumu ya kujitafutia riziki, Niende kwenye lengo la Uzi, Napenda kushauri serikali yangu na wadau mbalimbali kuwa ni Wakati sasa sahihi...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Tupo na jamaa zangu mitaa ya Mawasiliano Dar, kuna jamaa toka Mbande sijui iko wapi, amekuja jijini akiwa na zawadi kwaajili ya rafiki yake wa kike waliyekutana naye mtandaoni, wamewasiliana na...
18 Reactions
60 Replies
4K Views
Jana nimekaa nimewaza sana tu . WANAUME humu wanaume wanaona kila anayetrend Kwa kucomment ,Kwa posts ni anajiuza ndio mindset yao, so mie nimeona siwezi kuendelea kupretend na kuishi mahali ili...
9 Reactions
43 Replies
2K Views
Niliwahi kusikia ukimsaidia mwanaume ambaye yupo kwenye mkwamo wa kiuchumi, au anapitia changamoto fulani ukatatua changamoto yake baada ya hapo anakuacha akimaliza changamoto anayopitia. Kwamba...
6 Reactions
18 Replies
636 Views
Habari za jioni, Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano. 1. Hayuko tayari kukuoa 2. Hayuko tayari kukutambulisha popote 3. Hayuko tayari kukusaidia...
4 Reactions
130 Replies
5K Views
Wengiwenu mmekua mkijisifia kuwa mnakula na kuwatumia wanaume. Yaani mnakula na kutumbua pesa za wanaume. Ili kumkomoa mwanaume . Nawafichulia tu siri mwanaume utakae mfuja hivyo ni yule ambaye...
9 Reactions
55 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu...!! Poleni na Swaum (Mlioko kwenye mfungo) Kwanza kabisa mie humu sio muanzisha Uzi mara nyingi huwa ni mchangiaji tu japokuwa kuna mambo mengine huwa nayamaliza mwenyewe ila...
1 Reactions
621 Replies
45K Views
Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu. Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu. Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu...
23 Reactions
185 Replies
7K Views
Mambo vipi watu wa Mungu? Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani. Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile...
19 Reactions
857 Replies
107K Views
Yaani unakuta demu akija geto gas yote inaisha utadhani alikuwa anapika Makukuru[emoji41] Bajeti ya wiki mbili unatumia siku moja dah Nina hasira ntamalizia kuandika
27 Reactions
178 Replies
13K Views
Ananipenda sana, ila sina hisia nae hata kidogo... Hana kasoro yoyote, ana sifa zote kuitwa mke, lakini mimi simpendi... Hajawai nikosea, kila siku mimi ndio namkosea lakini haniachi...
3 Reactions
259 Replies
18K Views
Habarini Wana janamvi , Nimeona nianze na heading ili mjue sio kwamba nataka kulelewa Ila najiuliza Kuna upendo kweli apa, ? Mim nilikua nafanya kazi kwa miaka minne nikaacha nikaja chuo kusoma...
3 Reactions
54 Replies
2K Views
Utalipia tu vinywaji..na chakula .
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Kabla hujaingia kwenye ndoa rasmi jiakikishe una uwezo wa kifedha kuhudumia familia yako na wazazi wako pamoja na wamke wako kwa kiasi, otherwise ukienda na matumaini ya kuchangiana na mwanamke...
50 Reactions
334 Replies
16K Views
Jamani najiuliza sijui nimeoa jini sielewi! Huu ni mwezi wa tano kila nikikaribia kuanza minyanduano anaanza kuniambia leo jitahidi bwana! jitahidi angalau utumie saa moja na nusu, anaseti saa...
25 Reactions
106 Replies
7K Views
Salaam, Mwanzo upendo ktk mahusiano/ndoa hua na nguvu sana coz wahusika huziweka wazi hisia zao vile wanavofeel juu ya wenza wao. Jambo hili hujenga bond strong baina yao na kuwafanya...
2 Reactions
0 Replies
427 Views
...Habari! Dada zangu mwanaume kuzaa nje ya ndoa ni jambo la kawaida sana ktk dunia hii. Hii ipo tangu zama za mawe za kale. Sasa kuna wamama wanafura mpk eti wanasusa ndoa! Khaa, ukiondoka dume...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Matukio ya watu kulea watoto ambao sio wao yamekuwa yakileta mifarakano katika jamii kwa miaka mingi. Utakuta mtoto analelewa kwenye nyumba ya baba mnyamwezi lakini ukimwangalia pua na masikio...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom