J pili njema kwa ndugu zetu Wakristo.!
Mfungo mwema kwa ndugu zetu Waislam!.
Huyu ni wa 11 naye amenichukia ghafla tu bila sababu. Hivi mwanaume kujipenda ni dhambi? Mwanaume kula au kuvaa...
Ninaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na...
Nisiseme mengi, nimekaa pale na Jack Daniels yangu nawasubiri mguse 30s muanze kutulilia tuwaoe.
Nna madem fln wanne 30s and above hv wote wako mikoa tofauti, siwezi waita michepuko sababu huwa...
Habari wana member wenzangu..poleni na majukum ya Kila siku...niende moja kwa moja kwenye mada...
Mwaka Jana nlipata mdada wa kazi nyumbani kwangu,.kwa kuletewa na wakwe kutoka kijijini.. kwa...
Wanaume,
Nipo hapa kuwakumbusha kukaa mbali sana na Wake za watu. Leave them alone.
Haijalishi ni yeye ndio amekupenda au anakusumbua sana. Unapaswa KUACHANA NAE. hata mazoea nae yakatae.
Bado...
Kutongoza ni mchakato.
Sio kitendo cha siku moja au saa moja, bali ni kipengele kwenye maisha yako. Huwezi kukikwepa. Labda kama huna mpango na wanawake.
Kutongoza kunachukua muda.
Kutongoza...
Mungu ni mkuu bwana, kwenye maisha usikate tamaa.
Baada ya miezi kazaa kukaa bila mpenzi mwanaume bila mwanamke hawezi, tusidanganyane, ila ni kwa wale tu ambao wako imara, siyo wanaume wapiga...
Kanali Mstaafu Mika Metili, mwenye umri wa miaka 78 akiwa na mke wake mpya mwenye umri wa miaka 27 kwenye ndoa Yao iliyofungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa...
Habarini wakuu !
Leo nimepata muda wa kutulia naomba ni share na nyinyi kisa hiki ili muweze kujifunza kama ikiwezekana.
Mwaka 2018 nilienda mkoa K kwa lengo la kutafuta maisha, nlifikia kwa...
Sometimes unaachwa na baby wako kwa sababu ambazo sio za msingi mpaka unahisi tu hapa nimetafutiwa sababu [emoji2].
Funguka, kama yamewahi kukukuta, uliambiwaje?[emoji1787]
Katika dunia hii ukitaka kuishi vizuri acha vitu vifuatavyo.
Wizi
Utapeli
Wake za watu
Wanaume mwenye akili zako kabisa una date na mke wa mtu na una enjoy kabisa.
Me siwezi ata kuwa karibu na...
Binti yuko hapa mkoa x na yuko kwenye magroup ya WhatsApp ya walokole ila anajiuza. Tofauti tu ni kwamba inabidi utumie gharama kubwa kujificha, ili kanisani aendelee kuaminika.
Huko kanisani...
Niliachana na mwanamke mmoja kwa miaka miwili, two weeks ago tumerudiana but home kumebadilika sana. Mlango umetanuka, zamani nilikuwa napita kiupande upande kwa kujibana, sasa waaaaah, ndani...
Hello wanajamii, kuna watu humu ambao maisha yao halisi ni yale ya 'kikaksi' yaani wanasalimiana vizuri na watu, wanasaidia pindi waombwapo msaada, wanajumuika katika shughuli za kijamii n.k...
Dada zangu mlioolewa (hasa wenye kipato endelevu) ambao mpo kwenye umri kati ya miaka 25 na 40 naomba niwaambie hili jambo na msilisahau.
Hii tabia ya kuamua kwenda kuomba talaka au kuamua...
Children need strong fathers. Weak fathers have a high probability of raising weak sons.
Therefore here are the 10 things every father should give or pass to their kids in the process of grooming...
Good evening,
Ilikuwa jioni ya baada ya kutoka mihangaikoni bhna baada ya kuwa na meeting ndogo na tajiri kutoka JF ndipo nikakwea mwendo kasi.
Nimekaa kwenye mwendokasi akaja mdada mzuri akawa...
Habari za wikiendi wakuu, bila kupoteza wakati niende moja kwa moja kwa linalonitatiza. Kama mnavyojua kuwa kukosea ni sehemu ya maisha na mda mwingine ni njia moja wapo ya kujifunza(sihalalishi...
Men,
Don't ever be tempted to engage in gossip because gossiping is a feminine trait. Before you plan to gossip you need to ask yourself this question, "Do you want to be viewed as one of the...
Nellie akiwa na waume zake watatu
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni’, Nellie kutoka Nigeria ameitoa ile dhana ya mwanaume kuoa wake wengi bali mwanamke pia anaweza kuolewa na wanaume wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.