Jamani kumbe hamu ya mwanamke inakuwa sawasawa na muwasho wa sikio........ukiwashwa na sikio cotton butt/nyoya la ndege (kwa sisi wengine) lazima vihusike.
Kama ni hivyo, ni vipi basi mwanamke...
Happy Valentine's day in advance dear MMU members...
In particular, a very special Valentine's day goes to all my JF babies and buddies 💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓💜💕💖❤💗💓
Enjoy responsibly
Ndugu zangu kabla sijaowa nimekuwa kimahusiano na baadhi ya wanawake wa makabila tofauti tofauti japo siyo yote.
Ila haya makabila yanayosifika kuwa mwanaume akiingia hatoki, kwa maana wanajua...
Nakumbuka mwaka jana nimetoka na Demu wangu out sasa sio mpenzi sana wa haya mambo ila nilifanya hivyo kumfurahisha.
Tukafika kahotel kamoja kako busy sana na kana wazungu wengi, kiukweli mimi...
Salute comrades.Wanaume wenzangu njoo tuambizane kitu.Wanasemaga every person has his/ her own tastes and preferences when it comes to matters food, colours, clothing and e.t.c.
Sasa inapokuja...
Hello
Hali si Hali huko kwenye taasisi ya ndoa.
Dar pekee Wanaume 2,000 wamekimbia ndoa baada ya kuonja joto lake so wame graduate kuwa mabachela Sugu.
Kama trend ndio hiyo na Talaka Kila siku...
Hapa povu ruksa Ila Kila mtu anauhuru wa kutoa maoni bila kulazimishwa. Kutokana na experience yangu nazani hayo Ni maoni yangu mwenye mtazamo tofauti njoo weka hoja hazarani
Siku moja kuna jamaa, si rafiki yangu lakini tulikuwa tu afahamiana nae, amekuja na story kuwa alikuwa amevutiwa na msichana niliyekuwa natoka nae. Sikufahamu dhamira yake ila nilimjibu tu...
Nalia na naumia sana moyoni mwangu
Hata mke wangu mkubwa simjali kama ninavyomjali yeye
Kila siku nimeweka bill ya maziwa fresh lita moja na mtindi nusu lita.
Na bado matumizi mengine kama...
Bila shaka ndoa za kiislam wanandoa huwa wanafaidi sana linapokuja suala la kuongeza mke, kuoa ama kuolewa upya kwa urahisi, talaka, n.k. na haya mambo ndio penye udhaifu wa ndoa za kikristo, hata...
Usiku tulivu kwenu!
Mama wa mumeo mtarajiwa alikuwa anahakikisha mwanawe anakula kwa wakati je, wewe binti utaweza kumpikia kwa wakatu kama mama yake?
Mumeo mtarajiwa alikuwa akidekezwa na...
Ikiwa ni mara ya kwanza unakutana naye, ulihisi mapigo ya moyo wako yakienda kasi… vipepeo tumboni mwako… unahisi kama ulikutana naye hapo awali…unalazimika kuongea naye…huwezi kumwondoa kichwani...
Mdaa huu tupo na jamaa kachanganyikiwa baada ya kusikia rafiki yake kumzunguka na kumpa mimba mpenzi wake.
Tulimkanya sana jamaa ila kwa vile tukisema ukweli tunaonekana wachawi na watu wa wivu...
Nilienda Kwa jamaa yangu Ifakara kusikilizia harakati zinavyoenda ikiwezekana na mimi nijichanganye area hizo ili niweze pata chochote so ikawa tunadamka asubuhi tunaenda ofisini kwake then jioni...
Habari JF,
Kwa unyenyekevu mkubwa Nipo mbele yenu kuomba ushauri juu ya hili suala la Mimi na mpenzi Wangu.
Kwa upande wangu iko hivi.
Ninaishi na msichana ambae tupo kwenye uhusiano almost...
Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi... Natumai siku ya tar 14 ilikua njema kwenu lakini kwa upande wangu haikua poa.
Jana nimekutana na mpenzi wangu wa muda mrefu katika hali ambayo...
Hivi inakuaje unaweka kabisa dhamira na kuitekeleza ili tu utimize haja zako huku ukimuachia mtoto kovu lisilofutika kabisa katika maisha yake hapa duniani?
Cha ajabu mmekuwa mkijinasibu kuwa na...
Wasalaam JF
Kama mada inavyojieleza, Nianze mimi Nina kawaida huwa siwazi kuhusu wanawake, ila inapotokea kunyandua nawasemesha na ikitiki nakwenda kunyandua.
huwa siwazi kuhusu wanawake kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.