Mnaokwenda kuoa au kuoelewa kitu cha kwanza angalia mzazi ambaye ni mama kama ndio mwenye sauti.
Ukiona hivyo kimbia usije juta mnaona mifano tosha kwa domo aka simba au kwa mabinti wengine.
Upweke hauponywi na wengine. Unaweza kuolewa na ukabaki na upweke. Unaweza kuwa katikati ya watu na ukazidi kuwa mpweke. Kwa kawaida mtu hujitenga na wengine anapojitenga yeye mwenyewe.
Kuna...
Naombeni ushauri, mimi ni mume wa mtu pia ni mtumishi na mwenye maisha ya kawaida sana yaani dola mbili kwa siku ndio maisha yangu na ninashukuru ninaridhika ninachopata.
Niinapofanya kazi kuna...
Huyu mwanamke anatia aibu sana.
Awali tumwkubaliana na tulikulana Sana.
Ametoa Siri nyingi za mumewe. Hadi naona aibu. Namkwepa sana.
Nnikumuona nakula Kona na najuta na natamani sinije...
Anaandika kenge
Salaam wakuu!!
Maisha ni marafiki na marafiki ndo maisha yenyewe sindio.Sasa kuna baadhi ya marafiki wanavijitabia vinavyokera na vingine vinafurahisha na kutengeneza bond zaidi...
Ingekuwa kwamba ukifunga ndoa unakaa miaka 2 ndiyo unaenda kuchukuwa cheti cha ndoa je, kuna mtu angeenda kuchukuwa cheti? Kama la au ndiyo unadhani sababu ni nini?
Hii ni sauti kwa niaba ya wanaume wa mikoani, ukiachana na Dodoma na Arusha ambao nao ndio walewale tu..[emoji3]
Tumesikitika sana, na tutaliweka kwenye ajenda kuu, ya bunge la bajeti..
Sasa...
Huo ni mfano tu hai kuwa wanawake wanawahi kuingia kwenye mahusiano tofauti na sisi wanaume.
Kijana wa miaka 18 na msichana wa miaka 18 wana experience tofauti kwenye mahusiano. Kwa mwanamke...
Huyu demu ni muda sana nlikuwa namfukuzia. Siku zote ananitizama anacheka ananiambia "we mtu unajua mi nakuonea huruma huu mzigo huuwezi😁"
Huwa namjibu asione wembamba wa reli huu nabeba mamizigo...
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Siriel Mchembe amelazimika kupiga marufuku Wanandoa wa Wilaya hiyo kuacha kusoma msg kwenye simu za wenzao ili kuepusha migogoro na vifo vitokanavyo na wivu wa kimapenzi...
Mimi ni Mtanzania, mzaliwa wa Kanda ya Ziwa umri wangu ni miaka sasa. Namshukuru Mungu nimebahatika kupata elimu japo kwa taabu sana na sasa nafanya kazi hospitali moja ya umma hapa Dar na huu ni...
Kwanini Nina imani Na mademu ma barmaid
1.ni wasafi wanaoga Na kupendeza kutokana Na nature ya kazi zao lazima wawe smart wanukie vizuri wajinyoe hawataki fedheha maana baadhi ya Wateja huwa wana...
Kuna wadada na wamama wengi wanakesha wakiomba na wengine kwa waganga ili wapate wanaume wa kuwaoa, lakini hali ni tofauti. Na utakuta na wana kila sifa.
Hivi wale mnaopata huwa mnafanyaje? Siri...
MHAINI
We olewa na yoyote, hunikomoi
Tena uende popote, hunikomoi
Kisha ufanye vyovyote, hunikomoi
Hata utoke na kaka, hilo sijali
Yaani uwe kibaka, hilo sijali
Tembea unapotaka, hilo sijali
Ni...
Siku ya baridi ya Desemba mwaka wa 2000, Tyrel Wolfe mwenye umri wa miaka saba alipakia zawadi ya Krismasi kuelekea Ufilipino, iliyojaa vitu vya kupendeza vya likizo na hata picha yake akiwa...
Kuna rafiki yangu tulibahatika kusafiri naye na kudondokea ujerumani huko Bavaria sehemu ya Amberg.
Kukweli hii ngozi nyeupe ni kwa wanawake ni watu wenye aibu sana na wachangamkaji kama mgeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.