Ni ujumbe kutoka kwa mke wangu,tukiwa katikati ya mgogoro mzito, mimi nikiugulia maumivu ya kusalitiwa,na yeye akitoa sababu za mimi kuwa chanzo cha yeye kunisaliti,kwa kutokuwa karibu take kwa...
Nishawahi kuipata pisi kali sana ilikuwa naenda kununua groceries pale kwake na tukazoeana.
Chapa chap wala sikutaka stori za kaka na dada ama urafiki nikapenyeza ajenda yangu kidume kwamba...
What is Life?
Maisha ni mchezo mmoja ambao unachanganya sana.
Huwa najiuliza hili swali na najua kuna baadhi ya watu washawahi jiuliza: Hivi uishi maisha gani ili ikifika uko mzee useme huna...
Ni vyema kusema kwamba kIla mwanadamu anastahili wa kufanana naye.Hakuna mtu anapenda kuishi pekeyake Milele.
Kuna vigezo ambavyo vikizingatiwa katika kutafuta mwenza wa ndoa basi utaishi Kwa...
Hili ni jambo serious kidogo , binafsi Zero nimechoka kuwatafuna hao wake za watu,
Nimetafuna mpaka nimechoka, wengi za hao wake zao ukiuliza shida ni nini mpka wanafikia hatua hii, wanaishia...
Natafuta mke wakuoa, mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba mke...
Wanaume wachepukaji nina swali
Hv hamuwez kuchepuka tu bila kuwasema wake zenu au kutaja sir na madhaifu ya wake zenu? Si mkutane tu mfanyane na mpange mipango yenu? Wake zenu wanaingiaje hapo
Kumekua na nyuzi nyingi za baadhi ya wanaume wakiwa wanalalamika wanawake wa kizazi hiki licha na wao kujishughulisha hawana mchango wowote wa kifedha kwenye familia
Kwa upande wangu me naona...
Kuna huyu shemeji angu workmate na my wife. Mwanzoni nlikua simfahamu ila stori zake nlikua nazipata kutoka kwa wifu, kifupi ndoa yake ina migogoro kiasi na mume wake mpaka wametengana kwa muda...
Habari wana MMU? Niende moja kwa moja, mimi na mke wangu tunaishi vizuri sana ila shida nimeoa sehemu niliyo pangiwa na serikali kufanya kazi. Kiukweli sometimes ndugu wa mke wangu walinipa...
Salaam tele ziwafikie
Kati ya mwaka 2019 au 2020, msanii Stamina ft Roma alitoa wimbo wenye ujumbe wa kusalitiwa na mkewe wa ndoa. Huyo mke akitoka na Ex wake ambae alicheza club ya Simba SC, na...
Kaka si unajua kazi za mlima zilivyongumu kila safari nikipanda nikishuka nampa pesa. Mara 50 au 20 haipungui chini ya hapo
Nampa alipie kodi ya pango anapoishi na matumizi kidogo kwa mwezi...
Kichwa cha mke☺☺
WAEFESO 5:23-25
Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake...
[emoji3][emoji3] Nafurahi tu japo moyo unavuja damu
Asee aliniambia mimi ndo mwanaume wa ndoto zake
Hakuwahi kupata mwanamume kama mimi ninayempitisha kilele cha mlima meru na kilimanjaro
Ni mimi...
Ndugu zangu wakati huu nahitajika nitoe majibu kwa kijana wangu, anapitia wakati mgumu.
Ana mpenzi wake anampenda kwa dhati, wamebarikiwa kupata mtoto. Tatizo lilipo sasa, anashindwa kufanya...
Hello,
Nakumbuka mwaka jana nilikuwa mkoa mmoja si nikaopoa mtoto aisee mtoto ana nywele za kiarabu mzuri balaa tukakubaliana kulala 30K, nikachukua boda mpaka lodge niliyofikia tukaanza...
Ujumbe huu ni maalum kwako wewe mwanaume ambaye upo kwenye mahusiano na mwanamke mwenye mtoto asiyekuwa wa kwako
Kumchukia mtoto wa mke/mpenzi wako sio ujanja bali ni ujinga na unajipunguzia...
1. Kumpa uhuru wa kuhoji na kukushauri katika maisha yako.
Asiwe kama mlinzi wa getini, kila kitu ni honi na muda wa kujua sasa ni saa 6 natakiwa kwenda kula na chochote akutacho kuta hana haki ya...
Ni uchungu lakini ndio ukweli wenyewe.
Inawezekana umetangatanga sana kutafuta mchumba,mke au mahusiano mitandaoni.
Sikiliza mke au mume huwezi kumpata mtandaoni. Wengi wa huku ni waigizaji ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.