Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Pose like you only mind your own business, umuhimu wake kwako ni wa kawaida sana huna shobo kiviiile. Instead mpigie simu mama yako ama someone else unayemkubali kwenye harakati zako. Wanaume...
6 Reactions
14 Replies
589 Views
Daah maisha siyo fair na wala hayajawahi kuwa fair hata kidogo na hayatawahi kuwa fair hata kidogo as long as tunashaishi wacha tuendelea kuhustle. Si maana yaani bwana mwingine anacheka na...
4 Reactions
9 Replies
791 Views
Hii siku inaweka presha kwa watu wengi muda mfupi. Leo ukimtoa mtoto wa kike aliyempweke utakuwa umejishindia biko. Subiri turushe kete ofisini maana wife kasafiri.
1 Reactions
5 Replies
615 Views
Kwa muda mrefu nimekuwa mpweke ila siku za karibuni kwenye mtandao nikawa niko busy na dada mmoja mzuri sana. Basi tukaona kuna haja ya sisi kuonana kwani niko Dar na Yeye yuko Dar. Tukapanga...
36 Reactions
90 Replies
5K Views
Kuna uhaba sana wanawake kuingia kwenye ndoa mpaka wengine kwenye dini za ndugu zetu waislamu kuomba kuwa mke mwenza. Wanawake wengi wamepata msongo kutokana tabia za wanaume kutoonesha nia ya...
4 Reactions
19 Replies
848 Views
Siku ya Valentines Day asili yake ni kutoka Dola ya Warumi. Ni siku ya kumbukumbu (memoria day) na sehemu nyingine ni (festum) maana yake siku kuu ya daraja la kwanza kwa kumkumbuka Padre...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia. Ninaongelea wale wenye mega...
81 Reactions
268 Replies
13K Views
Habari zenu, Nina shemeji yangu kaachwa na mume wake huko Arusha yeye ni mchaga wa kawawa rd na ni wa kike na mumewe anaitwa Iddy yaani hadi najuta kwanini sikusuluhisha hiyo ndoa japo nakiri...
17 Reactions
51 Replies
5K Views
Naandika hili hapa kwa moyo mkujufu, sina kinyongo na wala sijutii ila namhurumia sana. Mwaka 2015 ilikuwa ni first appoitment yangu as mwalimu, nilimkuta huyu binti akiwa kidato cha tatu, baada...
25 Reactions
74 Replies
4K Views
Ndugu habari Katika maisha tunapitia nyakati za furaha na huzuni, nyakati za furaha huwa hazidumu sana ila nyakati za huzuni zina dumu na kujiludia mara kwa mara, na wakati mwingine zina fanya...
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Ukiwa ni msimu mwengine, episode ingine ya wapendanao ambayo itaadhimishwa kesho na tukiwa tumebakiza masaa tu ni vyema kukumbushana vijana kwa wazee kuwa karibu sana na wapendwa wetu ili...
1 Reactions
5 Replies
391 Views
Wanaume tumejaliwa vitu vingi unique kwa upande wetu ila hatuvioni. Sisi pia ni Cake. Wanaume wengi tunateseka sababu ya kujirahisisha kwa wanawake na kuwaona wao ni Cake kumbe ni ushenzi wa...
17 Reactions
76 Replies
3K Views
😝😝😝😝😝🎉🎉🎉🎉 ukitaka uishi Kwa Amani mwanaume ujue haya : 1.ujue kumuandaa mwanamke na apewe haki yake aridhike 2.Apewe kadi ya manunuzi , apendeze anunue atakachoo, akupikie ule akuandae kwenda...
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Changamoto hii vipi? Majambazi yamevamia nyumba usiku, yakataka wenye nyumba watoe hela na vitu vyote vya thamani. Baada ya kukabidhiwa kila walichokitaka, wakampa mume wa nyumba bunduki...
1 Reactions
8 Replies
497 Views
Mke wangu alichukua simu yangu na kufuta namba ya mpenzi wangu Naomi kisha akahifadhi namba yake kama Naomi. Sikujua kuwa kuna mtu alimwambia mke wangu kuhusu Naomi. Nilipokea SMS kutoka kwa...
42 Reactions
134 Replies
7K Views
Siwezi kuficha furaha yangu kabisa ama hakika nimekomaa lakini daah hapana siwezi kuificha lazima niwachane na kuwaambia ukweli jamani nimepata watoto wawili mapacha mmoja ni wa kiume na mwingine...
4 Reactions
14 Replies
527 Views
Salamu kwenu wapwa, Nadhani hata wewe imewahi kutokea hii sometimes, kuna muda inatokea unaambiwa “I miss you” na mtu ambae kiuhalisia hata hujammiss; yawezekana akawa mpenzi, Ex, rafiki au...
2 Reactions
58 Replies
3K Views
Kuna tatizo sana la wanawake wazuri ujikuta wakiangukia sehemu wasizo zitaka kama ilivokuwa mwanzoni. Mwanamke mzuri anapojijua kuwa mzuri uweka vigezo vingi kama kupata mtu mwenye uzuri kama...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Wazazi na walezi wenye watoto hiki kinawahusu,baadhi ya wadada wanaotusaidia kazi nyumbani(house girls) wamekuwa na tabia za kufukuza bila kusubiri mwezi uishe kwa namna inavyo kera. Nilikuja...
2 Reactions
7 Replies
573 Views
Back
Top Bottom