Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Heri ya X Mas na mwaka mpya. Kutokana na hali hii inayoendelea sasa huko Ukraine iliyosababishwa na Rais wa Urusi V Putin, hivi kwa nini Wamarekani na teknolojia yao yote wasimu assassinate Putin...
5 Reactions
96 Replies
6K Views
Ujumbe kwenye picha unahusika sana.... Wanaume mmekuwa mkilaani sana kuombwa mahitaji baada ya muda mfupi baada ya kumuelewa mwanamke wa kitanzania. Sasa wewe tumekutana leo leo halafu...
12 Reactions
121 Replies
4K Views
Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, halafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango. Anakununulia boxer na t-shirt, halafu anakukumbusha kuhusu zawadi kwenye siku ya kuzaliwa...
14 Reactions
74 Replies
2K Views
Malaya, ni mwanamke, anafanya na nani huo umalaya? Mwanaume, sasa kwanini hatajwi? Usiache mwanamke mchawi aishi. Heeee, yaani wachawi ni wanawake tu, wachawi wananaume kwanini wanapewa haki ya...
9 Reactions
84 Replies
3K Views
Wanaume je kati ya Hawa mnapenda Kwa moyo nani. Mrefu mwembamba , Mrefu mweupe mwembamba Mweusi mrefu mwembamba Au saizi ya kati mweupe mwembamba Saizi ya kati mnene mwenye shepu mweupe Au...
8 Reactions
117 Replies
4K Views
Tunaomba mrejesho Kuna vijana humu tuliwatoa muhanga kuingia kwenye ndoa, hamjaleta mrejesho kama hali ni mbaya au inatisha. Ila kusema hali ni shwari huo ni uongo maana wengi mnazidi kupauka na...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Habari za leo wanajukwaa. Ki ukweli mimi sio mwandishi mzuri kama Mzee Deepond na wengine lakn natumai ujumbe utaeleweka. Binafsi tulizaliwa wawili tu kwenye tumbo la mama yangu. Baba yangu mzazi...
4 Reactions
8 Replies
711 Views
Habari wakuu Jana nilitumiwa pesa kiasi cha sh 330000 na mzee wangu kwa namba ya tigo, sasa nilijaribu mara kadhaa kuituma kwa namba yangu ya MTN Uganda ila ilikataa na kusema muamala umesitishwa...
1 Reactions
13 Replies
661 Views
Naumia sana kuona wanawake kumdhalilisa waume zao pindi tu kunapotoke sitofahamu na kuachana. Leo bora tuwafate waarabu life style yao tu japo si wote. Kuoa msichana asietoka mbali na familia...
18 Reactions
147 Replies
7K Views
Muafaka Wanahitaji ndoa Muoe au muendelee na kuishi na wake zenu. Tusiohitaji ndoa,mtuache Tubaki na Maisha tuliyochagua. Nyuzi za kutushawishi kuingia kwa moto wenu wa ndoa jf zimekuwa...
8 Reactions
65 Replies
2K Views
Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu. Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa...
18 Reactions
195 Replies
12K Views
Kuna sababu nyingi ambazo husababisha wanandoa kuvurugana, Ila uchoyo ubahiri ubinafsi na mambo yanayofanana na hayo husababisha mivurugano. Kwa kawaida wanaume ni rahisi sana kutamani ngono...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu swalama Binafsi katika maisha yangu ya uchakataji wanawake zaidi ya Yutong 2 sijawahi kuchakata demu mnene iwe sana au wastani. Sasa hivi karibu nimepata pisi ila ni bonge wa wastani...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Ndoa ni hali ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja kama mme na mke na kutengeneza taasisi ndogo ambayo ni familia. Malezi ya familia ndiyo chanzo cha taasisi zingine na jamii au taifa kiujumla...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Wasalaam JF Swali kwa wanandoa je, vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili...
5 Reactions
91 Replies
4K Views
Wanawake sasa wanaona kuhongwa ni haki yao. Kupewa pesa imekuwa ni lazima, usipowapa pesa wanakuacha na kukupa majina yote mabaya. Yaani naanzaje kukupa wewe pesa kisa tu mbususu? Kila mtu...
9 Reactions
76 Replies
3K Views
Leo nilihudhuria leaders pale. Nilichojifunza, watu wanapenda sana hizi marathon [emoji125]. Lakini pia ukiwa muhudhuriaji wa hizi mbio aisee suala la kuowa litakuwa mtambuka. Kuna wanawake wazuri...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari. Kwani vipi mbona kulazimishana sana kuoana kwani Tumewaambia Hatutaki. Mshana Jr uzi wako ule ni mzuri sana ila bado haujaelewa wakataa ndoa wana maanisha nini? Tafuta muda pitia hoja...
4 Reactions
40 Replies
1K Views
Ukiogopa kuoa ni sababu bado u mvulana unaogopa changamoto. Maisha yana changamoto ambazo hutufua zaidi tuwe vyema na tupambane na kushinda. Huwezi sema unakataa kuoa sababu wanawake wanataka...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Wadau kuna kitu wanawake huwa wanakosea sana, unakuta kuna mchizi anampenda kinoma na mchizi anatia mavoko kabisa sometimes na kutuma hata watu wa karibu kwa demu wamueleze lakini unakuta demu...
6 Reactions
58 Replies
2K Views
Back
Top Bottom