Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
BINTI 1 Nikimwona napata wazimu, Siniwate nitenda kuzimu Nataka nimchonge sanamu, Dunia yote naifahamu Ilahi aniwekee wewe 2 Nilimuona huko awali, Yakanijaa mengi maswali Mrembo atakosa rijali...
0 Reactions
1 Replies
195 Views
Binafsi nakumbuka siku moja hivi tuko kijijini na mzee tumepanga kesho yake tukamtembelee babu, baba yake mdogo baba ambaye alikuwa anaishi kilometa kadhaa kutoka tulipo (KM 7). Wakati huo...
91 Reactions
270 Replies
26K Views
Katika maisha hakuna usawa baina ya mwanamke na mwanaume , na ijulikane wazi pia hakuna usawa baina ya mwanaume na mwanamke.. Unapo taka kuoa na ukampata mwanamwali unaetarajia kumuoa jitahidi...
12 Reactions
26 Replies
1K Views
Natamani nikiwa mkubwa niwe moderator wa JF. nitafurahi. Nitawachakata sana wadada wa humu. Sana. Ukinikataa basi nakutafutia ban anytime. Nikiona tu umeangalia vibaya thread ya mtu nakupiga ban...
0 Reactions
10 Replies
600 Views
Hali ni mbaya sana, Naombeni mnisaidie kwa kweli, nimetoka zangu kwenye mizunguko nikajisemea leo ni weekend acha ni wahi home nikapumzike kwasababu wiki nzima nilikua nimechoka sana na majukumu...
6 Reactions
88 Replies
5K Views
Kukatia tamaa suala la ndoa, ni kukatia tamaa sababu ya kuishi. Mungu kwa akili yake timamu alisema si vyema mwanaume akae peke yake. Shetani ndiye amebrainwash watu kuona ni vyema kuachika, kuwa...
4 Reactions
24 Replies
731 Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanawake ambao wanakwenda kweny nyumba za ibada(kanisani & msikitini) kuomba maombezi ya kupata mume wa kuwaoa, hivi ni kwel mitaa wanamoishi hakuna wanaume au wanaume...
1 Reactions
5 Replies
526 Views
Ningependa kuwakaribisha members wote [wa kike kwa wa kiume] katika hili swali; SWALI Je, wanawake wana uwezo wa kiakili sawa na wanaume? Karibuni wadau wote kwa majibu yenu na maelezo yenu.
4 Reactions
151 Replies
5K Views
Hawa wanawake suicidal ni wale warembo kukitokea ugomvi wowote tu anatishia kujiua. Binafsi nilipitia hii changamoto kwa muda mrefu na ilinitesa saana. Kimoja ni insecurities na kuwa suicidal...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Kama wewe binafsi umeona CHANGAMOTO ZA NDOA zinakwepwa kwa kutokuoa...basi BAKI HIVYO HIVYO NA UFUSKA WAKO USIOE... Sio kutwa kushinda kusambaza kampeni ya KISHETANI usioe...eti kisa ndoa ina...
8 Reactions
13 Replies
647 Views
Popote ulipo ikiwa uliweza au umeweza kuoa mwanamke ambaye ulimkuta na mtoto au watoto tayari, basi una roho ya nzuri sana na Mungu akubariki sana. Binafsi mwanamke nispomkuta na usichana wake tu...
10 Reactions
70 Replies
7K Views
baada ya mimi kutoa manung'uniko yangu kuhusiana na suala ambalo nililiona gumu sana la kutoa bikra kwa msichana mmoja mrembo aliyejawa na woga. mwishowe nilipata mtu ambaye alinipa ushauri namna...
7 Reactions
66 Replies
7K Views
Basi bwana, nimetaka kidogo tupozane hapa wakereketwa wenzangu, maana kuna nyakati zinapita kila mbinu unayofanya uzamie kwenye mahusiano zinafeli, Unahisi kama umetupiwa kibao cha mungu. Binafsi...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Wasalaam JF Ndoa nyingi za huko mahekaluni ni feki. Sababu hizi 1. Kama hujaoa bikra na mwanamke hajatubia hio dhambi 2. Alievunjwa bikra na asiye mumewe hafai kuolewa. 3. Kama mshazini na...
1 Reactions
3 Replies
814 Views
Katika mambo ambayo yanamfanya mtu aheshimike kipekee kabisa mahali popote ni uwezo wake wa kujizuia(Self-control). Kuzuia tamaa za mwili wake na kuchuja fikra zake kabla hajatamka kwa kinywa...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Pamoja na kuwa katika dunia ya sasa imekuwa vigumu saana kumpata mwanamke au mwanaume ambaye anatambua nafasi yake vizuri, yaani kama ni mwanamke anajua mwanaume na mwanamke hawako sawa, kama...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Hawa vijana wa Sasa hivi sijui shida huwa nini lakini unakutana vijana anakwambia anataka kuoa lakini still Hana kazi yeyote inayompa kipato , bado yupo nyumbani anategemea wazazi ivi ni wapi...
1 Reactions
13 Replies
982 Views
Kwa siku kadhaa hapa JF pametokea na wimbi la vijana wakija na mtazamo wa kwamba ndoa si muhimu na haina umuhimu hivyo hawaoni haja ya kuoa. Nimekuja hapa kuwaambia neno moja tu kwamba...
10 Reactions
17 Replies
1K Views
Wewe ni wakala wa shetani,mlitajwa hata kwenye maandiko matakatifu. Vijakazi wa yule mwovu katika kumrasishia kuvuna watu zaidi kupitia zinaa na uzinzi + uasherati. Zama hizi za mwisho. Wakati...
15 Reactions
102 Replies
4K Views
Bado tuko kwenye majonzi ya kumpoteza mwana JF mwenzetu aliyefariki Riverside kwa ajali ya pikipiki siku chache kabla ya ndoa yake. Matukio ya namna hii ni mengi na si haba kila mmoja wetu hapa...
43 Reactions
76 Replies
9K Views
Back
Top Bottom