Salaam JF
Maisha ni raha sana kwenye mapenzi kuna watu wanakuja ili kuwa na wewe, na pia kuna watu wanakuja ili wawe na wewe maisha mwako na kuyajenga maisha na wewe. Na kuna wenye vybez...
Najua huwezi kuamini kua mimi sijakuchukulia mkeo na kwa taarifa yako sikujua kua alikua nimkeo.
Siku ya kwanza nilipokutana nae nimkuta anauza mihogo kando kando ya barabara huku kijasho...
Wakuu hii issue ni ngumu kidogo naomba tuwe serious kutoa ushauri badala ya kulaumu, shit happens sometimes!
Hebu vaa hivi viatu kisha toa ushauri.
Una familia yako mke na watoto na una mchepuko...
Ukiona umekataliwa na mwanamke/mwanaume usihuzunike wala kukata tamaa, Maana hujakataliwa wewe (as a person) bali imekataliwa ofa yako uliyo toa.......,
wanajamvi pole na majukumu kwenye mada tafadhari
wakati wa mizunguko yangu ya hapa na pale nimekutana na mzee age kama 88 anaonekana kuchoka sana katika maelezo ametembea km 15 mavazi yake...
Unaweza kuwa mzuri na mwenye fadhili na bado ukasema HAPANA kwa watu.
Neno HAPANA ni sentensi kamili inayojieleza. Hauhitaji ueleze kwanini hautalala na mtu asiye mume ama mke wako.
Sio lazima...
Habari za muda wadau kutokana na kampeni za kupinga ndoa ninaona kabisa nitaaribika kisaikologia hivyo ninataka nijitaidi niache kutumia jamii forum ila mnaopinga sijui nini shida maana mnatumia...
Habari wakuu
Nimekuwa na msemo mkubwa sana ambao umekuwa ukitumika sana, "tafuta pesa". Hasa linapokuja masuala ya kuhonga, lakini ndugu unaweza ukajisifu unahonga ila kuna watu wanahonga sana...
Salaam JF,
Hii ni kwa wale walio muelewa Dr Mwaka, kwa hekima na busara zake, tunaokataa ndoa tunakataa na sababu nzito tunazo sisi na hadithi ya Adam na Hawa pale bustani ya Eden ni toshelevu...
Wazee hakuna binadamu amezaliwa na roho mbaya tunafundishana nimeamini.
Leo ndoa haikaliki kisa tu msaada na huruma yangu iliniponza, kiukweli nilimla siku 1 ila sasa anaharibu nyumbani. Hela...
Aidha ulikua unamchukulia poa tu au kazi zimekulemea kiasi kwamba mahusiano yakaterereka. Kipindi chote iko mwanamke huvumilia lakini akishachoka kuvumilia basi. Mwanamke hupenda taratibu vilevile...
Hii hali imenitokea mara kadhaa nashindwa kuelewa kwanini? Ilikuwa 2018 nilimtongoza binti mmoja alikuwa jirani yangu, ukweli alikuwa muwazi akaniita akanambia kweli sina hisia na wewe na sipendi...
Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forums baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa...
Wakuu,
Kabla sijampata miss right one, kuna wanawake nimekuwa nao lakini kila tukivurugana walikuwa wana tendency ya kuniambia kuwa siko romantic, lakini nikijicheck me nilikua nawatimizia...
Hii ni kitu ambayo babu zetu na baba zetu walisumbuka sana kukipata na ili wakipate ili bidi wafanye mambo makubwa kwa baadhi ya makabila. Wengine hadi kuua simba.
Lakini kizazi hiki kitu...
Amani iwe nanyi wana MMU. Long live JF.
Ebwaana eeeeh twende kwenye mada sasa kumezuka tabia moja ya kimalaya na kiwaki sana sikuhizi sijui ni upande wangu au na wengine pia mtaleta shuhuda...
Habari wakuu.
Tatizo gani kiufundi limetokea mbona penzi limekuwa linapatikana kwa urahisi sana tofauti na miaka hiyo.
Principal zimekuwa chache sana leo hii yaani ukichukua namba tu Tayari...
Hi,
Katika maisha unakuta kuna mtu anampenda mmoja kufa, yaani moyo wake hapo unadondokea na kutuama kabisa, hauendi tena kokote, hauoni njia nyingine, yaani ndo mwisho wa...
Mlikuwa katika mahusiano na hamkuwahi kukubaliana kuzaa mtoto, bahati mbaya au mzuri mkatiana mimba mtoto akazaliwa,
Je, huyo mama wa mtoto ana haki yoyote ya kumchukulia hatua baba wa mtoto...
Wasalamu wanajamvi
Kadada kamoja ka mtaani kwetu,sikukashobokea tangu kamekuwa hapa mtaani. Kameolewa ndoa ya kanisani mkoa jirani miezi minne iliyopita,mume anafedha na anakapenda sana.
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.