Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanawake mchawi wenu Ni wanawake wenzenu Mnalalamika hamuolewi wakati wenzenu wanagawa Bei sawa na bure Kiufupi Maisha yamekuwa Magumu Sana kwa kila Mtu so watu wanatafta unafuu ulipo Mnabidi...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Yani usiku huu mtu anakutafuta kua umkopeshe, ukaribu uliopo sio sana, sasa ikitokea hajalipa au kusumbua namdai vipi? Kuna aliewahi fanya hivi?
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari za mwezi mtukufu wa ramadani! Mimi ni mgeni humu jamii forums lakini nahisi nyinyi ni watu wenye upendo na ushauri mzuri basi naombeni ushauri wenu. Sijui nina kasoro gani maana kila...
15 Reactions
237 Replies
24K Views
Habari wakuu, Ni mwaka na ushee sasa toka niachane na huyu dada, Huyu dada tulianza mahusiano ya kawaida nikiwa bado sina uwezo wa kujitegemea hadi nikawa nao. Yeye alinitangulia kiumri na...
16 Reactions
71 Replies
4K Views
Nimejaribu kutafakari hili jambo ila nimeona nikilileta humu naweza kupata michango ya ziada yenye afya, Kwa maoni yangu nimeona ipo hivi, ningependa nisahishwe nilipokosea, kuongezewa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mapenzi ni yale ya kweli tuwe wa kweli umewahi kuwa mwaminifu kwenye penzi ulilopo au ndoa yako? Umewahi kukataa vishawishi Kisa unampenzi wako au mke? Sema tu ukweli.
3 Reactions
51 Replies
2K Views
Jumatatu njema. Kama ilivyo ada na leo nawapa hints za kuuchapa Ulegeaji wa misuli unaosababishwa na nyeto. Ukipiga nyeto baada ya dk 20 au ukiweza chini ya hapo, kunywa maji kuanzia lita 1.5...
17 Reactions
97 Replies
6K Views
Jumanne njema, ni usiku mzito wa kuamkia Jumatano! Huruma ni nzuri na ni jambo la hekma kuhurumia. Imagine mtu anatoka na mkeo na unamuonya anakutusi na kukuvimbia kwa sababu ya pesa. Yaani...
12 Reactions
12 Replies
1K Views
Tulipokubali kuoana, mimi na Naomi wangu tuliandika malengo yetu ya uhusiano. Tulikubaliana kukua pamoja kitaaluma na kusaidia malengo ya kazi ya kila mmoja. Tulikubaliana kusaidiana katika...
3 Reactions
7 Replies
668 Views
Hamjambo wanangu? Kama mwanamke mpumbavu anao uwezo wa kuivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, je, vipi kuhusu mwanaume mjinga, anaweza kuivunja ndoa yake kwa kutumia nini? Anyways...
0 Reactions
3 Replies
698 Views
Wanawake ila sio wote maana wanawake wengine akili zao wanazijuaga wenyewe mimi na uanaume wangu wote nikili tu vitu vingi vya tech nimeelekezwa na mwanamke wangu huyu mfano jambo dogo tu ilikua...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Ipo tafiti inasema mwanaume hutumia wastani wa masaa 7 kila mwaka kujificha chooni ili apate "Amani, Utulivu na Ukimya" Tunapitia mengi sana badala ya kuendeleza hii kampeni mliyoificha kwenye...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Nimeshapatikana mieee na tarehe 14 ndo hiyoooo... sawa ndo nimefall lakini baada ya kuorder zawadi ya Mr...design kama vile ni gharama.... no regrets, nina tafakari...
2 Reactions
3 Replies
708 Views
Zamani nilikuwa nina matatizo ya kupata hawa wenzetu (wanawake) baadhi ya wanawake walikuwa wananitupilia nje saana kila nikijaribu kurusha vitu vyangu. Nilibadirisha gia sasa hivi ninakwenda na...
8 Reactions
9 Replies
809 Views
Ni siku nyingine nisikuchoshe tusichoshane.Nilikuwa namsindikiza mdogo wangu wa kike hospitali baada ya kurudishwa kutoka Shule kutokana na sababu za kiafya. Siku ya Jana baada ya kutoka...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau.. Katika story na maneno ya wanaume wengi why hawaoi wasichana zao.. wengi wanajibu bado namchunguza maana haaminiki... Unakuta mtu yupo na binti hata 5 year mahusiano na...
1 Reactions
48 Replies
16K Views
Ushawahi kusoma kisa changu cha mrembo Joyce? Sasa leo yananikuta sababu ya huruma yangu. Joyce bana niliendeleza uhusiano nae, amenieleza shida zake nyingi na kujutia aliyowahi kuyafanya na...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Je, umewahi kudate na sugar mummy au sugar daddy? Kama ni ndio nipe experience yako....
1 Reactions
16 Replies
878 Views
Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu Mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Wanawake wanaotokea kwenye familia za kishua wanakuwaga na mapenzi ya dhati Sana ukiwacompare na wenzao wanaotoka kwenye familia ambazo hazipo vizuri kiuchumi. Yaani mwanamke wa ushuani akiamua...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom