Habari za jioni wana jamvi la JF, itoshe kusema ya kwamba tendo la ndoa ndiyo msingi ama nguzo ya wanandoa.
Ikitokea mmoja katika tendo la ndoa hafanyi vema ni rahisi lolote kumtokea kama ndugu...
Achana na mama zetu wale wa miaka ile ya zamani ambao wengine hawakusoma kabisa ila maisha yalikuwa poa tu kwa upande wao.
Nazungumzia hawa wanawake wa kizazi hiki wasiokua na elimu ya walau...
Habari za masiku wakuu, natumai mko poa sana, nmewakumbuka sana.
Namshukuru Bungu nmetoka kwenye ban mzima wa afya, ni mambo mengi sana yametokea hapo katikati nilipokua sipo hewani. Moja wapo ni...
Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya...
Natumai humu ni wazima wa afya, niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Vijana wenzangu unapo kuwa unafukuzia mwanamke punguza shobo na kujipendekeza kupita kiasi maana utajikuta...
Kwenye hizi nyakati za sikuu kuu watu huwa wanachakatiwa mbususu mno,walahi ukiomba mbususu ya mke wa mtu wakati huu na ukinyimwa nenda ukaoge baharini, kwenye kipindi Kama hiki mwanamume Kama...
Unaweza kudhani nazungumzia kile unachokiwaza mawazoni mwako... Picha iliyojengeka ya kitu kilichopinduka...! Most likely gari.. Likiwa kichwa chini mijuu guu.! [emoji144] Ama dhana ya kucheua...
Nahisi kuchanganyikiwa, siyo wazee kivile hawa wazazi ni wa makamo tu. Hivi hapa bi mkubwa(mama) amenipigia anasema usiku wa jana mzee kampiga makofi,
Nimemshauri wakae wayamalize ila kakataa...
Miaka inavyozidi kwenda mbele uhuru wa binadamu unaongezeka sana kutokana na sera za demokrasia na kudidimia kwa maadili ya kidini, hivyo kuwapa watu nafasi kubwa ya kuingia kwenye mahusiano...
Mabibi na mabwana hatimaye deal done nadhani sasa hatokuja nisahau nimefanya yote nnayoyafanya kwa mwanamke nikiwa kwenye minyanduo.
Kiukweli kaapa kwa majina ya mizimu yao hajawahi kukutana na...
Igweeeeee
Kipindi cha nyuma iliaminika wanawake wakifikisha miaka 30 bila kuwa na ndoa, au mtoto basi ndio shughuli yake inakuwa imeishia hapo
Katika kizazi hiki hali imekuwa tofauti, mwanaume...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa attention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.
Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza...
Habari wandugu wa MMU leo nimehudhuria send off ya class mate wangu, nipo nimekaa meza moja na mzee mmoja wa kichaga kaja na wanaye wameshuka kwenye Prado Diamond, kaja na mabinti wawili pamoja na...
Siku zote, kitu kizuri huvutia nje; hata ardhi nzuri yenye rutuba huvutia wawekezaji.
Sasa wewe upo kwenye mahusiano miaka na miaka, na hujawahi kusikia mwenzako anatongozwa huko nje.
Hii...
Hili ni jambo mabinti hawalifahamu kwenye mahusiano.
Ni mara nyingi kumekuwa hali ya mahaba au mapenzi ya mwanaume kushuka baada ya kuingia katika nahusiano na mwanamke ambaye alimhangaikia sana...
Hakuna aliye mkamilifu, kila mtu anajifunza kila siku. Unaweza kujiona unajua mambo lakini kumbe kuna mwenzako anajua zaidi. Uungwana ni kujenga desturi ya kujifunza. Suala la msingi ni kuiruhusu...
Habari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia...
Wakuu
Katika maisha ya kunyanduana zamani wanawake ndio walikuwa wanahimiza sana matumizi ya kondom huku wanaume tukiwaletea ujanja na kuzitoboa lengo ile nyama kwa nyama litimie
Nowadays...
Wanasayansi wanasema kwamba wanandoa wanapoishi pamoja kwa miaka mingi wanaanza kufanana.
Ona huo uthibitisho hapo chini kwa Mr & Mrs Kanda bongoman !!
http://yt2converter.com/yt-dd.php?id=vM26E9qHE2I&hash=f7bac3ae706f8dd921ed44d2f3253aa7&t=692&name=All-4-One%20-%20These%20Arms
Mimi kuna siku nakuwa boyfriend, siku nyingine mchumba, siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.