Wadau, kuna manzi ameniuliza swali na nimeshindwa nimjibuje.
Alifanya mapenzi na boy wake ilkua siku ya 15 tangu aingie period, walitumia condom bao la kwanza then second round wakafanya bila...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza apo juu.
Huu uzi ni kwa Ajiri ya ushauri juu ya mapenzi, kama unamatatizo yoyote kuhusiana na MAPENZI . Yamekuchanganya na uelewi ufanyeje.
Toa kisa chako...
Mwanamke aliyetambulika kwa jina moja la Jane miaka 40 amevutana Mahakamani na kijana tajiri zaidi jijini Las Vegas baada ya ya mwanamke kutumia mbegu za kiume za milionea huyo alizokuwa...
Mishale ya Usiku mnene mziki wa taratibu wa mwanamama ( "Celine Dion-Power of love" ) unasikika kwa mbali kwenye redio...gafla nashtushwa na mlio wa simu ulioita mara 3 mfululizo,,Wakati usingizi...
1. Kijana wangu mwanamke naye ana moyo kama wako, usimnyanyase kisa hawezi kupigana na wewe, mpe upendo kwasababu Mungu kasema tupendane.
"Mpige na upendo mwanamke wako na siyo ngumi. Kwasababu...
Out there wakuu,
Wakuu kwanza nikili kuchapiwa kunauma sana, tena sanaaa, naliongea hili nikiwa nna experience na kuchapiwa.
Nishawahi kuchapiwa dem bikra, yani dem nimeingia naye kwenye...
Nilidhani mwanamke bora ni yule anayejistiri, anavaa vizuri, siyo muongeaji, ni mcha Mungu kwa nje.
Kilichonipata mimi hakika nakiri leo kuwa mwanamke bora ni yule wa Instagram tu, hawa wanajua...
Huyu ni kijana anae shikilia record ya giness ya kumshauri baba yake tangu alivyo kuwa kijana hadi sasa baba kazeeka bado anamshauri. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hili ajabu linapatikana tanzania...
Kuna huyu mchungaji kwenye social media anaitwa Dr Ceaser, anaongelea uhalali wa kuoa mke zaidi mmoja, anaongea kwa point na hoja na ili ubishe inabidi uje na hoja. Naona wengi wanagonga mwamba...
Nawasilisha Kwa utulivu na wewe usome kwa utulivu. Katika maisha yetu ya kila siku tunakutana na migogoro isiyo na msingi kisa tu jamii haina msingi wa maarifa kwenye baadhi ya mambo.
Mathalani...
Mpendwa mwanaume mwenzangu,
Hapo ulipo hebu fumba macho. Baada ya hapo vuta picha umebarikiwa kuwa na mtoto wa kike tayari.
Vuta picha mwanao yupo katika mahusiano na mwanaume mwenye tabia kama...
Je unathaminishaje thamani ya mapenzi uliyonayo je ni..
1. KWA PESA
2. KWA UJUZI AU MAARIFA YA MTU WAKO
3. JE NI KWA KIPAJI (Mcheza mpira, msanii nk)
4. KWA CHEO AU KAZI YA MWENZA WAKO
5. KWA...
Katika mahusiano mtu sometimes hatotumia neno "Nakupenda" wakati mwingine utamsikia akisema;
1. Kuwa makini uwe salama[emoji3531].
2. Umekula?[emoji3531].
3. Unipigie ukifika nyumban[emoji3531]...
Nimeleta hii kama taarifa tu.
Mimi nilikuwa naamini kwa kuwa wazungu wametutangulia kwa kila kitu hadi haki za uhuru na usawa baina ya jinsia moja na nyingine basi nilijuaga wao hawasumbui mambo...
SAD NEWS TO MY FAMILY
Nimepokea kwa masikitiko makubwa Kifo Cha baba yangu Mzazi Ndugu DAUD JACKSON MUHOFU Kilichotokea Leo tarehe 7/12/2022 kwa ajari ya Ghari Nyumbani Mkoani Kigoma.
Hakika...
Ulikuwa rafiki mzuri kwangu, sauti nzuri na mwenendo wa kufaa kuwa mke mbeleni, masomo yaka tuweka mbali Malkia, hatukuwa na simu, kama walizonazo hawa, na pia hatukuwahi (kujuana) kama wanavyo...
Unamkumbuka mpenzi wako wa kwanza?
Ladies and gentlemen, how y'all doing? I have some true story to tell. I hope you cherish thee. kwanza naanza na disclaimer: I was 14 at the time
Sasa tuweke...
1. cutelove
2. MAGALLAH R
Hawa ndugu wawili wamekutana JF... Au wamekutanishwa na JF... Walikoanzia hakujulikani sana ilikuwa ni siri yao wawili mpaka mambo yalipoharibika na mmoja kukinukisha...
Leo pitapita yangu picha zilizopo kwenye digital camera kabla kuja smartphone kupiga picha nikaona picha ya mchumba wangu ambaye tulipendana sana.
Ulianza kubadilishwa na wazazi baada kujua mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.