A MAN MAY HATE YOU AND STILL HAVE SEX WITH YOU!
Bimbo Wrote With Tears: 😭😭😭😭
Sir, I Thought he loved me. We dated for about six months. He promised to marry me. He used to tell his friends how...
Kwanini mara nyingi wanaume wanaopewa limbwata ni waswahili au waafrika? na unashangaa wazungu wanawapenda waafrika wanawake lakin hawapewi limbwata?
Au tafsiri ya limbwata ndo tunakosea, au...
Habari wakuu,
Nina mpenzi kwasasa ni mwaka mzima ila kwasasa sina raha kabisa ananiondolea furaha ya maisha.
Nikiwa nimekaa anapiga simu tunaongea anauliza nipo wapi dk 15 nyingi simu tena...
Habari zenu wakuu,
Nimeenda wilaya flani kwa mara ya pili hivi na nimejionea kuna wazee wana wake wadogo, unakutata mzee ni miaka 52 ila binti ni 23.
Nimepewa stori kadhaa kwamba huku sio kama...
Hawa ndio waathirika......
Kuna simulizi nyingi sana kuhusiana na mila zetu za Kiafrika na vijimambo vyake, hususana mambo ya kishirikina au uchawi. Kama utataka kuandika mada ya Uchawi au...
Nani kasema kuwa wazungu sio wachawi? Naomba Nyani Ngabu aje asome hapa.
Kule nchini Uingereza kuna kundi maarufu la wachawi ambalo limeunda umoja wao uitwao London Vampire Group (LVG)...
Habari ya Jumamosi wandewa, bila shaka hamjambo na pole sana kwa kwenye changamoto.
Naandika huu uzi sina furaha kiivo!!! kutokana na misukosuko ya maisha, bado nipo napambana, ila haijanifanya...
Kuna changamoto zipi za kuwa na uhusiano na mwanamke mrembo ambaye anajiweza kiuchumi?
Je, changamoto zake ni sawa na mwanamke mwenye umbo na sura ya kawaida mwenye uwezo wa kawaida kiuchumi?
KISSES NA MAANA ZAKE
Kiss ya kitovu - Niko tayar, nahitaj sasa
Kiss ya paji la uso - Natumai tutakuwa wote daima.
Kiss la sikio - Wewe u kila kitu kwangu.
Kiss la nyuma ya kiganja -...
Mtanivumilia kwenye uandishi, twende pamoja.
Kuna kipindi 2020 mwishoni mwa mwaka niipata dharula ya kwenda Singida kutoka kwangu Geita, nikapitia Mwanza nikapanda basi, siti niliyokaa alikuja...
Stori ipo hivi
Kuna kipindi fulani nilikua na mahusiano na mdada mmoja ivi ila sikua naishi nae na tulikua hatuishi pamoja
Kuna siku nilienda kwake nikadate nae ila chakushangaza baada ya siku...
Maisha yamekuwa na changamoto nyingi katika utafutaji, na kupelekea baadhi ya watu kutumia njia wanazo zijua wao ili waweze kufanikiwa.
Wapo walioingia maagano ya kumiliki vitu fulani ili maisha...
Nimeona nami nichepuke kidogo ( nisamehe mpenzi wangu huko uliko nlipitiwa tu na lishetani mbwa hili)
Huyu demu nimemnunulia nyama choma ya kuku na ndizi 2. Kisha kanywa na Konyagi nusu Mzinga...
Hawa dada zetu naona sijui wamepatwa na Nini ukimpa tu namba yako , anafanya Kazi ya kukuchunguza Kama umeoa au hapana.
Mimi imani yangu inanambia nabidi kusaidia wazazi wangu , masikini, na...
Naomba wanaume msiache kudodosa na kupata uhakika wa jambo hili kwa huyo unayefikiria kumuoa.
Hapa namuongelea yule mwanamke ambaye ilitokea tu akamuona mwanaume halafu akampenda na wakaja kuwa...
Kuna mwanamke nilikuwa nikiamini nimezaa nae mtoto na mtoto amefikisha mwaka na zaidi Sasa wa kiume ila leo limetokea tatizo
Tulikuwa na ugomvi binafsi ikapelekea mwenzangu akachukia na...
Igwee
Kabla ya yote niwape pole na Corona! Mimi ni mzima nimeji quarantine! Nawaombea uzima na familia zenu!
Well Msione kimyaaa! Kama wengi mlivonishauri I am officially in movie businesss...
Iwe ni kampuni, biashara, mashamba, majengo, magari n.k rithisheni wake zenu mkiwa bado mko hai.
Hii haimaanishi kwamba, kufanya hivyo wewe utatangulia kufa, jibu ni hapana.
Kumekuwa na...
Tusichoshane maisha magumu siku hizi.
Wakati Messi na Mbappe wanatikisa nyavu huko Qatar, nikasema nami nisiwe mzembe nami nitikise nyavu za mke wa jirani yangu ili niongeze uzoefu.
Ilikuwa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.