Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna Uzi mmoja humu unadai mimi ndiye nilikutana na maghalah R Dar baada ya kutumiwa nauli na huyo x ambaye hata hivyo aliogopa kupima vvu kabla ya kukutana kimwili. Huyo mwanaume ni sawa...
18 Reactions
177 Replies
12K Views
Guys I hope you're doing just fine, and so do I. Basi bana kama ilivyo ada leo nina jambo la ku share na ninyi especially wanaume wenzangu. Wanawake bwana wakiwa hana hasira ni raha mpaka...
11 Reactions
47 Replies
7K Views
Hiki ni kitu ambacho unaweza kukitengeneza kutokana na matendo, mavazi na maneno yako. Katika mapenzi, urembo au utanashati hauna nguvu kama mvuto. Mvuto ni namna ambavyo unamfanya mtu akuone...
0 Reactions
2 Replies
828 Views
Nina rafiki ambaye tumeshibana sana yaani sana! tunathaminia sana kuliko hata ndg wa damu.. siwezi kuulezea urafiki wetu.. Ana mke 1 & sasa wamebahatika kupata watoto 2. mke wake alikuwa na...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Kungwi mie leo niko katika mtanziko mkubwa. Nimepata mteja jana alikuja kupata ushauri wa masuala ya mahusiano na ndoa. Kuna mkaka ana mdada ambaye anamhudumia kwa mwaka wa pili sasa kwa lengo la...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Lengo la huu uzi ni kuwasaidia madomo zege nao wapate kitu roho inapenda. Maana hawa raia wamekwama kila kitu kwao wanaona muujiza. Haya madomo zege nawapa hii mbinu ndogo tu ya kulamba vibuyu...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Acha bollo litembe anasema coach wa Simba. Ustaadhi Juma Mgunda. Vijana wamechuku huo msemo kwa sasa wanatembeza balls zao sana kwenyw mahusiano. Wasione kuna upenyo wanapitisha Ball. Wasione...
1 Reactions
6 Replies
506 Views
Tuna magonjwa mengi binadamu ya kuambukiza, na yasiyo ya kuambukiza. Kati ya hayo kuna baadhi ni ya kujitakia hasa kutokana na uchafu. Yaani kutooga kabisa, kutooga vizuri ama kujisafisha vema...
37 Reactions
105 Replies
17K Views
Bwana mmoja raia wa Zimbabwe Arnold Masuka (40) ameacha watu vinywa wazi baada ya kuiambia Mahakama hamuhitaji tena mkewe Hilda Mleya (30) kwa sababu ni mzuri kupita kiasi. Arnold mbele ya Jaji...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle. Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke...
5 Reactions
78 Replies
3K Views
Wasalaam, Maisha ya mwanadamu yamejawa na matukio mengi ya huzuni, furaha, majonzi, kukata tamaa ya kuishi n.k Hii ni story ya kweli iliyonikuta ndani ya mwaka mmoja uliopita. Ilikuwa kipindi...
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Tahadhari: Huu Uzi Una Sauti kubwa mno,kama upo very sensitive pita Kulia! Tofauti na Sodoma na Gomora ya zamani ni kwamba wale waliadhibiwa Kwa kuingiliana au kufanya mapenzi wanaume Kwa...
30 Reactions
155 Replies
10K Views
Jamani sio matangazo, ila tu natamani na wanaume wengine wapate meseji kama hizi ili kuimarisha afya zao za akili. Maana Kuna wanaume wenzetu wamepoteza molari na kufanya kila kitu kwao ionekane...
7 Reactions
103 Replies
6K Views
Huo ushauri nilimpa villagemate wangu alio graduate mwaka 2019 na akajiliwa na serikali kwenye ajira za ualimu wa sayansi, akaupuuzia eti anataka graduate mwezie. Mwaka hu kamkopea 11m CRDB kwa...
0 Reactions
4 Replies
780 Views
Nna rafiki yangu wa miaka mingi Ni ustadhi yule swala 5 pure. Yeye hujishughulisha na uwakala wa miamala ya Simu na kibenki. Mara nyingi miamala yangu ya Simu na kibenki huwa nafanyia kwake. Ana...
12 Reactions
182 Replies
9K Views
Kunakuwa na mijadala mingi Sana tena iliyokinzani pale ambapo inatokea mume amemuua mke wake wa ndoa. Sababu ambayo hukimbiliwa na wengi pasipo hata kuwaza sababu nyingine ni hii ya wivu wa...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
" imagine Imenichukua wiki 3 niweze kupanga hizi games mbili za leo mpaka zika tick ilikuwa ngumu sana. Demu mmoja akiwa free mwingine yupo tight. Yule akiwa free huyu yupo period.. Hatimaye leo...
10 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wakuu, moja kwa moja kwa hili jambo linalonitatiza. Hawa wanawake wa sasa sijui huwa wanawaza nini aisee, kuna binti tumefahamiana kama siku mbili, siku ya tatu nampigia simu anasema...
16 Reactions
74 Replies
3K Views
Kama unajua kabisa mke wako katokea zile sehemu (zinajulikana) wanakosifika kwa mambo haya, tulia kwenye ndoa ufururahie utimamu wako, ukijidai mbishi na kuna akili za kuchepuka, akija kugundua...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakubwa wanakuambia uzuri wa nje ya nyumba usikudanganye kuwa ya ndani ni mzuri. Na usilolijua na kama usiku wa giza. Leo nataka kuongeya na ninyi vijana wa kisasa ambao mnavutiwa na uzuri wa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom