Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu
Jamani navutiwa sana na wadada wanaovaa cheni miguuni ( Vikuku)
Huku nliko nakaa na wanachuo wa SAUT wengi wana mizigo ya kutosha nyuma,wanapigaa vimini then...
Niaje mababu na mabibi,,,,,
Okay,,,najua mko fresh kinya. Kinyamaa ama nini
Twende kwenye mada husika,,,,
Oooh my God, kabla ya yote kwanza niwakumbushe Wana JF wote kumpgia kura LISSU mzee wa...
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa...
Wakuu habarini napoleni pia na mahangaiko ya kujitafutia ridhiki.
Naombeni ushauri maana simuelewi huyu mchumba wangu.
Nilikutana na huyu binti miez 4 iliyopita na wakati nakutana nae nilimpenda...
Kama Kichwa cha habari kinavyosema, hakuna haja ya kupoteza muda.
Binafsi mimi ni mstaarabu na najua kujali sana, nilishawahi kuambiwa na Ex wangu kuwa japo nakuwaga namna gani vipi lakini...
Jana wamerudi wamelewa. Na dada anamfokea shemeji kama mtoto. Nikajiwa na busara kuwa hapa nisipokuwa makini tunaweza siku moja fukuzwa shemeji akichoka kiburi cha sister.
Basi nikamtuma hausigel...
ATOLEWA NDIZI UKENI KWA OPERATION.
Mwanamke mmoja nchini Kenya ambaye amehifadhiwa jina lake, alijikuta katika wakati mgumu sana uliopelekea Afya yake kuzorota mpaka kukaribia kufa.
Ni baada ya...
Ni masista duu nimewanyaka sehemu fulani wakijadili na kupondea, eti hawaolewi kwa sababu wanaume wanawanyang'anya wanaume zao, hiyvo kumekuwa na uhaba wa wanaume😳. Jambo lingine, eti hata picha...
Miez 6 ya uchumba hatukuwahi kujutia malengo yetu ya kuwa na familia siku za usoni licha ya kutokuwa na mahusiano ya kimwili mambo mengi tumeyafanya kama mke na mme kupitia kivuli cha uchumba...
Kipindi fulani nilikuwa Moshi kikazi nikabanwa na ukame nikaanza msako. Karibu na kazini kulikuwa na mawakala wa mpesa wazuriiii matoto mawili ya kichaga kwenye duka moja. Nikapambana nikapata...
Habari mabibi na mababu,
Napitia kipindi cha stress zisizohimilika kwa kuponzwa na Tamaa za kimwili, kufupisha stori ni hivi mwakan mwanzon kabisa nitafanya jambo la harus na mchumba angu wa muda...
Aaa jamani hii nishida nyingine tuitizame katika pita pita zangu huko na huko hili nalo tulitizame
WANAWAKE: Jamani hawa viumbe(wanaume) hawatulii kabisa wanajielewa wenyewe
WANAUME: Mademu...
Nisiwachoshe wanajamvi.
Miaka michache huko nyuma nilikutana na binti mrembo nikiwa kwenye taasisi fulani kwa ajili ya huduma fulani niliyoifuata hapo. Mtoto mweupe flani hivi amazing na kwa...
Habari wakuu,
Nilikuwa natafakari baada ya kushiba chakula cha mama wawili hapa chenye ladha ya amira kwamba, wapwa mnawezaje kurudisha penzi lililoangamia, ulitumia mbinu zipi kumrudisha mpenzi...
Ngoja tujipongeze mwaka unaisha hivihivi kama utani ujawahi fumania naniliu hata mara moja wala kuwa kwenye mahusiano
Natumai mwakani kutanoga zaidi kwetu Neema itatuangazia 😔😊
I'm 29 yrs old now. I have never been in any relationship, like serious, sina boyfriend hadi sasa. Although I had several crushes over some men, but neither of them didn't work because they were...
Na kama ni dhambi, ni nani alithibitisha hilo na alitumia vigezo vipi vya kisayansi?
Wapo wanao amini ni dhambi, au wengine wanakuwa na hofu ya kuachwa, au wengine wanakuwa na ile hali ya...
Aisha ana wapenzi wawili, Moja wao ni Ally na huyu ndie boyfirend wake wa tangu kitambo na anampa penzi moto moto.
Wapili ni Jose, Kijana flani yupo Taasisi flani nzito ama mfanya biashara mwenye...
Kwanza hali zenu nyote na ni wazima pia,
najitahidi mnooo kuheshimu kila mtu lakini
huu mkasa ulionikuta siku chache tu baada ya kujiunga hapa nahisi bora
niulize kuwa siamini kabisa.
Naombeni...
Tujadili kiutu uzima kwakuwa pepo halisi wala jehanum hatujazifikia..
Ni swala zima la kufika ama kutofika kileleni (raha na kero yake)
Hebu pata habari za vijana wanaopenda kujichua raha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.