Situmii nguvu nyingi!
Yeye ni ukoo wa Swai, akaoa Ukoo wa Mbowe.
Baada ya Ndoa Mume akamuingia mkewe na kumwomba amchukulie mkopo Wa kiasi cha shilingi Milioni Kumi na Tano(15,000,000). Mwanamke...
Habari ya weekend JF.
Mpenzi wangu nimempa ujauzito.
Nipo mbioni kupeleka posa kwao ili nifunge nae ndoa Takatifu.
Wazazi wake bado sijakutana nao, binti yao ameshampa taarifa mama yake kuhusu...
Kwa vijana (wa kike na wa kiume) ni kawaida kuwaza kuwa nguvu ya mapenzi ni kwa mtu kuwa na mwili wenye kuvutia ama kuwa na pesa au vitu vya thamani vinavyotamaniwa na wengi. Lakini ushahidi...
Habari za wakati huu,
Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16], yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
Nampigia tunaongea...
Leo nitatamka maneno ya kutisha kidogo. Wabakaji wengi hawana akili,ni mataahira kwa ushahidi ufuatao;
India mwanamke alimkata uume mbakaji aliyejaribu kumbaka: kwa akili ya kawaida tu hivi...
We jiulize toka enzi ya adamu mpaka sasa kuna watu wangap walipitia km yako!?? Je walifanya maamuzi gani
Ndugu kila kinachotokea ktk mapenz ndio mapenz yenyewe we chukulia ivyo ukipendwa au...
Kwema huko wanaume wenzangu, nina jambo la kuwashirikisha kuhusu wake zetu ili kama umekutana (umeoa) mke wa namna nitakayoieleza hapa basi uwe mpole na mtu mwenye kutumia akili zaidi.
Kuna...
Wakuu mimi Aulu nakili kupatwa na mambo ya ajabu ambayo yamenivuruga kabisa mtizamo wangu kwa wanawake wanene kiasi kwamba nikiwaona sitamani kitu tena.
Kiufupi nilikua sijawai piga pisi nene...
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.
Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe...
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana...
Jamani limenifika hapa. Maadili yameenda wapi? Heshima ipo wapi? Wale wasichana wa miaka 2000 kuja chini wapo wapi? Zile adabu na heshima za enzi za mama zetu zi wapi?
Siongei kwa kuwakandia no...
Habari zenu ndugu zangu, wanajamvi wenzangu?
Nhoja niende kwenye maada. Kuna mdada nimemkuta hata kwenye lounge wakati napata moja mbili huku nikiwa naangalia Simba wakicheza na Underdogs...
Binti asema alibakwa na Mchungaji Nilijikuta kifuani mwa nabii tukiwa wote watupu14/11/2013
2 Comments
MCHUNGAJI wa Kanisa la Shakinah Pentecostal la mjini Dodoma, Nabii Elisha Mliri, ambaye...
Hizi hapa dalili za Mpenzi/Mwenza anayechepuka.
Mtu kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja imekuwa ni jambo siyo la kushangaza kwasasa. Siyo suala jema katika mahusiano hususani ukiwa huna uhalali nae huyu...
Kuna kale kauchovu huwa kanakuja baada ya kupiga bao inabidi usizi dakika kadhaa kabla ya kuendelea raundi nyigine, wengine hata kuendelea hawewezi wakishapiga kimoja kifuatacho huwa ni kuuchapa...
Wakuu,
Kumekuwa na utaratibu hasa kwa familia zinoishi mijini na zenye uchumi mzuri , kukusanya nguo zilizovaliwa na wanafamilia kwa kigezo kwamba hawazihitaji tena na baadae kuwapelekea baadhi...
Nilikuwa nimeshaanza xmass uchagani ila nimekaa nikawaza lazima nitoe hii post.
1. Sisi vijana tunapenda hela za haraka.
So tunaenda shot cut Kwa waganga, mganga anasema lazima nilale na wewe...
Nimewaangalia watu mashuhuli wengi kama vile Ben Netanyahu(Isra 'el), Biden(Amerigo), Trump(Amerigo), Obama(Amerigo), Gates(Amerigo).
Wote hawa wake zao, kwa kweli kwa mwanaume mwingine yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.