Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mwenza wangu ni first born . Hana upuuzi wa ki DSM kihoma Arusha au mwanza. Anajali familia, ananijali na analea watoto wake. She is genius. Oeni watoto wa kike first born. Hawana ungese...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1. Uchumba wa mda mrefu Hufungua mlango wa uasherati. Uchumba wa mda mrefu kupita kiasi hufungua mlango wa dhambi ya kufanya mapenzi kabla ya ndoa kati yenu, kwasababu mtakuwa mmetumia muda...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Tuambiane mana kuna watu unakuta wanachukia kabsa kufanya mapenzi utawasikia yaan mimi sipenz kufanya mapenzi Silazimish tufanane ila kuna raha kubwa kwny kula papuchi kwa sisi wanaume,na utafiti...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Ukisoma threads nyingi hapa jukwaani zinahusu mahusiano ya wanandoa, utagundua kwamba wengi waliingia bila kujua ni nini hasa walipaswa kufanya kabla ya kufikia maamzi mazito ya kuoana. Niwaombe...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari ya jioni. Namshukuru Mungu Kwa kunipa ujasiri na uvumilivu Kwa kipindi chote Cha maisha yangu. Nilifanya maamuzi ya kuoa since 2005 na kubahatika kupata watoto wa kiume wawili. Mnamo 2018...
2 Reactions
55 Replies
3K Views
Binafsi nina muda mrefu sana nmekuwa single hii ni kutokana na uchumi wangu kutokuwa stable. Kwa bahati nzuri katokea mtoto mmoja kitanga kanielewa sana. Baada ya kumpata huyo mtoto nikapata...
12 Reactions
44 Replies
2K Views
Hi tabia ya wanaumme kupiga mizinga wachumba wao, wake wao, marafiki zao wa kike imeshamiri sana katika vijana walio zaliwa kuanzia miaka ya 90s mpaka 2000 kwasbb moja. Hawataki kupambana na...
12 Reactions
49 Replies
2K Views
MAUWAJI YA KUKUSUDIA YA YAMPELEKEA KUNYONGWA HADI KUFA Taitus Malambwa Miaka 28 Mkazi wa kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa katavi amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Nimekuwa nikiona wezi wa wake wakishushiwa vipigo mitandaoni nami nimewahi kushuhudia tukio kwa macho yangu jamaa kakamatwa na mke wa mtu akaanza kupigwa na mme halali. Je kwa sheria za hapa...
1 Reactions
5 Replies
515 Views
Wanaume ni watu wa ajabu sana ,nilikuwa nasikia watumishi wa serikali wanawake wanalizwa na wapenzi wao sasa nimeamini Wengi wao wanasimulia bae wangu nilimkopea mkopo akatoweka nikabaki naishi...
15 Reactions
36 Replies
2K Views
Habarini wakuu, pilika na harakati za maisha ya kila siku yanaendaje!? Wenye changamoto ya afya poleni Sana, mola atawanafuu. Bila kupoteza Muda Sana leo nmefikiria nishushe mzigo ulionielemea...
37 Reactions
94 Replies
11K Views
Naanza na kusonya mfyuuu. Jana nimefanikiwa kugundua na kujifunza kitu in hard way. Nilikuwa na vichenji cheji kama elfu nne ivi.so nikasema niende Mwananyamala nikaone malaya wa kule how they...
2 Reactions
19 Replies
710 Views
Nimekaa nayo hii moyoni ila uzalendo umenishinda imebidi niseme hapa jukwaani pengine nafsi itatulia Nilipokuwa mwanafunzi chuo miaka kama 10 iliyopita katika ujana na Maisha ya chuo basi...
14 Reactions
51 Replies
7K Views
Mabinti /wanawake wengi wachuoni wamekua wakijiachia sana na kuishi na mwanaume kwenye mageto yao na hata wengine kufikia kutumia njia za kisasa kuzuia mimba huku wengine wakiishia kujiuza wa wapo...
11 Reactions
82 Replies
5K Views
Si mara moja au mbili umewahi kusikia wachumba wametengana hivyo kukatisha ndoto yao ya kuwa wanandoa. Uchumba kuvunjika ni moja ya masuala yanayozungumzwa na kuikumba jamii kila kukicha ingawaje...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bado nangoja yote yapite moja ambalo halitapita ni mapenzi. Hii ni tamu na chungu zaidi. Sina sifa zozote, anipende, tupendane na kuheshimiana. Hayana mwenyewe, naweza kupenda kijana au mzee...
0 Reactions
7 Replies
830 Views
Kwa uzoefu wangu, kojo la kwanza na la pili ndo huwaga 💥, hayo mengne huko mbeleni ni kujitutumua tu ili umridhishe mwanamke. Nakumbuka kuna siku nipo natafta kojo la nne, mashine imesimama...
20 Reactions
118 Replies
10K Views
Declaration of interest: ======== mleta mada hii ana wake watatu ambao ni marafikiri na wanashirikiana na kusaidiana kwa karibu sana. ======÷== Facts 15 kuhusu ndoa ukizitumia zitakusaidia. 1...
12 Reactions
17 Replies
3K Views
Na sijui ningeenda kumjibu nini Sah Godie[emoji24][emoji24] Just assume, unamuita aje gheto, anakwambia sintokuja, mida ya saa tatu usiku anakushtukiza, huna hili wala lile mrembo katokeza huku...
11 Reactions
49 Replies
5K Views
Back
Top Bottom