Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hiki ni kisa cha kweli kabisa kimewahi kunitokea wakati nina umri wa miaka 6! Ilikuwa hivi nilitoka nyumbani na Rafiki yangu kwa lengo la kwenda kucheza ilikuwa sio mbali sana na nyumbani,sasa...
14 Reactions
12 Replies
1K Views
"Mwanamke aliyefundwa hasubiri kuombwa tendo la ndoa na mumewe, Mume kukuomba tendo la ndoa ni ishara kuwa wewe hujui nafasi yako kwake. Mwanamke mwenye akili na mwenye kujali ndoa yake...
26 Reactions
50 Replies
8K Views
Habari zenu wakubwa kwa wadogo, naombeni mnishauri kabla sijafanya maamuzi, kuna huyu mwanamke huwa ananipenda sana anataka niishi nae, japokuwa hatuna muda mrefu sana tangu tumejuana na Leo ndio...
10 Reactions
177 Replies
8K Views
Mapenzi bwana kitu kingine bwana Kuna demu kipindi ambacho nilikuwa naye kwenye mausiano alikuwa mwenye furaha saana maana nilimfanyia vitu vingi kwa uwezo wangu nikamfanya kuwa mwenye furaha mda...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Morning Tumeanza mahusiano hii week sasa lakini kashaomba hela mara tatu then leo ananiambia hvi, nimekosa cha kumjibu kabisa Ungekuwa wewe ungemjibuje.
9 Reactions
49 Replies
3K Views
Mimi ni mtumishi wa umma kwa Miaka nane sasa ktk idara Fulani ya halmshauri. Nina 33 yrs old na elimu ya MSc. Kilichonileta hapa ni kwamba Nina mchumba wangu ambae ni Mwl na sasa hivi ni mwl mkuu...
3 Reactions
85 Replies
4K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu.. Bila ya kupepesa pepesa macho naomba ni waambie dada zangu kwamba wanaume waoaji wapo wengi sana na wanajielewa tatizo nyie dada zetu tamaa nyingi sana mpaka...
25 Reactions
210 Replies
8K Views
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo...
36 Reactions
164 Replies
15K Views
Kila siku narudi nane Usiku nimelewa na nalala na viatu watoto wa Nje kibao bila hata Matunzo najua umefunzwa unyagoni kutunza Mume lakini sio Kama Mimi ,unafaa upate mume na uolewe na sio...
1 Reactions
6 Replies
485 Views
Kuna hili suala la watu kusema hata ukioa mwanamke ambaye kwao wana uwezo kukuzidi sio tatizo. Huko ni kujidanganya. Inakuwa sio tatizo labda mwaka wa kwanza wa ndoa yenu, wakati wa honeymoon...
18 Reactions
49 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Nataka nizame MUM niopoe jiko, lakini dunia imechangamka sikuizi watu wanafake ID mpaka fake jinsia. Matapeli wapo kazini kila sekta. Sasa kwa wale wazoefu wa haya mambo online, Ni...
0 Reactions
28 Replies
933 Views
Ilikuwa ni Miaka 970 BC... Ndipo Queen of Sheba aliposikia Habari za kidume Kimoja Kutoka Israel... Sio Mwingine ni..."King Solomon" Malkia wa Sheba Kutoka Katika Ufalme wa "Axum" huko...
37 Reactions
132 Replies
9K Views
"Nilpokua mdogo nilipambana sana kusoma na kufanya kazi mbalimbali nikiaminishwa kua nikiwa mkubwa nitakua na msingi bora wa maisha." "Nimesoma sana, tena ngazi zote za elimu namaanisha hadi...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu wa kazi najua wote mnaendelea poa na mapambano ya kila siku. Moja kwa moja niende kwenye huu mkasa ambao unamtatiza jamaa yangu wa karibu. Huyu ni mmoja kati ya jamaa zangu wanne ambao...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wanaume..! anapotokea mwanamke mbele yako, akajilengesha lengesha ili akunase na ukanasika unajionaje? kuingia kwenye mtego wa mwanamke ambae hukumtaka huu ni udhaifu[emoji848] wanaume sasahivi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nawasalimu wana Jamiiforums. Kwa kulinda faragha yangu kuna baadhi ya taarifa zitazisema direct. Sehemu ya kwanza. Nilihitimu mwaka 2018 Diploma ya Ugavi na manunuzi CBE Tawi la Dodoma, kutokana...
11 Reactions
88 Replies
10K Views
Natumaini Mu wazima, Nipo kwenye mahusiano na binti mmoja anaitwa Jesca, Tuna kama miezi minne kwenye haya mahusiano.. Mwanzon penzi lilikuwa moto Moto kwan J alikuwa ananipenda Sana, alikuwa...
8 Reactions
81 Replies
6K Views
Hongereni na majukumu yenu katika harakati za Ujenzi wa Taifa. Ndugu wafuasi na wachakataji Mbususu naomba ufafanuzi katika hili 👇 👇 Katika...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
Leo bwana nipo gheto pisi imenipigia simu inakuja then ni kasema fresh njoo. Guess what kaingia ndani we make stories and all. Suburi ni rewind kidogo hii pisi nimeijua kwa job with the chats...
16 Reactions
104 Replies
7K Views
Back
Top Bottom