Hii tabia ya kubambikiana watoto haijaanza Leo!
Tangu enzi za mabibi na mababu tabia hii ilikuwepo!
Kipindi hiko wamama walitumia njia hiyo kama mbinu ya kubakiza mbegu duniani ili kukwepa...
Ukisikia hili neno utapata tafsiri tofauti na uhalisia, 'bustani zenye manukato' zinanukia vingine vya kihisia vya kimwili vya kushibisha moyo na nafsi na hisia na tamaa za mwili na chakula cha...
Bila kupoteza muda niende kwenye mada!
Miaka kadhaa iliyopita jamaa (tumuite J) alikuwa na mahusiano na binti (tumuite MG) binti alimpenda sana J kiasi kwamba alikuwa radhi kufanya chochote kwa...
Ukiyakataa mabadiliko yatakubadilisha kilazima na yatakuumiza.
Utaona mtu mbaya, ana dharau kumbe si kweli. Mlikuwa washkaji ni kweli kuna kitu kilikuwa kinaleta ushkaji wenu. Kama ni shule hapa...
Walioa bhana yaani kelele na kutikisa vitambi tu, hawatembei na vivuli vya wake zao. Wakiwa bar wao, mgahawani wao, lodge au gesti wao, ktmota wao, kuku wao, kwenye sebene wao.
Jazeni vitu vya...
Imekaaje wakuu?
Tumepata mdada hapa home, alivyofika tu siku mbili akauliza jamani hii nyumba ina baba? Baba anaishi hapa? Akaambiwa ndio.
Asubuhi akaomba apelekwe kuwekewa kitanzi cha kuzuia...
Akili ya mwanamke ni tata, inafananishwa na utata unaopatikana kwenye hii picha
Note: Ukianza kumuelewa mwanamke anataka nini, tambua kuwa siku za uhai wako ziko ukingoni.
Pitia matukio haya...
Habari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu, Katika story za hapa na pale na wanawake wenzangu weekend tukiwa tumejitoa kidogo kufurahia maisha.
Mmoja wa wenzetu akasema akiwa ofisini mwenzao...
Kama heading ilivyo nimekutana na mshkaji wangu mmoja ambaye ni mtu wangu sana wakaribu haiwezi pita wiki bila kukutana mbali na kupigiana simu kila siku.
Leo story yake ilikua ya huzuni sana na...
Wanaume tumeumbwa kwa ajabu sana, tumeumbwa na vichwa viwili daah, kichwa cha juu na kichwa cha chini.
Kichwa cha juu kazi yake kutafuta pesa na kukupa mawazo mazuri ya kusaka pesa, ila kichwa...
Za shughuli?
What exactly leads women to kill their hubbies to remain widows? Kumekuwa na minong'ono mingi juu ya sababu hasa za wanandoa kuuana.
Wanaume wanaua wake zao halkadhalika, wake...
Habari
Mimi ni kijana mwenye miaka 27 mhitimu wa chuo, nimebahatika kufanya kazi sehemu mbalimbali na pia nimewahi kufanya biashara tofauti tofauti, japo sijawahi kukaa kwa muda mrefu katika...
Nachoelewa mfano unamsaidia binti kumsomesha ila huhitaji chochote kwake au shukran yoyote huo ndio msaada.
Ila unamlala mwanamke huku unasema unamsaidia ni aina gani ya msaada, ninavyoelewa...
Unajua katiia hali ya kawaida mapenzi yanajengwa kwa vingi. Unajua kwanini mtu anaweza kuwa na mtu mmoja kwa muda mrefu sana halafu mahusiano yakavunjika kwa sababu tofauti, lakni ikawa kila...
Kuna binti wa Kichaga (Mkibosho) amenikubalia nimuoe.
Mimi ni mhaya. Nataman kufaham process za uchumba wa Kichagga, baada ya kunikubalia nini kinafuata mpaka kufikia Ndoa
Sisi sote ni Wakristo...
Wakuu natumai mu wazima.
Kama una girlfriend amekuzidi miaka 2 je ni umri gani sahihi wa kupata mtoto ikiwa mimi niko 20yrs na nina kazi yangu na gari.
Ushauri tafadhali
Habarini za majukumu ndugu zangu.
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini.
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu...
Ndugu habari za jumapili.
Nilikuwa na mahusiano na binti niliempenda sana na kuwa na malengo nae mengi sana. Kitu ambacho sikujua binti ni muathirika na kwa mujibu wake anatumia dawa.
Ilikuwa...
Watu wa Mungu nadhani wote mko salama paleni na majukumu yenu ya kila siku, kwa ambao mnachangamoto poleni na Mungu yu pamoja nanyi:
Twende kwenye mada husika Jana nilileta hapa jukwaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.