Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Na wadada pia mnaruhusiwa kuja hapa kuelezea jinsi mlivyowala hela wanaume bila kuwapa papuchi..na kiasi cha hela ulichomfilisi Wanaume mliohonga na kuikosa papuchi najua mpo wengi humu jf...
2 Reactions
55 Replies
8K Views
Kuna aina ya watu ambao kuweza kuachana nao au kuvunja uhusiano nao ni almost impossible. Mahusiano hayo huanza hivi: umemuona na amekuvutia haswa, muonekano wake ni uleule wa mtu wa ndoto zako...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama zipo mbili tu, achia ngazi mchuma uondoke.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda ufanye maombi sana. Haya angalia...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
Kiukweli kama week mbili sasa sikuwa na amani kabisa wala furaha. Huyu dada nampenda sana na ni mwaka sasa. Nimeamua nimuoe. Of course nlimkuta ana mtu so nikatumia nguvu nyingi kumpata. Sasa...
36 Reactions
187 Replies
9K Views
Mungu wasamehe wanawake wote kiukweli sio akili zao…..wanateswa na mapepo makali sana
15 Reactions
101 Replies
9K Views
Sisi wanaume, katika utafutaji tunapitia changamoto nyingi, misukosuko, matusi, milima mikali, vilio na vicheko humo humo, kujaribu kulogwa, visiki na migongano ya kila aina, lakini kwasababu sisi...
2 Reactions
4 Replies
398 Views
Mama mitano tena[emoji28][emoji28] Out there wakuuuu. Mwanaume usitelekeze mtoto please! Usimwache mwanamke aangaike kulea mtoto peke ake tafadhali, usifanye hivyo, hata kama una hali ngumu...
16 Reactions
20 Replies
2K Views
Mapenzi yana raha yake pia yana karaha. Mapenzi ni asali pia ni sumu. Mwaka 2017 nilikutana na mwanamke fulani shuleni, Nilimtongoza mwana dada huyo kwa bahati nzuri akakubali ombi langu...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari wangu. Kuna ishu naomba msaada, sijuwi ndio mambo yamebadili siku hizi kwenye whatsApp. Nilisitisha mahusiano na aliekuwa mpenzi wangu. Nilifuta namba yake na picha zake zote. Lakini...
7 Reactions
80 Replies
8K Views
Kuna binti mmoja nilikua nadate nae. Mimi ni wale masela ambao hatupendi kuombwa ombwa ela. Kama manzi nimemuelewa hua sisubiri awe ananiomba ela. Napendaga kutoa tu ela bila kuombwa. Sasa baada...
25 Reactions
61 Replies
3K Views
Najua unampenda sana mchumba wako ila mchumba wako ni rafiki yangu tu wa kawaida sana na sijawahi hata kumtongoza wala kumfikiria kwamba kuna siku nitamla. Kihistoria ni mwanamke uliempenda sana...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Ngoja leo niwaambie kitu wanaume wenzangu...ukiwa na mke muelewa anae jua kujisimamia na kuisimamia familia vilivyo kiroho, kimwili nk Mwenye uwezo wa kusimamia miradi ya familia vizuri...
20 Reactions
191 Replies
10K Views
INTRODUCTION Ni mdogo angu (family friend). Kwao ni wa mwisho kuzaliwa (last born). Ana miaka 26 na ana mtoto mmoja wa kike. Yeye na huyo baba mtoto waliachana ila mtoto anatunzwa fresh. SCENARIO...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Ni miezi 11 sasa, tunaishi pamoja ila simuamini bado kiasi chakula chochote alichoandaa pasipo mimi kujua wala kuona kwa macho yangu. Kama ni kulala basi tunalala vyumba tofauti, ni ngono ndiyo...
5 Reactions
156 Replies
7K Views
Salama wakuu? Kwenye haya maisha yetu ya kila siku. Kila mtu ana uhuru wa kufurahia chakula. Je, wewe huwa unafurahia kula chakula gani? Kilicho karibu yako au mpaka ufunge safari kukitafuta...
0 Reactions
13 Replies
539 Views
Ukimfumania mkeo na jamaa kitandani kwenye nyumba yako, maamuzi gani utachukua? Share experience yako [emoji16]
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Alinisihi tusizini mpk tutakapo oana. Na hata nilipojaribu kumsihi nimtembelee anapoishi (amepanga chumba chake) alikataa katakata akidai kuwa tunaweza kufanya maovu. Nilipopeleka barua...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Habarini za humu wadau, juzi tarehe sita mwezi wa 12. Nilikuwa nasherekea siku yangu ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 21. Basi nikajipostia picha yangu na baadhi ya maneno kujiwish happy birthday...
6 Reactions
180 Replies
13K Views
Habari za humu jf, Nipo kimasomo hapa Dar es salaam ninaishi geto moja na mshikaji wangu yaani tumepanga pamoja kushare cost sasa yule jamaa yangu ana demu wake mmoja kisu kweli huwa anakuja pia...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
'Fiesta condom' kwangu ni kondomu bora sana kuwahi kuitumia kutokana na namna ilivyo, haipotezi ladha, yaani ni kama kavu. Sasa shida ni kuwa kwa sasa imekuwa imekua ngumu kidogo kupatikana, yaani...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Back
Top Bottom