Ni pale utakapogundua kuwa ulimpatia jina la Ex wa mkeo mwanao uliemzaa na huyo mke wako wa ndoa bila kujua " vp itakuuma kiasi gani? Ama utapotezea tu na maisha yaendelee ...
Kumbuka pia wakati...
Nimejifunza hili in a hard way kweli wanawake wengi wanaishi na wanaume kiushindani. Kila anachofanya mwanamke na yeye anataka kufanya. Nimejifunza kwa uchungu sana hili.
Na ndomana wakati...
Wosia wangu kwenu acheni na ogopeni mahusiano yasiyo na malengo tena yaogope sana maana yamekuwa ni janga kwenu.
Unakuta binti yuko kwenye mahusiano na mtu fulani, lakini ukimuuliza malengo ya...
Bibi Harusi alienda stationary aliomba achapiwe 1 Yohana 4:18 kwenye CARD YA HARUSI lakini mchapaji alifanya kosa kwa kutoweka "1" kabla ya Yohana hivyo akachapisha Yohana 4:18_
1 Yohana 4:18...
Kupenda penda huku sometimes
Kuna kijana wa kizungu tulifahamiana nikiwa Arusha kwenye shughuli zangu za kimaisha
Huyu ni raia wa Finland alikuwa anatoa huduma za kikanisa Arusha na Kilimanjaro...
Mlalamikaji: Money Penny bwana huku kwenye ndoa yangu changa kuna shida mno
Tumefunga harusi mwezi uliopita, Eti mume kagoma kuzama chumvini kwasababu yeye ana cheo kazini NI Boss kubwa
mimi...
SABABU ZITAKAZOPELEKEA MKEO AWACHUKIE WAZAZI NA NDUGUZO!
Anaandika, Robert Heriel.
Katika jamii wapo Wanawake wanaochukia Wakwe zao, wapo wanaochukia Ndugu za mume.
Zipo sababu zinazopelekea MKE...
Nilikaa kimpya sikujibu nilikuwa nawacha nisome maoni yenu kwanza halafu nikupeni update sasa. Na sasa nafunga huu mjadala na pia natumai mnaotaka mke sasa kama bado mmo sasa tulieni. Na mnao...
Wandugu wasalaam nisameheni msinitukane sana jamani ila huu umaskini huu! Nina kipato cha kawaida cjui kutongoza sana.
Ni msichana mwema kwangu, ckutumia hata muda au hela kumpata yani...
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa...
Tukiwa tunaianza wikiendi tulivu kabisa nawasalimu wanajukwaa wote.
Kilio changu mimi ni kwa wanaume hasa waliooa, wanaoishi na wachumba au wapenzi wao iwe kwa kutoa mahari au kinyemela ila...
Huyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.
Nishamsisitiza...
Kuna hii kitu nimeisikia sana kwa jamaa unakuta michongo haijakaa sawa ila unakuta wana wanakwambia eti ndoa inakuja na baraka zake, michongo itajiset ukiwa kwenye ndoa, mimi personally sijui...
Jamaa yangu maarufu kwa jina la Ticha hapa mtaani alimaliza chuo miaka mitano iliyopita. Akapata kazi ya kufundisha shule fulani hap mjini na akajiongeza akapata mkopo akanunua gari na pia...
Siku yako ya kwanza kuzama Chumvini(Me)/Kulamba dushe(KE) ilikuwa mwaka gani ? Je uliyoanza nae kufanya hivyo bado uko nae mpaka sasa au ameshakuwa EX friend?
Binafsi ilikuwa mwaka 2011,mpenzi...
Kwa hali yenyewe ya ndoa kama ndipo ipo hivi aisee nahisi ku give up mapema saaa aise.
Nilihisi ndoa ni kunyanduana tu na kucheka cheka aiseee.
Samahanini nimeandika kwa sababu niko na stress...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.