Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna mwanamke ambaye nilikuwa naye kwenye mausiano mwanamke huyo alikuwa ananipenda saana kwasababu ya uhuni wangu nilikuwa na shindwa kuheshimu hisia zake nikawa na mpa stress kila mara alikuwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimelete kwenu Uzi huu nahitaji msaada wenu. Mimi ni mhitimu wa chuo sina hata miezi miwili nimehitimu chuo. Nimekuja hapa kwa kaka yangu maeneo ya wilaya ya Kilosa huku kupumzika kidogo huku...
5 Reactions
66 Replies
5K Views
Niliwahi kukutana na Dada msabato mmoja aliyenisimulia jinsi alivyoichukia ndoa yake baada ya kukutana na mwanaume mmoja muislam.Alikiri kwamba alipata ridhiko kubwa la kingono na moyo ulitulia...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Huu uzi siyo mrefu. Nataka nikupe ukweli mchungu wewe mwanaume mwenzangu kwamba "Ukioa mwanamke mwenye makalio lazima uchapiwe labda kama huyo mwanamke anamwogopa Mungu".  Nakwambia hivyo...
15 Reactions
57 Replies
4K Views
Picha linaanza yeye mwenyewe asubuhi kanitumia ujumbe kanikumbuka, anataka dushe, Zero bila iyana kuangalia kwa pochi nina 30k nikampanga aje lodge, akasema sawa. Nimelipia chumba 25K nikabaki na...
17 Reactions
58 Replies
3K Views
Sweetheart, KatungeWake You are the most precious, loveliest, and most important person in my life. This physical distance has become more troublesome than I thought. No matter where I go, I can...
1 Reactions
3 Replies
542 Views
Hivi zile sifa ulizokua unazitaja Za handsome,tall,dark Financial stable Na kwa mke (mnazijua nyie) Ndo anazo sasa hivi Au Ndoa ni upendo Hahahaha Nyie acheni kabisa Ningemshauri mtu yoyote...
6 Reactions
7 Replies
731 Views
Nakumbuka enzi hizo huyu mke wangu nilikutana nae jkt kj 823 Msange mujibu wa sheria, aisee nilimuelewa mno first time namuona. Ila bado nilikua lofa na domo zege sikuwa na guts za kumuambia, coy...
12 Reactions
68 Replies
4K Views
habari za asubuhi wakuu Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenichanganya iko hivi nilikua napita maeneo ya morocco hotel nikakutana na demu ambaye nilikua nampenda sema nilikuaga...
3 Reactions
66 Replies
9K Views
Za mida hii wakuu, Yan week 2 zilizopita nimejitahidi kukwepa vishawishi na mitego ya huyu binti, lakini leo nimefika mwisho. Last night alinipigia simu akidai kuwa anaumwa niende nikamuone...
12 Reactions
90 Replies
10K Views
Unaweza fikiria kuwa natania lakini hii ndio hali halisi kwa sasa, wadada wamekuwa wepesi sana wa kukubali ofa za kuolewa tofauti na hapo awali Sasa hivi kama geto kwako una kitanda, godoro, jiko...
9 Reactions
48 Replies
3K Views
Habri za leo wakuu, poleni na mihangaiko ya kusaka ugali wa kila siku. Niende moja kwa moja kwenye mada, nina mchumba wangu ambaye tumekuwa kwenye uhusiano kwa muda sasa, kiasi kwamba ninafahamu...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
Waswahili walisema "Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime" nadhani hapa pia walikuwa wanamaanisha hao wagomvi wanaweza hata kutumia jembe kukatana wakati wa ugomvi. Kwahiyo ni bora wewe ukalime...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wana izengo kama somo hapo juu linajieleza. watu wengine tunakutana na majanga na mitego. Ipo hivi, nilikutanana mwanamama huyu sehemu moja ya kutafutia riziki, ni mfanyakazi kama mie. Ni ofisi...
1 Reactions
55 Replies
3K Views
Just kumpenda tu upendo wa kawaida, msije kunihukumu eti labda hivi wala vile. Nampenda tu kama ninavyowapenda watu wengine Nimempendea upole, ana matamshi safi yasiyo na upuuzi, mrembo, anajua...
5 Reactions
87 Replies
4K Views
Wakuu kama kichwa cha hapo juu. Kwanza mmeamkaje, hapa kazini napo fanya kazi nina miezi kama mitatu au minne tangia nianze kazi meneja(HR )wetu kampuni x ni mwanamke mweupe pee una nywele ndefu...
5 Reactions
84 Replies
5K Views
Neno pesa limekuwa likitumika vibaya na watu wengi hususani jinsia ya kiume kuyatazama mahusiano, mapenzi na ndoa, kwamba bila pesa hakuna udhati wa mapenzi. Pia neno pesa linatumiwa kuonyesha...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa ambao ntawaudhi kwa hili ntakalolisema mtanisamehe lakini nahisi hapa JF naweza pata ushauri au msaada wa nini cha kufanya kwa hii hali yangu. Mimi ni kijana, umri wagu ni miaka 28 nimetimiza...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
Umempenda mtu fulani kwa sababu kupenda huwa ni kabla ya kukutana kimwili. Sasa baada ya mahusiano ya muda mmekutana kimwili unakuja kugundua kuwa jamaa hawezi, je, unaweza kudumu nae kwa sababu...
11 Reactions
184 Replies
9K Views
Hii hapa kesi yangu ya kusikitisha Ilinikuta ijumaa ya juzi katika harakati za kuianza weekend nikakumbuka kuna mrembo flani wa chuo nilichukua namba yake siku za nyuma kidogo maeneo ya micasa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom