Kwema? Watatu wa mwanzo waliniambia kuwa hawapendi wanaume walevi kwani ni wakorofi mno na wanapiga sana wanawake.
Hata nilipowaambia mimi situmii pombe wala bangi hawakuamini.
Hivi hii ikoje...
Kama mada inavyojieleza
Yapata wiki sasa nimesusiwa chumba nalala peke angu na nimenuniwa kabisa na mke wangu.
Ni hivi naishi na mke mbalimbali yani mikoa tofauti. Alikuja hapa maskani ila kuna...
Jamani hii kitu sio masihara hawa watu wanateseka balaa.
Hivyo basi kupitia mateso yao imebidi tuwaonee huruma.
Embu fikiri demu tu ambaye hana mbele wala nyuma jinsi anavyo sumbua. Sasa fikiri...
Inasikisitisa sana. Uyu Mwanamke anajua nampenda sana. Akija dukani kwangu atachukua nguo na viatu kadhaa alafu atapotea kama wiki mbili.
Akija piga tena simu anataka kitu au pesa. Nikimsalimia...
Habari zenu?
Miaka 11 iliyopita baada ya kuwa nimehitimu kidato cha sita, sikutaka kuendelea na chuo moja kwa moja,nikaona niingie machimboni huko katoro kutafuta maisha kwanza, nimechimba mawe...
Habari zenu natumaini wazima wa afya.
Najua wapo watu wapo kwenye mipango ya kufunga ndoa, mimi kitu ambacho nimekiona mambo ya kuzingatia kabla ya harusi;
1. Uwe na akiba yako binafsi kabla ya...
Kijana mmoja ampiga mpenzi wake risasi kumi (10) za kichwa Baada ya kumcheat
Kutokana na watu wanavyodai msichana huyo amemsomeshwa na huyo mchumba wake chuo mpaka kumaliza, alikua akisoma...
Peace be upon you all,
Wengi watasema tabia haihusiani na dini, well sio kweli tabia inajengwa kua njema au mbaya na mazingira ya mtu na hasa imani aliyo lelewa kwayo. Kuna msemo "Charity begins...
Habari wakuu,nimebahatika kujenga kibanda changu hapa Dar-es-Salaam, ni mtumishi wa ngazi za chini wa umma.
Kipato changu bado ni kidogo
Changamoto ninayokutana nayo ni kupewa watoto wa ndugu...
Ni kweli mapenzi kila mja upenda kwa kigezo chake cha kihisia na kiutashi, kubaki mtu au kuondoka kwa mpenzi wake ni suala linalohitaji kila mtu atimize wajibu wake katika mapenzi na ndoa.
Kwa...
Habari zenu jamani wanaume wenzangu.
Kuweni makini dada zetu saivi wanatafuta watu wa kitonga(mtu wa kukutumia wa ziada)ili kukidhi shida zake, uliwahi kuona mchezaji wa Azam akalipwa pesa na...
Wakuu,
Kwanza nakubaliana na ule msemo tafuteni pesa,
Bana kuna hawa gold digger yani mwanamke anapenda pesa yupo radhi akuchune mpaka senti ya mwisho, bila kujali alafu ukishiwa hataki hata...
Huyu mwanamke nipo naye kwenye ndoa mwaka wa sita sasa na tuna watoto watatu. Nilikuwa napitia simu yake katika 'search history' ya Google nikashangaa sana kuona kama wiki mbili sasa anatafuta...
Nawazungumzia mapacha wa kufanana Josh na Jeremy. Hawa jamaa wamewaoa wanawake mapacha wa kufanana Britanny na Briana.
Wake zao wote wamezaa watoto wa kiume, watoto wao wote wamezaliwa tarehe...
Habari, karibuni katika mada.
Kuna mdada niko naye katika mahusiano ya kimapenzi ila kwa sasa tuko sehemu tofauti katika harakati za kutafuta ridhiki. Kinachonikwaza ni kwamba ana tabia ambayo ni...
Mambo vipi wanajamvi!
Nakuja na mada yangu inayohusu kumlipia mahari baba yako pale ambapo hali yake kiuchumi si nzuri. Umeshawahi lifikiria suala hili? Twende pamoja!
Iko hivi, baba na mama...
Huu unaenda mwaka wa tatu naishi kwa ndoto nyevu tu. Yaani mwanamke hata awe na mvuto kiasi gani, kama hatuna mpango wa kuoana, amani ya kulala naye sina kabisa. Ingawa naweza kuwa na hamu ya...
Nawaza zawadi ya kumpatia mke wangu kama 'surprise' tu, kutokana na changamoto alizopitia mwaka jana, mwezi kama huu, mpaka ikafikia hatua ya kukata tamaa ya kuishi.
Alifiwa na mzazi wake...
Shalom! Kuna msemo eti wanawake wa zamani hawakuwa na makalio ila wa sasa wana makalio. Ni kweli, zamani walikuwa hawajui kujibinua na pia mavazi yalichangia, kwani walifundishwa kuvaa mavazi ya...
Inafikirisha sana ila ndouhalisia. Binafsi Nina msongo mkubwa sana wa mawazo kwakuondokewa na mpenz wangu julieth ambae alikuwa ananipenda vibaya mno. Ni miezi miwili sasa yupo mavumbini. Mola...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.