Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nimejaribu kuzunguka mtaa kwa mtaa, zaidi ya miezi 3, ili nipate mchepuko wa kiarabu; lakini bado sijafanikiwa. Naimani, nikipata mrembo wa umbo namba 8, wa Kiarabu; akili yangu itatulia na...
11 Reactions
140 Replies
23K Views
Hebu tupeane maujuzi kidogo maana unaweza kuta unafanya mapenzi kumbe kuna sheria unazivunja pasipo kujua unakuta unamboa ila hasemi Kwahiyo ndugu wapenda mbususu hivi ukiwa ndani ya sita kwa...
5 Reactions
70 Replies
5K Views
Havi kwanini wachezaji wengi wakike hasa hasa wanao cheza uku Afrika wanapendaga saana kuwa na mionekano ya wanaume Yaani ata akiwa nje ya uwanja mara nyingi kuvaa kwao na mambo yao mengine...
0 Reactions
4 Replies
461 Views
Kwa mfano nyie wanaume ambao mnajichua utamu mnaupata mkiwa wenyewe. Hii sio usaliti kwa mpenzi wako? Na hii ya kutumia vipuri?
6 Reactions
136 Replies
10K Views
Jamani mimi ni mfanyabiashara naishi Arusha huwa nakuja Dar kufunga mzigo na huwa nafikia SHARON HOTEL pale UBUNGO nyuma ya Stendi ya Mkoa UBUNGO lakini hii hotel inaniboa kitu kimoja wamefunga...
5 Reactions
122 Replies
23K Views
Ni juzi tulikuwako, kwa karamu yakufana Ikiwa bathdei yako, Da! Pati ya kuagana Ukanita Niko, niko, Ati hatuta achana Niseme si langu fungu, haujakubali mtima Siamini umeenda, hatutaonana tena...
12 Reactions
60 Replies
5K Views
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha? Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz...
28 Reactions
234 Replies
13K Views
A man I iwe nanyi wakuuuu Straight katika kutafakari hili swala LA wanawake wengi kulalamika kutelekezwa na waume zao baada ya kuzaa nao tena bila maelezo ya kina kwann wamefanyiwa unyama huo...
1 Reactions
85 Replies
11K Views
Habari za jumamosi wana JF, kisa changu kipo hivi mtani kwangu ninapo ishi kuna familia ambao ni majirani zangu. Sasa hawa majirani kuna wadada ambao ni dada mtu ma mdogo mtu wote wanalipa tu ila...
1 Reactions
17 Replies
711 Views
Habari wadau !!! Leo nimeachana rasmi na msichana niliedumu nae kwa miaka mitatu ni mlokole na ameishika din kweli kweli yaan ni kila siku jpili ni lazima aende church na siku za kati ya wiki...
8 Reactions
267 Replies
21K Views
Kila mahusiano yanakumbana na hizi changamoto. Mtu anamkuta mtu wake anapiga stori na mtu ina kuwa ugomvi. Akimkuta chumbani kwa mtu ndio balaa kabisa. Fumanizi huwa ni kipindi gani?
1 Reactions
4 Replies
643 Views
Wanajamvi hali zenu. JF ni kimbilio letu hata kwa vitu vinavyoonekana vidogo, ili kujifunza kwa kuamini kuna wajuvi wengi. Hatujui kila kitu. Katika harakati za kiume, jana nilikwenda mitaa ya...
12 Reactions
75 Replies
6K Views
Nimeapa kubadili mfumo mzima wa maisha yangu, sitokaa nitake tena mazoea zoea na majirani wapuuzi tena. Nimeoana mazoea yanaleta kutoheshimiana. Nimegundua hili ukubwani na nakiri nimechelewa, ila...
11 Reactions
52 Replies
3K Views
Ndugu zangu tangu ajali ya ndege iliyo tokea hapa majuzi ni mengi yamejadiliwa, bla !bla ! Ni nyingi Hadi muda huu. Ok let's get to the point! Leo nikiwa nimetulia Kuna wazo limenijia, kuhusu...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari wanajamvi! Leo nimeshinda zangu geto maana hali ya hewa ilikuwa hairuhusu kutoka mida ya jioni, nadhani hapa wakazi wa mji wa Morogoro watakuwa wamenielewa. Basi kufika saa tatu usiku...
6 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari MMU, Leo nimeona nije kuangazia upande huu wa wanawake, ambao wanaonekana kutoridhika kabisa na chochote wapatacho kutoka kwa wenzi wao. Mwanamke humfanyie chochote kile jua ipo siku...
14 Reactions
164 Replies
8K Views
Dear ex yoga My great love, I did not know how to value you... My only love, in all this time, since we've been apart, it's still hard for me to accept being apart from you. I woke up thinking...
1 Reactions
10 Replies
784 Views
Na Christian Bwaya Ninapata chai ya jioni na Injinia. Jamaa kafanikiwa. Maisha yake yanaongea na kuhamasisha wengi. Jamaa anaheshimika na kanipa heshima ya kikao. Simu zimeachwa yatima mezani kwa...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
ENGLISH: JESUS FREAK SWAHILI: KITUKO WA YESU NA-DEDICATE STORI HII KWA WATU WOTE WANAOMPENDA MUNGU HUKU DUNIANI. SIKO HAPA KUKOSOA IMANI ZA WATU WALA DHEHEBU ZA WATU ILA KATIKA KIPINDI HIKI...
4 Reactions
33 Replies
5K Views
Habari zenu wanaja JF, Natumaini nyinyi wazima wa afyaa, Mkasa wangu uko hivi. Mimi ni kijana, nina mahusiano na binti fulan nina mahusiano nae mwaka wa 3 tunaelekea. Mwaka 2020, wazazi...
3 Reactions
123 Replies
6K Views
Back
Top Bottom