Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni takribani mwezi tangu nimeanza ku interact na huyu mwanamke kwa namna moja ama nyingine. Siku ya kwanza alinikuta mgahawani nakunywa supu...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Napata sana kigugumizi kumjibu huyu aliye mbele yangu hakika... Ni rafiki yangu ambaye tunaheshimiana sana, na huenda ndio maana aliniamini mpaka kunichagua kuwa msimamizi wa ndoa yake miaka...
16 Reactions
109 Replies
7K Views
Kuna pahala nimeiona hii ikaitoa akili yangu kwenye ufanisi ghafla... Hivi hii imekaaje, unafanya maamuzi magumu kuoa / kuolewa na mtu ambaye amekwisha zaa na mtu mwingine kabla yako... Ile...
5 Reactions
10 Replies
760 Views
Hi Mwanamke how unawezaje basi sema hata tumevumiliana maana hata na wewe pia nilikukuta una hali ngumu ya kiuchumi
4 Reactions
7 Replies
448 Views
MY STORY: Tulikua tunalala chini, tumejenga nyumba 2 maduka 3, kaenda kuoa mwanamke mwingine! Alishaanza kubadilika, anachelewa kurudi nyumbani na wakati mwingine analala hukohuko, nikiongea...
26 Reactions
58 Replies
5K Views
Nafurahi kufikisha mwaka wa 10 siku ya leo kwenye ndoa. Nilioa kwa vigezo vyote vya dini, yaani ile hakuna ngono kabla ya ndoa. Ilikuwa ngumu kidogo lakini kwa nguvu ya dini niliweza ingawa...
24 Reactions
53 Replies
4K Views
Kuna demu mmoja hivi nimetokea kumpenda saana tena saana. Ila cha ajabu nahisi huyu mwanamke ana nisaidie kubadili tabia zangu za kale na kuwa mtu mpya kabisa bila hata yeye kujua najikuta nafanya...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Kuna mda na jiulizaga hivi kwanini hawa ndugu zetu wanawake wanashindwa kutafariki kitu mbele ya kuchukuwa maamuzi Na pia ni watu ambao wanaongozwa na hisia kuliko akili Ndo maana Wana semaga...
0 Reactions
7 Replies
865 Views
Sijui ni mimi peke yangu ama huenda nikawa nawakilisha wanaume wenzangu wawili, watatu, watano, kumi au mia (sijui)... Binafsi, hakika kuna maswali huwa sipendi kabisa kuulizwa, hasa katika...
14 Reactions
65 Replies
4K Views
Aisee nimekuja kugundua wanawake ukiwaacha ki amani amani wao wanaona Bado hamjaachana, yaani mpaka mbondane muvuane nguo za ndani mpigane ndo wanaelewa kimewaka. Tumeeachana na wadada kiamani...
21 Reactions
61 Replies
3K Views
Ikiwa Mungu hayupo ni nani atakaye okoa dunia? Wanadamu sasa hivi tunaishi kama wanyama maana wanyama hawanaga aibu wala akili Sasa hivi mambo ambayo yalikuwa ya aibu kusema mbele za watu au...
2 Reactions
8 Replies
535 Views
Heshima kwenu wakuu, Mke wangu mjamzito wa miezi sita, amekuwa akipenda sana kuwa na mtoto jinsia ya kike hivyo ikabidi nimshauri asiende kuangalia jinsia ya mtoto kwenye ultra sound mpaka pale...
1 Reactions
71 Replies
107K Views
Habari Wana JF Nilidhani ubaba ni kitu cha kawaida asee nilivyokuwa namuona mzee wangu akipambania familia yake pindi nakua nilidhani anatuhujumu. Ila nimegundua alikuwa nasi kuanza anaamka mpaka...
15 Reactions
32 Replies
1K Views
Katika kuperuzi kwangu mitandaoni nimekutana na story ya kusikitisha na kutafakarisha sana. Inahusiana na baba aliepoteza mwanae wa kike kwasababu ya ukatili wa majumbani (mtoto aliuliwa na...
0 Reactions
12 Replies
685 Views
Kiukweli niseme wazi ya kwamba mimi ndio nilikosea mwanzo kwa sababu kwenye haya mahusiano yanayonitatiza kwa sasa, Nilianza na mdogo mtu, Ilikuwa hivi dada mtu alikuwa anakuja ofisni kila siku...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwanamke akishapenda huwa anasahau kila kitu na anaenda kwa hisia pekee. Yaani kuna mwanaharakati mmoja anaandika sana mitandaoni, lakini akija huku ni tofauti kabisa kwasababu amezama kwenye...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu...
13 Reactions
171 Replies
7K Views
Waheshimiwa sana, salibonani! Nazipata kauli kwa watu mbalimbali za kusifia utamu wa mwanamke mwenye mnato! Ni bahati mbaya kwangu kila nikiopoa napata wadada wenye mabwawa, nakwenda kuogelea na...
5 Reactions
97 Replies
11K Views
Nimekuwa kwenye mahusiano na michepuko kwa nyakati tofauti, na wote wanajua nina familia, ila kutokana na mazingira ya kuwajali na kuwa mchangamfu, wakajikuta wananogewa, na wengine mpaka wakaamua...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hapa JamiiForums kupitia huu uzii kwanini upo single na huolewi au huoi tatizo nini. Umelogwa au mvivu wakutafuta mpenzi serious . Maana humu wadar ni wengi na wanasifa zote wadada wanazotaka...
7 Reactions
149 Replies
5K Views
Back
Top Bottom