Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari za muda huu wakuu, Kwa majonzi makubwa naomba kuwashirikisha machungu haya ili tupate kuumia kwa pamoja Niliamua kumtambulisha kwa rafiki yangu kipenzi, lakini baada ya siku nilimfuma...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Hey there, Roughly, wanaume wengi wapumbavu ndo wamepewa hela na wanawake wengi wapumbavu ndo wazuri[emoji28] Wakuu hivi kwanini mnajirekodi video mkiwa faragha?, mtu anakaaa tu mara anawasha...
3 Reactions
57 Replies
4K Views
Huyu binti nilimkubali sana tangu nilipomuona mwaka jana na tumekuwa na mahusiano murua. Ni binti mpambanaji tofauti na wengi kutoka mkoa huo. Baba yake alikuwa msambaa asilia (alishafariki)...
7 Reactions
32 Replies
3K Views
Baada ya kuweka mtego kwa mchumba wangu nimegundua huko mbeleni naweza kumchoma kwa gunia la mkaa nikaishiwa kufungwa jela Zikiwa zimebaki siku chache tuhitimishe safari yetu ya uchumba na...
58 Reactions
153 Replies
14K Views
Kuna jamaa mtaani alifanya tukio la kishetani sana, alimbaka mzee wa watu, kutokana na connection na hela aliyowapa familia ile wakapotezea. Nimepata hisia mbaya na huyu jamaa, yaani nikimuona...
8 Reactions
53 Replies
4K Views
Huyu ni mchepuko niliyenaye muda mrefu, ana ujauzito wa miezi 8.3 sasa. Jana tulipokutana aliniambia nichague jina la kijacho, na bila hiyana nikachagua mwanangu awe wa kike au wa kiume ataitwa...
6 Reactions
51 Replies
2K Views
Nina mengi ya kuelezea mpaka ninapofikia uamuzi huu wa kumkana Baba yangu mzazi Yaani Mzee Leo ila itoshe kusema nimeshawishiwa baada ya kuona mzazi amemkataaa Mwanae kupitia kwenye vyombo vya...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Habarini wakuu. Napenda tupeane uzoefu wa tuliooa na kuolewa tukabahatika kupata watoto mmoja au wawili, kisha mkashindwana kwa sababu mbalimbali kila mtu akachukua ustaraabu wake na kwenda...
10 Reactions
114 Replies
8K Views
Mimi ni baba ninafamilia ya watoto 3, lakini mimi na mke wangu hatuishi pamoja kutokana na yeye kufanyia kazi sehemu nyingine. Katika pita pita zangu nikakutana na mwanamke mmoja 'black beauty'...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Basi bwana siku moja nikiwa Dom, simu ikaita, kuangalia hivi ni 'baby' wangu wa zamani ati anataka niende kumsalimia ati kanikumbuka, mara kakumbuka 'show' za kibabe pamoja na kunibania pua mradi...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna mwenzenu huku (wife) amenitumia msj zenu za ku forward sijui katoa wapi akisisitiza niisome (nita share hapo chini), nikakumbuka wanawake wengi huwa wanasahau kwamba wanaume hatujaumbwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye uzi. Ile dhana ya kuwa wanaume ndiyo wanao endeleza ukoo na mwanamke anakuza ukoo wa kwa mwanamme bado ingali ipo au tulishavuka karne hizo? Kuna umuhimu wa kuwa na watoto...
0 Reactions
10 Replies
742 Views
jamani naombeni sifa za wanawake wa tanga a.k.a ki-tanga.kwa kila kabila i mean wasambaa wanasifa zipi,wazigua,wabondei na wadigo.:noidea:
0 Reactions
70 Replies
34K Views
Maeneo mengi hali ya hewa imebadilika, kutoka kwenye kiangazi kuja kwenye msimu wa mvua. Sasa hii mvua inakuja na kabaridi hatari, naona baadhi wanajifunika kwa ngumi angalau kuikwepa hiyo baridi...
2 Reactions
84 Replies
3K Views
Wasalaaaam wadau! Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati. Kiukweli mimi najiona kabisa sasa nimefikia hatua mbaya sana maana imefika hatua nimekuwa addicted vibaya mno wa kuzama uvinza yaani raha...
23 Reactions
125 Replies
11K Views
Habari wakuu, (Brothers, Sisters, Baba na Mama mliomo humu) Kama heading inavyosema hapo juu, Ni kwamba nilipopanga chumba nimejikuta mimi pekee ndiye sina mke, Ipo hivi; Mimi ni kijana mwenye...
8 Reactions
80 Replies
5K Views
Wengi waliooa au walio kwenye mahusiano yenye milestones..Mara nyingi utawaskia wanasema Nilivyokutana nae tu nilihisi kitu kuhusu yeye n sikutumia nguvu yeyote nilijikuta nipo nae.??? Ebu tupe...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Hii kitu nimeiona hasa kwa wanaume ambao ni wakimya/wapole, mara nyingi huwa hawana bahati ya kupata wanawake wazuri, huwa wanawapata wale machakaramu ambao huwafanya kama wajinga. Japo jamaa huwa...
12 Reactions
48 Replies
4K Views
Na hili nalo likatazamwe kwa kina, Kama ilivyo ada ya shida ya mgawo wa maji na umeme iliyoikumba mkoa wa Dar Es Salaam, wengine tumetumia kama fursa Kuna mwanamke niliwahi kukutana naye njiani...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Sio wake za watu,sio ma single mama,sio wanafunzi wa chuo tu.Nowadays Kusagana kwa wanawake kumekuwa kama fashion. Unaweza ona mkeo ama demu wako hana nyege kumbe anasagwa na mwenzie. Imekuwa too...
12 Reactions
205 Replies
20K Views
Back
Top Bottom