Wanawake huwa mnamaanisha nini kusema nitakuja kwako ila hatutafanya lolote? Yaani umefunga safari toka utokako, umepanda 🚗, umetumiwa na ya kutolea halafu unasema "Hatufanyi lolote",😁 kana kwamba...
Sijaumia kwa kipindi kirefu kuhusu mwanaume fulani tulikutana mahali fulani .
Huyu mtu nilimpenda nayeye alinipenda sasa sijajua kama alinipenda kwa moyo au nimimi nilijikomba. Huyu mtu ni mtu...
Kwa mawazo yangu sifa za mwanamke kuolewa ningezipa asilimia Kama ifutavyo:
a) Rangi ikiwa nyeupe 15%
b) Muonekano kwa ujumla 25%
c) Chura 35%
d) Mguu 5%
e) Uzuri wa tabia 5%
f) Umbo lake 5%
g)...
Hawa ni binadamu wenye moyo mweupe sana na roho nzuri kama uteweza kunata na code zao.
Yaani aina hii ya pisi ni pisi ambayo katika swala zima la mapenzi kwao ni kitu cha kawaida sana na mno.
Ni...
Natumai mumeamka salama wakuu!
Wazee juzi Jumapili nipo kwenye pub moja hivi napiga bia na nyama choma kiasi kwaajili ya kumalizia wikiendi yangu vizuri sikutaka kutoka na mwanamke siku hiyo ili...
Nimekuwa nikihudhuria sherehe mbalimbali za harusi hapa jijini Dar ambapo nimekuwa nikishuhudia vijimambo mbalimbali vya kufurahisha na wakati mwingine vya kusikitisha.
Nakumbuka Niliwahi...
Kusema kweli nashindwa kuwaelewa mabinti/wadada wa Kitanzania (sio wote) kwenye mitandao ya kutafta mahusiano ama dating apps. Sijui ni ushamba ama ugumu wa kuelewa.
Mitandao kama Tinder, Badoo...
Kiukweli baada ya kuona hii pisi ikirandaranda kutafuta mume nimeamua kujivika bomu nioe mke wa pili.
Wanamazengo mnasema? Si wife material kabisa huyu?
Habari wana JF, natumaini wote wazima, niende kwenye mada moja kwa moja.
Kiukweli nipo na mke wangu nampenda sana mke wangu na tunaishi vizuri tu. Mwezi huu umeanza nashukuru Mungu mke wangu ni...
Hivi hawa viume ni wapi walitukamataga hasa sisi wanaume?
Nikivuta taswira yaliyowatokea Adam, Samsoni etc nachoka kabisa.
Unaweza kuta jitu babe hasa ila likikutana tu na mtoto wa kike mwenye...
Aisee kiukweli siwezi kuelezea safari yangu ya fungate toka marekani missouri nyumbani mpaka qatar aisee huku yues.Habari majobless na mnaishi kwa shemeji zenu samahani kama nitawakera kwa hizi...
Unakuta mwanaume kabla ya kutoka nyumbani anaakikisha kila kitu kipo sawa,
--Gas ya kupikia ipo
--mchele upo
--unga upo
-- Mafuta ya kupikia yapo
--viungo na basic need kwa ajiri ya mapishi vyote...
Asikwambie mtu, mapenzi yanaumiza sio poah!
Mbaya zaidi huko kwenye harakati za kuichakata mbususu yake, mmeshapangana kabisa! Halafu atokee mtu tu na kuichakata mbususu hiyo huku ukifahamu. Muda...
Sipendi demu ambaye hazingatii usafi wa uchi wake.
Kuna demu mmoja aliniomba ofa ya bia kiutani utani na mimi siku hiyo nilikuwa nipo vibaya mno nina vijisenti vyangu vya kunisogeza siku mbili...
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya...
Kuna mwanamke ambaye tulipendana naye toka 2018 kwa bahati mbaya tukaja kuachana 2021. Mwanamke huyo yeye ndiyo alinipenda mimi sikumtongoza. Mimi nilikuwa namfatilia rafiki yake lakini alikuwa...
Dear Wives,
Tungependa kuwatia ufahamu kwamba kombe la Dunia linaanza mnano tarehe 20 Mwezi Novemba 2022 nchini Qatar na litachezwa kwa takribani siku 28.
Kutokana na hilo, tunaomba kuwakumbusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.