Niko katika level ya juu kabisa ya kufurahia mapenzi, kama penzi letu litapimwa kwenda chini basi litakuwa limezidi kina cha Mariana Trench, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili...
Na ndio maana nikaona mapema nioe tu ndoa ya kimila kama kwenye biblia, ukilipia mahari unaondoka na mwenzako, imeisha hivyo !! ni ndpa inayotambulika na serikali kama ndoa za dini na cheti cha...
Bandugu kwema? Poleni na majukumu wazee wenzangu, hayo ndiyo maisha!
Leo nimekumbuka sana maisha niliyoishi nikiwa chuoni. Yalikuwa ni 'low key life', wengi darasani hawakunijua, maisha yangu...
Unakutana na mtu, wewe tu ndani ya nusu saa ushamchoka. Ni ana gubu, mbishi + mgumu kuelewa. Lakini anaishi na mke na maisha yanaenda.
Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke...
Wakuu amani kwenu.
Kumekuwa na maswali mengi sana kutaka kujua kama kweli mwanamie/mwanamume fulani anafaa kufunga ndoa naye ama la. Wengi hutaka kujua ni sifa zipi hasa mwenza anapaswa kuwa nazo...
Moja ya kitu ambacho sitaweza kukisahau katika maisha yangu ni siku niliyokutana na jini kwenye daladala nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2019 wakati nipo Chanika nilikiwa natoka kariakoo narudi ghetto...
Leo nimefurahia sana, mambo zenyu,
Mzabzab wewe ni male au female ?😁😁😁😁😀😃😄 Miye male. Sasa kulikuwa na interview mahali, tuli interview baadhi ya waalimu watakaofanya kazi 2023 maana ndiyo shule...
Nimekorofishana na mke mwezi uliyopita kaninunia hadi leo, ingawa nimehitaji suluhu toka kwake lakini hataki, naishi mbali naye.
Mwezi huu nimekuwa napiga sana nyeto, mwezi huu mke anadai anaenda...
Kwapa, kama msichana ana ukungu kwenye kwapa au tunywele ata kidogo mwanamke huyu ni mchafu tena mchafu sana, uchafu wa kwenye mwili ni mpaka anapoishi.
Ulimi, huu huwa una majibu ya kwamba mtu...
Hello wana JF, twende kwenyee mada husika.
Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda field...
Amani iwe kwenu,napenda nikushukuru kwa kutenga muda kusoma ujumbe huu ambao nimeona una muhimu kuuleta hapa
Kwenye nyuzi mbalimbali humu za watu kuoa au kuolewa tumeona watu wengi sana wakibeza...
Mwanaume mmoja mwenye miaka sabini na nane(78), akiwa na miaka (24) akilibahatika kuwa na mchumba na baada ya mwaka akafunga naye ndoa. Baada ya miaka mitano alibahatika kuwa na mtoto mmoja wa...
Ugomvi wa baba na mama umekuwa ukiongezeka siku hadi siku. Nipo kijijini kwa mapumziko ya likizo ya siku 28. Hali hii imekuwa ikinikera sana hivyo nikaona kwasababu mimi ni mtu mzima nikae chini...
Hope mko salama,
Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.
Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu...
Nakuuliza/Nawaauliza unajisikiaje ukimwambia mtu yeyote malaya au kahaba?
Wewe ni nani? Una uhakika? Wewe umekuwa na uhusiano mmoja tokea ujue mapenzi/ kubalehe/mpaka uoe au uolewe?
Acheni...
Ujue sisi tuliosomeaga shule za jinsia moja especialy Seminary tukitokaga kule huwa tunakua na wenge sana, msitujudge
Sasa bwana nulikuaga mwenyej wa tinder kuna kipind...usidharau tinder kuna...
Yaani hii kitu nimeshindwa kuielewa kabisa kwa dada zangu na hapa Haina mwajiriwa Wala mdangaji, na naona kwa Sasa ni kwa Rika zote!
Inakuwaje utongozwe na ndani ya siku mbili Kila shida iliyopo...
Ukiwa na mipango yako ya maisha ambayo unataka kuzitimiza, nakushauri kijana achana na mapenzi weka umakini kwa kile unachokipanga tu, utanishukuru.
Ukichanganya vyote viwili kwa pamoja ni lazima...
Hodi humu jamvini wana MMU,
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Najua mnahangaika na utafutaji wa maji na mkate kwa familia wakati huu.
Kwa sababu ya suala la kuolewa...
Iko hivi nimefanya research simple tu ya hii kitu. Ukitaka kupiga na kusepa au nothing serious utashangaa tu unatumia pesa nyingi sana kwa mwanamke. The long term relationships mostly if not all...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.