Mambo vp wadau
Kiukweli kila nikitafakari mambo anayoyafanya wife nashindwa kuamini kama ni kisirani cha mimba ama ni kama kawaida yenu wanawake mnapenda kujiendekeza. Wife amekuwa mtu wa...
Wana JF,
Hadi leo hii nina miaka 28+ nina jitegemea simjui baba yangu mzazi, ukweli kutoka moyoni mama yangu ninampenda lakini nimetokea kumchukia sana kuliko mtu yeyote duniani, hii hali...
Je, ni kitu gani kitakufanya utambue kuwa umemfikisha mweza wako safari yake wakati wa tendo?
Akifika hatua kama hii you did it brother, what next......
Kumbe mwanamke anaweza kutupanga mimi, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume kwa siku moja (kama ya leo Ijumaa) na wote 'tukamkaza" kwa ratiba aliyotuwekea kutokana na uhuni wetu, ila yule atakayempa...
Habarini jmn, natamani tuwe tunawajadili na ma single faza, sio kila siku single maza hivi single maza vile. Kuna kitu nmekinotice kwa masingle faza nliokutana nao.
Masingle faza nnaowaongelea ni...
Unafika mahari unakutana na pisi matata, kabla hata hujachukua namba inapita nyingine ambayo unaona ndo pisi kali zaidi! Mpaka unakuja kufanya maamuzi uchukue namba ya pisi ipi muda ushaenda na...
Anayejua alipo aniambie, toka 2018 kiukweli nimemiss sana, na kama kabadili Id aseme tu. Natumaini hajambo na mzima wa afya.
Ajue tu nimemiss sana.
Neybright nimeona last seen jana, njoo ututoe...
Wanawake wa kisasa wanapojirecodi video au kupiga picha wanapenda Sana kuonyesha makalio yao na sio kitu kingine
Mfano mwanamke umeolewa ila unajirecord unaonyesha tako lako na unasambaza video...
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.
Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu...
Habari wakuu,
Nimekumbuka hili tukio lililotokea miezi mitatu iliyopita baada ya kukuta missed calls zake mbili kwenye simu yangu jioni hii
Ilitokea kipindi nilipokuwa kwenye harakati za kumuolea...
Habari za Wakati Huu wakuu!!
Nina Ushauri Mdogo kwa Wale wanaokatishwa kuingia Kwenye Mahusiano na Baadhi ya Makabila Eti Kisa Sifa flani ulizisikia kutoka kwenye hayo Makabila.
Je,Ulishawahi...
Haina ubishi, sababu ni kama zifuatavyo;
1. Wanakua na uwezo mdogo wa kudhibiti hisia zao.
2. Hawana jambo linaloichangamsha akili like having intellectual project to be solved and fulfilled.
3...
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Hakika maajabu hayaishi chini ya jua na yanaendelea kumbuka siku baada ya siku. Ajabu namba moja ni mwanadamu.
Hili ajabu mtu, kila siku limekuwa...
Nadhani ni vigumu sana kuuelewa huu msemo. Lakini ukweli ndio huo, Wanawake kabla hawajaingia mapenzini, hupiga Hesabu kali huku wakijifanya malonya kumbe wewe mwanaume ndio boya.
Hebu jiulize...
wakuu salamu.
Katika pilika pilika zangu za maisha, nimebahatika kukutana na binti mmoja hivi wa kipogoro.
Nimetokea kumpenda sana, ila sijui historia na tabia za kabila lao likoje.
Kwa mwenye...
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka...
Most of times tulikuwa tunaenda uwanjani kufanya mazoezi ya mpira kama wafanyavyo vijana wengi wa sehemu tofauti sasa ikitokea mtu kacheza Boko lazima apigwe Dongo na dongo lenyewe sio lingine ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.