Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nyumba ya kupanga raha hasa [emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222] Leo Waha wamepigana wenyewe kwa wenyewe,inadaiwa mmoja kaiba elfu tano ndani.Sasa kuna wanaomtetea na wanaomuunga mkono...
10 Reactions
53 Replies
3K Views
Nauliza hivi wanawake wa hivi wamekosaga nini kwenye ndoa zao? Kakuaacha na nyumba watoto wawili kaenda kutafuta, hufanyi kazi zaidi ya kulea watoto pesa anatuma ila unawapa utamu wapita njia...
11 Reactions
338 Replies
24K Views
Najua kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu. Sijapata kuona kabisa hamjui kutuheshimu kabisa. Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyinyi yanakujereni nini...
9 Reactions
106 Replies
3K Views
I hope you all doing good today, I noticed something in social platforms nowadays, most people (especially ladies), wanapoachana na mtu (Ex's) huwa wanasema wamepata watu bora zaidi ya yule...
1 Reactions
19 Replies
639 Views
Mjadala mkubwa kuhusu muda wa upigaji bao la kwanza kwenye 6X6 bado unaendelea miongoni mwa wanaume wengi. Ikija kwenye suala zima la mzunguko wa kwanza, mara nyingi kila mtu hutoa maoni yake...
4 Reactions
51 Replies
7K Views
1. Shower Sex 2. Kitchen Sex 3. Beach Sex 4. Parking lot Sex 5. Pagala Sex (kwenye jumba ambalo halijaisha) 6. Uchochoroni Sex 7. Makaburini Sex 8. Kabatini Sex 9. Mezani Sex 10. Kibarazani Sex...
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Out thereeeee wakuuuu. "Criminal we hujui tu mi na-hustle kiasi gani ili maisha yangu yaweze kwenda" ananiambia mmoja wa friends of mine. "Ni hustle gani hizo unaziziongelea" namuuliza...
10 Reactions
49 Replies
3K Views
Natanguliza samahani mno ikiwa kuna watu nitawakwaza. Huyu ni msichana mzuri na nadhifu na tuna mazoea kidogo, nilichukua namba nikamwambia namuhitaji, hakuwa na hiyana. Muda wote huu nilijua...
13 Reactions
70 Replies
3K Views
INTERNAL MEMO To: Married Women of Tanzania From: Concerned husbands Subject: WOLRD CUP Dearest wives, We wish to bring to your attention that the 2022 World Cup Edition will be kicking off...
1 Reactions
1 Replies
544 Views
U hali gani? Napenda kufahamu kwamba umewahi kujiuliza kwanini unataka mtoto wa kumzaa? Kuachana na sababu tunayoitumia wengi ya kutaka kutimiza kusudi la Mungu. Na je, umewahi kutamani usiwe na...
8 Reactions
185 Replies
7K Views
Karibu asilimia 90 ya wanawake ambao nimekutana nao na wengine kuwaona mtandaoni wanapotoa sifa za wanaume ambao wangependa waolewe nao sifa inayopewa msisitizo ni ile ya mwanaume mwenye hofu ya...
2 Reactions
75 Replies
10K Views
Marehemu Mwivano Mwambashi Kupaza Polisi reconstruction ya uso wa marehemu Mwivano Peter Kupaza Shari Goss Eneo la tukio.... Ilikuwa ni Julai 30 1999, mwanamke mmoja aliyetajwa kwa...
21 Reactions
106 Replies
21K Views
SIFA ZA MWANAMKE WA KIUNGU. Wanawake wengi wanatamani ndoa takatifu bila kujiuliza itawezekanaje kuwa mwanamke wa kiungu bila kumcha Mungu. Karibu tujifunze tabia na sifa za MWANAMKE mcha MUNGU...
12 Reactions
108 Replies
6K Views
Niende kwenye mada, kuoa ni hitaji la mwenza na si pendo la mwenza, mwanaume anaoa ili atimize mahitaji yake ya maisha na kuishi hivyo kuoa ni strategia ya kumpata msaidizi wa kusaidiana kufikia...
0 Reactions
6 Replies
641 Views
Leo niwashauri wale ambao hamjaoa au kuolewa ila mpo kwenye mahusiano sijui uchumba au nini: Onyesheni zile tabia zenu halisi, yaani usiigize chochote, kama wewe unakula sana, kula, kama wewe...
1 Reactions
4 Replies
620 Views
Kuna wakati katika haya maisha unaweza kukutana na changamoto ikakutesa kwa kipindi kirefu, ila siku moja ukakutana na mtu akakutoa kwenye changamoto hiyo kwa kipindi kifupi sana. Tiririka hapa...
2 Reactions
2 Replies
588 Views
Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu. Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba...
6 Reactions
52 Replies
4K Views
Kuna mwanamke mmoja hivi X wangu ambaye nilikuwa napambana sana arudi, na kwa bahati nzuri nilifanikiwa kumrudisha. Kumbe alikuwa anarudi kwa faida zake mwenyewe! Yaani tulikuwa bado tuna wiki...
12 Reactions
10 Replies
909 Views
Wakuu habari za muda. Kuna hii kitu imenichanganya sana ni hivi, Kuna single mother mmoja tunaishi sehemu moja alikuwa ananiletea shobo kibao nikaona sasa hii kero. Kanifata fata sana mpaka...
25 Reactions
115 Replies
10K Views
Back
Top Bottom