Na hili nalo mkalijadili kwa kina.
Mchepuko wangu mpya, Fatuma, ninakutana naye barabarani kwa mara nyingine alfajiri. Hii ni mara yangu ya nne kukutana naye nikiwa ndani ya suruali nyeusi modo...
Wakuu hope mko fine.
Aisee sitakaa nirudie Tena. Ngoja niwape japo Kwa ufupi kilichonisibu. Ni mwezi sasa umepita. Nilipata safari ya kikazi Dodoma. Katika harakati za kitaa nikapita lounge Moja...
Mara ya mwisho kujihusisha na mapenzi ilikuwa mwaka jana na mwezi wa 10 hivi, Nikipiga hesabu inakaribia mwaka
Mtu wa mwisho kukutana naye ameolewa na ameshajifungua. Baada ya kukaa mwaka bila...
Habari wakuu,
Iko hivi, katika kukua kwangu nilishuhudia wanawake kadhaa wakimgombania mwanaume mmoja, hata sasa wapo pia
Kinachonishangaza zaidi unakuta mtaani kuna jamaa kiwembe balaa na mtaa...
Nina mpenzi tuna mwaka mmoja katika mahusiano lakini ni mwaka mchungu, najuta sijui kwanini niliingia mazima kwake. Kila siku yeye anapenda kufanya vitu na mambo yanayonikera akiamini wasiwasi...
Habari zenu wandugu.
Niende moja kwa moja kwenye mada, jamani jambo hili linaniumiza sana kila nikifikiria nashindwa kuamini. Mimi ni ke, nimeishi na mwanaume takribani miaka saba, tumeishi kama...
Habari za asubuhi ndugu zangu wapendwa katika Bwana!
Basi bhana, jioni ya jana ikawasili, ka jua fulani hivi ka rangi ya machungwa kakatanda. Muda huo nina buku teni tu mfukoni
Si ndio kupanda...
Moja kwa moja kwenye lengo la uzi.
Nipo ndoani miaka 7, miaka 3 nyuma nilikuwa na mchepuko ambao nilidumu nao miaka 3 baadaye mchepuko ukaja ukaolewa.
Tukapotezana hewani mwaka mzima sasa...
Tusianze mbali na salamu naamini hadi mnasoma mtakua mpo wazima sana, ipo hivi nilikua na mpenzi wangu ambae imefika muda tukakubaliana kila mtu ashike njia zake kutokana kushindwa kuwa na uelewa...
Wakuu habari zenu, mwaka huu mimi member mwenzenu mwizukulu mgikuru (babu) nilipanga huu mwaka usiishe niwe na mimi nimepata jiko.
Katika pitapita zangu nikakuta na toto moja zuri la kiarabu na...
Mniwie radhi wana MMU kwa kosa ninalolifanya la kuleta nyuzi mbili kwa siku hii ya leo
Hii ni emergency tu imetokea. Leo nimeona ni bora nikapumzika hapa nyumbani na familia. Mida ya saa nne...
Kwa kawaida mtu anayeamini kwamba, ni dhaifu, hujaribu kwa kila njia kuficha udhaifu wake, na moja ya njia hizo ni kujikweza ili kujaribu kumshusha yule ambaye anadhani anamzidi. Mtu asiye na...
Dogo ana mchepuko wake umenizoea sana, mpaka imefikia hatua una wivu na mimi. Yaani usiponiona siku 2 unalalamika hatari.
Nilimkuta na rafiki yake mmoja nikamwambia namtaka anifanyie mpango wa...
Asilimia kubwa ya wanawake waliopo kwenye ndoa wana Hofu..
Jana nilizungumza kuhusu changamoto zinazo mkabili mwanaume asiye na pesa,..
Leo nataka niongee kidogo kuhusu hofu inayoendelea...
Kila mara nasikia watu wanaachwa na wengine kupendana, ila mimi mwenzenu naona kwenye mapenzi sina bahati kabisa.
Naona mwaka huu wa 2022 siyo wa kwangu kabisa, kila ninayemtongoza lazima azingue...
Mwanamke mwema ni taji kwa mumewe!!!
Mke mwema huijenga nyumba yake, bali mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
. Nyumba inajengwa kwa vitu vidogo vidogo sana lakini pia ndoa...
Kutoka kwa muigizaji Jimmy Mafufu amefunguka na kusema haya
"Hivi Nyie Wanawake Ambao Kila Mkihojiwa Na Waandishi Wa Habari Mnasema Mnataka Wanaume Wenye Hela Mara Ooh Mie Mwanaume Asiye Na Hela...
Ndiyo,
Hili Tuliite wimbi la wanawake wengi kuchoka haraka. Maana hii imekua too much. (Msiniulize Nimetembea nao wangapi, Ila wee jua tu Ni wengi)
TAHADHALI: Mnaojiona Ni Maparoko, mashehe...
Katika vitu ambavyo havinaga komando, tajiri au gaidi ni mapenzi, ndiyo maana kuna baadhi ya watu huko nje ni wakali sana lakini wakifika kwa wake zao au waume zao wanakuwa wa pole sana.
Mapenzi...
Hapa nazungumzia wenye uchumi wa kawaida, tuachane na mapedeshee ambao hata wakikosa kuni za kuotea moto wanaweza kuchoma vibunda vya pesa, ligi nyingine hizo, kwao neno mizinga ni matunzo.
Yes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.