Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari za muda huu, Rejea kichwa cha uzi, kinaongea kwa mapana ila yaliyopo kwenye akili yangu yako kwenye nyanja tofauti tofauti. 1. Mwanaume kumjali jinsia ya kike yeyote yule aliyempenda...
32 Reactions
306 Replies
7K Views
Hivi ulishawai kukutokea unakuta Una huruma flani ukiwa nacho Una support wengine .ila siku wewe ukikwama hakuna WA kukusaidia? Ila ya Mungu mengi unapita kwenye hiyo shida ukipata tena bado...
14 Reactions
50 Replies
708 Views
Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa...
17 Reactions
137 Replies
6K Views
😂😂😂nikija kulia mnipokee wakuu huenda nimepigwa dawa Safari Longoni beach
4 Reactions
6 Replies
225 Views
HAPA PINDI ANAPORUDI NYUMBANI 1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga. 2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza...
66 Reactions
500 Replies
178K Views
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani. Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio...
24 Reactions
116 Replies
4K Views
Wakuu, heri ya sikukuu ya kuchinja. Kuna kitu nikawaza, baada ya kwenda hospitali X kumuona mgonjwa wangu wa karibu.(wakati fulani) Yule mwamba wakati anakuwa admitted hali haikuwa nzuri kiasi...
12 Reactions
178 Replies
7K Views
Basi tu nahitaji nimuone maana huwa nawaza sana Kuna mda nasema ndoa kweli unahitaji uvumilivu Kuna baadhi ya watu ukiwaangalia mitandaoni au hata mitaani unabaki unacheka ukiambiwa eti nae ana...
17 Reactions
146 Replies
6K Views
Mimi niwe mkweli, yule binti kidogo niweke makazi permanent pale sababu mambo alonipa sikuwahi kuyapata popote pale hapo kabla. Cha kushangaza siku naenda kwake kumchukua akanipe maburudani tena...
17 Reactions
101 Replies
14K Views
Tufanye wewe ni mzazi ambaye unainvest pesa nyingi kwa mtoto ambaye bado hajafika University, just yuko high school na ameanza uvutaji wa Sigara kwa siri unafanyaje? Watoto mkae pembeni kwanza...
15 Reactions
88 Replies
4K Views
Kumbe yule raisi wa duniani alikuwa mwovu... yupo anachemsha damu hapa Mkewe na yeye wanakula pedi. Macho yangu nayo yanawaka sana. Wakuu Melo anatakiwa apate tuzo coz kazi ni kubwa kuiongoza...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Mimi nikikumbuka napatwa na kwikwi, Mungu anisamehe nilizagamua mtu msibani. Nikikumbuka hadi leo huwa nacheka tu. Kwanza yule mfiwa sijui alienda wapi sijawahi kumuona tena
2 Reactions
2 Replies
984 Views
Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu. Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na...
12 Reactions
126 Replies
20K Views
Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa. Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana...
26 Reactions
309 Replies
8K Views
Kuna kitu ambacho sitakielewa hapa duniani basi ni hii tabia ya wanaume kuwaita wapenzi wao au wake zao mama! Hivi mpenzi wako anaweza kuwa mama yako kweli? Mtu ambae unalala nae uchi na...
8 Reactions
60 Replies
1K Views
Kuna kabinti kamenielewa. Nilikutana nae njiani katika pita pita zangu nikadaka namba. Naweza sema kwenye vigezo vya mwanamke wa ndoto zangu ametimiza 6/10. Kwahyo wakati namtongoza lengo langu...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Miaka ya 2010-2012 kuna mtaa nilikua naishi. Ilikua karibu na chuo kilichopo katika makao makuu ya nchi. Kuna siku nilikua katika misele yangu njiani nikakutana na binti pisi kali haswa alinivutia...
28 Reactions
186 Replies
14K Views
Hello...hello...hello...😍 Hamjambo jamani huku ndani? Nina imani nyote mnaendelea vyema sana. 🤸‍♀️🤸‍♀️ Sasa basi, sijui huu ni ushuhuda, elimu, au uvumilivu. Hebu nyie someni halafu muone inakaa...
21 Reactions
243 Replies
10K Views
Habari ndugu zangu.. Nakuja tena mbele yenu mimi kijana wenu ambaye sijaoa kabisa na ninatafuta mke huku na huko , ila binafsi ninalist ya wanawake wa kutosha ambao sioni hata anaefaa kua mke...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi. Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani...
21 Reactions
213 Replies
13K Views
Back
Top Bottom