Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu, Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu, Alinishukuru sana kwa upendo...
10 Reactions
113 Replies
9K Views
Habari wakuu, Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa, Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake, Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji...
8 Reactions
170 Replies
12K Views
Huu unaweza ukawa mwaka wa neema kwangu kwa sababu tangu tarehe kwanza ianze mpaka leo nimeshavuta vyombo 6 swaafi kabisa na kuvila na bado kuna kama vyombo 5 vipya viko kwenye ushawishi wa...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Inakuwa hivi, umesikia tetesi kuwa mume ana mchepuko, mwanaume huyu mlioana akiwa anamiliki baiskeli na anaishi kwenye chumba. Wazazi pia walimuona he is just a waste of space lakini ulimpenda...
35 Reactions
48 Replies
7K Views
Habari za mchana nyote. Natumai mmeshapata mlo wa mchana na kama bado basi niwatakie mlo mwema mtakapopata nafasi wa kuubwia. Naomba nisimulie kile macho yangu yanaona na ubongo unanipa taarifa...
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Kutongoza mitandaoni ni changamoto ila inabidi ukubaliane nazo tu. Ofcourse walioko mitandaoni ndio hao hao walioko mtaani ila changamoto zake ni kubwa. Juzi nimeona mdau mmoja akilalamika kule...
9 Reactions
231 Replies
15K Views
Hakika una watu wanadharau humu duniani tena ya kiwango cha juu hivyo basi wanatakiwa watendewe sawa sawa na kiwango cha dharau yao. Iko hivi, kuna kijana niliona ana mfatilia mke wangu nami...
8 Reactions
151 Replies
15K Views
Hivi nyasi za uani zinafyekwa? Kama ndiyo vipi?
1 Reactions
73 Replies
6K Views
Wakuu habari zetu, mimi ni kijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita, nashukuru Mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokuwa mjamzito siji kusahau kuna siku...
7 Reactions
75 Replies
11K Views
Leo wakati nasikiliza kipindi flani kuna doctor wa kisaikolojia alikuwa akichambua tofauti ya mwanamke aliyekupenda na mwanamke mwenye malengo na wewe kwa kusikiliza kauli zao pale mwanaume...
18 Reactions
75 Replies
16K Views
Kapata demu mwenye mtoto wa miaka mitano, ndo mnaita single mother, demu ni mkali sana haswaaa, ila yeye kanambia anawaogopa single mother, ila kazama kwa penzi la huyo mama, uyo mdada ana bellow...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Anyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo. Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao. Hitimisho. Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa...
30 Reactions
246 Replies
6K Views
Hey hey jf members Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua...
34 Reactions
527 Replies
20K Views
Habari za muda huu waungwana wa hapa jamvini...... Kwenye ulimwengu wa sasa uliojaa changamoto za ulaghai na uaminifu imekuwa ni changamoto kubwa sana kukutana na mwenza mwenye moyo wa dhati wa...
3 Reactions
26 Replies
769 Views
Wakuu habarini, Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu, wakati huo nishampatia mimba. Hivi karibuni baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja cha million 1.5 -2, cha kushangaza mzee...
6 Reactions
54 Replies
1K Views
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda...
44 Reactions
429 Replies
47K Views
Si unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson. Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia...
29 Reactions
342 Replies
38K Views
Wakuu naomba niende moja kwa moja kwa mda yangu. Swala linalo nisibu ni kwamba..nampata vipi huyu bi dada nileitokea kumpenda toka siku ya kwanza namuona machoni pangu, Kiukweli she is kind...
5 Reactions
72 Replies
6K Views
Yani mimi katika kushiriki tendo la ndoa, mwanamke akininyima nisizame chumvini siinjoy kabisa, na stimu zinakata kabisa. Mwingine utakuta anakwambia "ukininyonya huku nitasikia kinyaa" Sasa...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Back
Top Bottom