Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu...
3 Reactions
162 Replies
24K Views
Nilitembelea Mkoa fulani kikazi na katika mapumziko yangu jioni nilikutana na binti wa binamu yangu akiwa anapata kinywaji na kijana ambae sina uhakika kama ni boy friend wake ama la...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Hapa ndo nilithibithisha kuwa mapenzi ni yanauma, Maumivu nilioyapata sijawahi kuyapata tena na naomba yasijirudie, yaani huumwi sehemu yoyote ya mwili lakini unaona dunia iko juu chini. Kwa mara...
23 Reactions
448 Replies
53K Views
Hello wanajamii Bila shaka muko salama, huku tukiendelea kusubiri uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika August 9,2022 Ee bhana tuache story mingi mwaka 2016 nilipataga kademu kakenya alikuwa...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa takribani mwaka mmoja na miezi kadhaa, nikajiaminisha kuwa sasa ni muda wa kuanza process za kuoa rasmi! Nikakaa chini na kutafakari kama huyu ninayetaka kumuoa...
46 Reactions
380 Replies
18K Views
Natumaini wadau wa JF mnafaidi mapumziko ya weekend bila stress! Twende kwa mada! Ni hivi, baada ya kuangalia clip ya video fulani ya XXX nikaanza kusoma comment za wadau ambazo nashindwa...
13 Reactions
148 Replies
8K Views
We have been told to be sad about death, but I have never felt sadness when a close one dies. I usually induce myself into an emotional state of expressing sadness, out of respect for people...
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Nawasalimu nyote. Huyu ni binti wa Kizanzibar, ingawa maisha yake ni bara huku, binti wa miaka 19 au 20 ivi, Bado Yuko kwa wazazi, nazan ni mtoto wa mwisho pale kwao. Pale kwao ni mabingwa wa...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
MBINU ZA KUTOKUCHEPUKA KWA KARNE 21 - 22 Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Ikiwa wewe ni mvivu soma kwa urefu wa kamba za akili yako. Hakuna mtu mwenye akili timamu, muadilifu na aliyestaarabika...
8 Reactions
60 Replies
9K Views
Habari. Miaka ya wazazi wetu mwanamke akiolewa ni kuzaa mpaka kizazi kiishe. Huku watoto wakipishana miaka miwili. Ndiyo maana si ajabu kuona familia zenye watoto nane, tisa mpaka kumi. Lakini...
4 Reactions
86 Replies
5K Views
Tokea nijiunge kwenye jukwaa hili nimejifunza mambo mengi sana, Jambo moja la msingi nililo jifunze na nimelizingatia na kuona matokea yake ni kuto kuwapa pesa wanawake hovyo iwe kwa njia ya...
2 Reactions
4 Replies
379 Views
Siku hizi ukitongoza wadada watano Basi una uhakika wa kukaza wanne.Zamani kutongoza tu ilikuwa mtu unaogopa yaani mpaka uje kumpelekea mdada Moto Basi umehenyeka miezi na miezi. Zamani pombe...
0 Reactions
14 Replies
978 Views
Nimerithithi vitu vingi, mashamba na tabia nzuri kwa mbaya toka kwa babu yangu ila hili la totoz linaniumiza kichwa Babu yangu alikuwa na wake saba na michepuko kadhaa kijijini,alizaa na wanawake...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Nina mpenzi wangu ambae namtazamia kama mke wangu mtarajiwa, amekua ni msiri sana kwenye simu yake mara kwa mara akija kwangu simu inashinda kwenye mkoba na iko silent t, hua namtega namuomba simu...
6 Reactions
44 Replies
3K Views
Ni kazi sana mwanamke kujuia na pesa za mwanaume labda awe ni mtoo wa kishua au ana kazi yake inamlipa fresh, Hali hii imepelekea vijana wengi wenye pesa kutembea ama kuoa wanawake wanaojali pesa...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja...
13 Reactions
165 Replies
11K Views
Daah... asubuhi asubuhi leo nimeshuhudia kituko, Mstaafu akionja shubiri ya huba baada ya kuhonga nauli yake ya Daladala. Picha lilianzia kituo cha Daladala cha Njia Nne, anapanda msichana wa rika...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu kwa maeneo tofauti niliwahi kukutana na hii shutuma kuwa Wazazi wamekua chanzo kikubwa Cha ndoa za Watoto wao kuvunjika. 1. Je sababu zinaweza kuwa Nini? 2. Je kama...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Salute commrades.Leo naomba nichukue hii fursa kuwaeleza jinsi ya kuijua thamani yako kwa watu wanaokuzunguka kwa njia 3 zifuatazo; 1.Zawadi utakazopewa na watu wengine; Kwa mfano ukiwa...
8 Reactions
27 Replies
3K Views
Ukiwa kama kijana wa kike au kiume na uliwahi kufanya makosa huko nyuma ukajiingiza kwenye mahusiano ambayo yalikupa maumivu na yakaharibika, wakati mwingine ukiwaza kuingia kwenye mahusiano...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom