Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna wakati itabidi uachane na mbia wako (Business Partner) wa biashara ambaye mlipanga kufika mbali sana. Kuna wakati itabidi uachane na bosi wako ambaye ndiye alikusaidia kukufundisha kazi hapo...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu salama!. Nilikuwa siku zote nikimuona mtu analia kwa sababu ya mapenzi nilimcheka na kumdharau.Lakini kwa haya yameyonikuta sihitaji kusikia neno mapenzi katika masikio yangu maana niliwaza...
21 Reactions
196 Replies
35K Views
Kuna jamaa yangu ni mtumishi na mkewe pia ni mtumishi. Jamaa analipwa 900k na mkewe analipwa 1.3m ila sasa kodi ya nyumba, bili za umeme na maji analipa mwanaume, na bado ujenzi wa nyumba ni...
38 Reactions
289 Replies
14K Views
Habari ! Ni rafiki yangu na Ni classmate wangu amenishirikisha hili Jambo la kupiga show mbovu home ila akitoka akienda sehemu yoyote anapiga show kali sana!, Mimi kwa upande wangu nimeshindwa...
0 Reactions
14 Replies
793 Views
Amani kwenu Wakuu. Elimu ya mahusiano ni kubwa na watu wengi wamekuwa wakielezea mambo kadha wa kadha, kwa upande wangu naomba kujikita katika muktadha tofauti kidogo kwa namna yake japo kwa...
8 Reactions
8 Replies
3K Views
Siku hizi kwa udadisi wangu naona hili jambo linakuwa kwa speed ya light. Nikianza na sisi wanaume. Siku hizi nana tumeinvest sana kwenye kujenga miili,kutumia mikongo,alkasusu nk ili kuwalizisha...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Nakadori anawasalimia sana. Ninaomba kuuliza swali...hivi wanaume mliooa mbona mnawapa wake zenu simu zenu wazipekue na kufanya mawasiliano? Kwanini iliitwa simu ya mkononi? Maana yake ni iwe...
21 Reactions
225 Replies
9K Views
MWANAMKE MPUMBAVU HUPIGA KELELE. Kabla hatujatafuta mchawi wa mahusiano yetu, tunapaswa kujichunguza sisi wenyewe kwanza tupo sawa au tuna shida mahali ila hatujui kama hilo ndilo linatufanya...
9 Reactions
28 Replies
6K Views
Habari za usiku huu... Natumai mna usiku mwanana na tulivu. Nikiwa naikaribisha weekend kutoka huku Nanjilinji nimeshindwa kuzuia hisia za Mahaba....! Huyu babu vile ananitenda, Mola anajua...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu Salam kwenu, Nimelazimika kuupa huu uzi kichwa hicho kutokan na story niliyopewa na mfanyakazi mwenzangu.Nirafiki yangu sana tangu alipoajiriwa kwenye taasisi hii miezi9 iliyopita. Dada...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ma legends, Nimepata changamoto ya kusafiri na huyu wife material! Changamoto ninayopitia ni kuwa kila tukianza safari ya utalii wa ndani, huwa tunaanza kwa pamoja, kanda ya kaskazini...
23 Reactions
103 Replies
5K Views
Mtoto wa kike, ukiombwa namba toa, hata kama humpendi huyo mwanaume. Kama humtaki, tumia mbinu za ki-digitali:- Atakapoanza kuchati na wewe; mpige mzinga mkubwa, kwa mfano; akununulie kiwanja...
9 Reactions
31 Replies
2K Views
Sabato njema! Kutokana na vilio vingi humu prakatatumba ikabidi niingie chimbo nifanye research ya haya mahusiano, maana watu wanachezea vitasa tu na vilio kila pande, wengine wanadiriki kujiua...
8 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu salaam, Niliwahi kubishana na rafiki zangu kadhaa kuhusu siku ya mwanamke kushika mimba.Rafiki zangu hawa ni wakike kwa wakiume. Wao walikuwa wanadai kuwa mwanamke hupata mimba kwa urahisi...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
  • Closed
Kwa kweli wana JF, mimi nina mikosikatika ishu ya mahusiano. Mahusiano yangu ya kwanza nilikutana na binti fulani hivi, mzuri sana ni binti la kinyaturu, mwanzoni mambo yalikuwa mazuri kweli...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Wanasaikolojia mbalimbali wamejaribu kuelezea aina za mahusiano ya kimapenz ambayo wapenzi wawili wanaweza kuwa wanayapitia katika kipindi flani cha mahusiano yao. Lakini kabla hatujaangalia hizi...
6 Reactions
6 Replies
3K Views
Umofia kwenu wakuu Ninahitaji ushauri ipo hivi kuna binti nilizaa naye mtoto mmoja wakati tupo chuo ishu ikafika kwa wazazi nyumbani kwetu hk Njombe sasa washua wanafosi nikakomboe mtoto na mm...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Kuna mzee mmoja alinishauri. na kuniambia; kijana, sikiliza ushuri wangu, kwa sababu nimekula chuvi nyingi; katika maisha yako ya mapenzi:- Hakikisha unakuwa na mahusiano na mama ntilie;- ili...
0 Reactions
8 Replies
702 Views
Hi ishu ilimpata ndugu yangu mmoja upande wa mama. Ni iko hivi Ni kijana mmoja hivi alikuwa anamasters na Ni mwalimu wa chuo flani nyanga za juu kusini na alikuwa Ana mchumba wake wa kike ambaye...
2 Reactions
57 Replies
3K Views
Wakuu hapa Duniani hakuna cha mke wa mtu cha msingi ni kutafuta Pesa tu Anaamka 05:00 Am anaacha kachota ndoo kumi za maji kwa Ajili ya mke wake. Then Anaenda katika harakati za kuuza Vyombo vya...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Back
Top Bottom