Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari, Mwanake anayekupenda, si rahisi kukupa mali yake uichakate. Anakuweka bench, sababu anajua utamchakata maisha yake yote. Ukikata tamaa utamkosa. Anakuweka kwenye vipimo vya kila aina...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wakuu. Naimani wote ni wazima niende moja kwa moja kwenye Mada. Kuna manzi mmoja hapa nashindwa kumuelewa kabsa anataka nini. Iko hivi huyu manzi kuna kipindi mwezi wa 3 mwaka huu...
16 Reactions
221 Replies
10K Views
Anaitwa Safina Diamond, ni slay queen na socialite wa Ghana. Ameshikiliwa na polisi kwa kumchoma visu zaidi ya mara30 shingoni na tumboni, na kumuua mpenzi wake ambaye alikuwa amesafiri siku...
1 Reactions
50 Replies
3K Views
Habari wanaJF Leo natarajia kupata mtoto wa kike, hivyo naomba msaada wenu wa majina yanayoanzia na herufi B. Nataka nipate jina linaloanza na herufi B kwa sababu mwanangu wa kwanza pia jina...
0 Reactions
61 Replies
95K Views
1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Kujielezea sana shule yako...
15 Reactions
21 Replies
3K Views
Katika lugha ya kiingereza kuna maneno mawili muhimu sana: NICE na GOOD. Katika suala la mahusiano tunapata maneno nice guy na good guy. Twende kwenye mada. Zamani ambayo ndiyo asili haswa...
38 Reactions
119 Replies
14K Views
  • Closed
Sabalkheri wana JF wenzangu. Natumaini wote mlikuwa na wikiendi njema kabisa na mmeamka Jumatatu hii wenye nishati nyingi za kutosha kuweza kuendeleza libeneke la kusukuma gurudumu la maendeleo la...
16 Reactions
344 Replies
31K Views
Beberu mmoja asiyejulikana aliwahi kusema hivi; "Young man: no matter how well you treat a lady, if you are not the man she has feelings for she will never appreciate your efforts. Ladies are...
36 Reactions
50 Replies
5K Views
Ndio sikuwahi lakini Sasa naona kabisa yanahitaji pesa_. Hapo awali pesa zilipokuwa hazikauki mifukoni mwangu_ nilikuwa sioni haja yakuzitoa kwa mwenzangu kwakuwa alikuwa sio wakuomba_ lakini...
2 Reactions
14 Replies
971 Views
Habari wakuu, Nina mpenzi wangu ambaye nampenda kweli yaani, sasa tumeongea usiku huu kwenye saa mbili hivi akasema atanicheki, ikabidi nijipumzishe naamka usiku huu nakuta nimechezea block bila...
5 Reactions
71 Replies
9K Views
Kama jinsi ambavyo kichwa cha uzi kinavyojieleza. We sema tu, mwaga yoote, zungumza ili mradi machungu yaishe, sema, paza sauti yako, payuka uwezavyo, lia sana na sana, itapendeza kama utakuwa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimefahamiana nae mwezi wa kwanza. Kwa kuwa nilikuwa na mpenzi mwingine, sikuwa na njaa ya kuitafuna papuchi yake. Mwezi wa nne akananiita na kunikalisha kikao kisha kunambia kuwa mimi ni...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
True story...... Leo katika harakati zangu za kufuatilia cheti cha kuzaliwa cha dogo .Nilienda kibamba hospital nafika nakuta hospital imebomolewa pale na kujengwa nyingine nyumba kule ambapo...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii ni historia ya jinsi nilivyokutana na huyu Mchagga na kilichoendelea mpaka kufilisika vibaya. Wengi humu JF mmekuwa mkinichukulia mtu asiyeeleweka na masikini mno. Hasa baada ya kusema...
6 Reactions
52 Replies
4K Views
Huu ushauri wa ma legends kwenda kwa madogo kwenye game ya mapenzi na wanawake. Legend yeyote anaruhusiwa kutoa ushauri kwa hawa madogo wanauouana na kufa kila day sababu ya mapenzi. We legends...
7 Reactions
101 Replies
5K Views
Wandugu, Rafiki yangu kakutana na mtihani huo hapo juu.Alisafiri kidogo na aliporudi akamkuta mkewe yupo najamaa kitandani wanafany yao. Baada yavilio vya siku4 vya kuomba msamaha toka kwa mkewe...
10 Reactions
139 Replies
8K Views
Nilisikitishwa sana na hili tukio lililomkuta kaka Sindato kwa kweli! Na hii sio kwa Sindato tuu. Inatokea kwa watu wengi wanaume kwa wanawake. Unakuta watu wameshashindwana na kuamua kuachana...
8 Reactions
55 Replies
3K Views
Hakuna kitu kigumu kukipokea kama kukataliwa na Yule unayempenda au unaye tarajia kuwa nae ktk Maisha ya kimapenzi. Tujue Kwanza kukataliwa ni haki ya yule anayetukataa,ana Uhuru na uamuzi wa...
23 Reactions
91 Replies
6K Views
Baada ya miezi 9 ya mahusiano na hustle za ujobless leo nimepigwa na kitu kizito kichwani "All I'm trying to tell u is, mimi ni mzuri, nahitaji matunzo. Hata uwe mzuri wa sura au kitandani...
13 Reactions
32 Replies
3K Views
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao. Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Back
Top Bottom