Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna Huu msemo Kuwa "the miserable love company" Miserable Ni Hali ya Kuwa Na huzuni, masononeko Na ugumu wa Maisha" Kwa kifupi Misery Ni kinyume cha furaha. Sasa company Ni Ile Hali ya Kuwa Na...
1 Reactions
5 Replies
657 Views
Mwandishi wa BBC John Solombi ameripoti kwamba utafiti mpya unaonyesha asilimia 27 ya wanawawake Tanzania wanafanya ngono kinyume na maumbile. Mtafiti Mwanasayansi Irene Mremi kutoka Taasisi...
10 Reactions
416 Replies
88K Views
Nlianza na huu utaratibu baada ya kugundua kumbe tunapofanya mapenzi na mademu nao wanasikia utamu sana tu. Miaka ya nyuma nlidhani ni sisi tu wanaume...nlipoanza kugegedana na nikapata uzoefu...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana bodi, heshima kwenu. Kadri muda unavyozidi kwendaa ndio nazidi kuchanganyikiwa, sielewi.. moja haikai, mbili haikai. Niko kwenye mahusiano na mabinti wawili kwa muda miaka 3+ sasa.. Mmoja...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Aah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border, Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine...
4 Reactions
66 Replies
3K Views
Habari zenu humu ndani. Baada ya kunyanduana Kwa muda sasa tukapima kila kitu ikiwemo Afya ya akili lakini mwenzangu kichwa ya mwenzangu ina hitilafu. Najipanga namna ya kumkwepa lakini...
9 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakuu hizi ndoa hizi zina mambo! Iko hivi, Jana mida ya saa nne usiku , nilingia gheto toka kwenye harakat za mapamabano ya maisha , nikapumzika kwanza kwa sebule nikipiga stori na mwandani wangu...
7 Reactions
48 Replies
4K Views
Wakati bado tunatafakari hotoba ya bajeti kutoka kwa Waziri wa Fedha na Mipango ebu tusomeni hii kidogo tujue Mambo ya huko duniani Imepita kama mwezi hivi kuna video ilikiwa ina trend kwenye...
13 Reactions
69 Replies
8K Views
Unaowa mwanamke mzuri unamwaga pesa kumshawishi, unampendezesha, unamfungulia biashara na kumweka kwenye nyumba ya kifahari, unajenga hadi ukweni kutafuta sifa Alafu unakuta huyo mwanamke ana...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari za adhuhuri wapendwa. Leo napenda kushare nanyi jambo moja. Kwa kawaida wanaume wengi linapokuja suala la kutafuta mwenzi wa maisha huwa tunapenda wanawake wapole na wastaarabu sana...
13 Reactions
95 Replies
18K Views
Ndugu zangu wanasemaga usilolijua ni kama usiku wa Giza ni Kweli Mimi ni mmoja ya watu ambao walikuwa hawaamini saana ushirikana kama upo katika mapenzi Ukweli ni kwamba ushirikana upo Tena saana...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Kuna jamaa yangu mmoja alikuja kunipa changamoto yake kwenye mahusiano; anasema kuna mrembo mmoja amempenda, na huyo mrembo anafanya kazi za ndani kwa tajiri mmoja. Huyo rafiki yangu alimfahamu...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana JamiiForums! Poleni na hongereni kwa utafutaji wenu, Mungu abariki kazi za mikono yenu. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu, naomba usome uzi wangu, na mwisho unaweza nishauri...
8 Reactions
64 Replies
6K Views
Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu...
3 Reactions
79 Replies
5K Views
Ni kisa Cha ukweli kilicho mkuta jamaa yangu. Yalikua ni malalamiko tu kila siku akisema mkewe hana heshima yaani hamuheshimu kabisa. Pamoja na kuto kuwa na heshima alikua na kauli chafu Sana...
63 Reactions
62 Replies
10K Views
KWA WANAWAKE WOTE MNAOVUNJA NDOA ZA WANAWAKE WENZENU. Sio Wachungaji wote wanaweza kuhubiri hili...soma hadi Mwisho. [emoji625] Ladies, ni hatari sana kuchumbiana na mwanaume ambaye unajua...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Wazee hasa wa mjini daslamu hebu mnisaidie....huyu mwanamke nimemuona yuko hapo ubungo plaza ground floor kwenye bank moja inaitwa sijui akiba au DCB(kama nimekosea mtanirekebisha)... Huyu...
11 Reactions
133 Replies
11K Views
Nasisitiza hili kwa wanawake wenzangu fungueni hayo masikio mpate kusikia Kabla hujaolewa na kuingia kwenye ndoa, hakikisha akili, mienendo, moyo na nafsi yako vimekomaa kabisa, umekuwa mwanamke...
176 Reactions
149 Replies
10K Views
Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda! Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu...
12 Reactions
307 Replies
45K Views
Back
Top Bottom