Nianze kwa kucheka kwanza.
Hii stori naiandika kwa lugha isiyo Rasmi, lugha za kiujana ujana.
Wayback nlikuwa na mamiloo, alinipenda ye then mie nikausoma mchezo tukawa wapenzi. Tumeenda miezi...
Mara baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na mpenzi wangu kwa muda mrefu usiopungua mwaka na miezi kadhaa nilijaribu kutafuta suluhu kadri ya uwezo wangu na haikufua dafu.
Nilipata msongo wa...
Mwanamke huwa anapata hamu kwa kipindi maalum, sio kila siku, yaani yupo kama ng'ombe jike huwa Ana period maalum.
Ukikutana nae kimapenzi akiwa hayuko kwenye muda niliotaja hata upigeje hatapata...
Maswala ya Ngorongoro sijui waondolewe au wasiondolewe hayo hayanihusu.
Mimi na tazama upande wa pili hawa dada zetu wakimasai magogo kitandani sasa uko kuchanganyika na watanga itakua nafuu...
Wakuu kufuatia tukio lililotokea juzi jijini mwanza kwa wanandoa kutoana uhai basi nimeona nitoe ushauri wangu kidogo kuhusu hili jambo.
Namfahamu Oswayo vizuri Sana ni mfanyabiashara wa samaki...
Kwa kazi zangu za ukungwi nimechunguza na kujiridhisha kwamba 95% ya wanawake wanene ndiyo wenye tabia na mwenendo mzuri ktk ndoa zao.
Hii imewekwa makusudi na mwenyezi Mungu kama njia ya kuziba...
Hamjamboni wanazengo? Natumai mnaendelea vyema na mishe za kuijenga nchi yenu.Bila kupoteza muda acha niende kwenye mada husika.
Kuna muda unaweza kutana na mwanamke mwenye mtoto( tuseme mtoto wa...
Niende moja kwa moja kwenye mada:
Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia mdogo mdogo. Last week bana kapewa kadi ya...
Hope mko poa.
Recently, kumekua na case tofauti tofauti kwa hili jukwaa pendwa la MMU.
Kumekua na story za member wenzetu humu kuumizwa na haya mapenzi. Kuna thread zinasikitisha na kutia huruma...
Zamani ilikua ni furaha, heshma na sifa njema mwanaume kupata watoto, kuwalea kwa mahitaji na mafundisho bora lakini siku hizi mambo yamebadilika! Wanaume wengi wamekua na ka desturi kapya...
Habar wakui
Kila uzi humu ukimrefer demu kumzingua mtu humu pesa inatajwa sana lkn pia kuna hiki kitu wengi pia wqnakisahau muonekano wa nje.
Ushawah kuta mtu ana mapesa kibao ila anagongewa...
Maake wamekuwa na lawama kupita kiasi, utaskia mara oh "nia yako ilikuwa ni kunichezea tu", mara "aliniambia nimfuate kwake anisaidie pesa, cha kusikitisha akaichakata mbususu yangu kwa hasira...
Wakuu kuanzia saa nimenunua Boksi la Vipimo vya Ukimwi ili nimlinde Mpenz wangu, nampenda Sana Mpenzi wangu, amekuwa mwanamke mtulivu sana, kiukweli nimemchit Sana mengine alijua na mengine ajui...
Ukipata nafasi ya kumuumiza Mwanamke kwenye mahusiano usisite kufanya hivyo!,maana yeye akipata hiyo nafasi huwa hajiulizi mara mbili, kitu kinachotuponza sisi wanaume ni huruma ndio maana kwa...
Hali imekuwa si shwari baada ya Selina kumkimbia mume wake waliyedumu nae kwenye ndoa miaka 10. Mr Rogers alikuwa ni mfanyabiashara hapo Kariakoo kisha kumuachia mke wake duka aendelee kulisimamia...
Inachanganya sana maana wanawake wengine wanasema size sio ishu maana raha ipo juu na cha msingi mtu ajue kutumia dudu.
Wengine wanasema size kubwa ndio kila kitu. Huku wakiponda wnanaume wenye...
Siku hizi Ke wakimalizana na Me wanategemea kupewa pesa, yaani wakitoka Lodge Ke anasubiri kupewa "kifuta jasho", kwa nini iwe hivyo?
Kawaida sikuwa na tabia hiyo, baada ya kumaliza tendo...
Salaaam kwenu wadau
Kama mada inavyojieleza
Uko na mke mmefunga ndoa na mna watoto
Kutokana na sababu za kikazi ,inafikia hatua mnaishia mikoa tofauti, mke mkoa Z mume mkoa B. Mke yuko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.