Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nawasalimu kwa majukumu ya kila siku. Moja kwa moja kwenye mada, Umechagua ulompenda zaidi, Umetoa mahari, umeoa tumeshiriki kwa namna mbali mbali miaka kadhaa imepita. Mwanaume...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina miaka 34 sasa nikiwa mama wa watoto 3, hakika sina budi kukubali kuwa mapenzi hayanitaki tena hayanipendi kabisaa, japo niliyapenda na kuyapa thamani katika maisha ila nimeangua sina budi...
27 Reactions
129 Replies
8K Views
Huyu mwanamke ni rafiki yangu ndiye aliyenikutanisha nae. Tukaanza kuwasiliana vizuri tu ( yeye anaishi Mkoa), nikaona isiwe case ngoja nikamuone physically, Bwana Bwana, siku nakutana nae kusema...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Nawasalimu kwa majukumu ya kila siku. Moja kwa moja kwenye mada Umechagua ulompenda zaidi, Umetoa mahari, umeoa tumeshiriki kwa namna mbali mbali miaka kadhaa imepita. Mwanaume...
1 Reactions
9 Replies
608 Views
Nmerudiana na x wangu aliekua na umbo namba 8 ili nipashe kiporo, cha ajabu analazimisha niachane na msichana nilie nae ambae ninae huu ni kama mwezi wa 5 na huyu c wangu nilikaa nae kama miaka...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Wanawake bhana walioolewa kidogo wakiongea hivi ina make sense, lakini hivi viruka njia vinashangaza vinaposema " bila mimi usingefika hapa ulipo " hizo kauli wakati mnaachana au unamwacha...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari zenu Wana jukwa. Nimeleta habari yangu kwenu kwa Lengo lakupata Ushauri na mapendekezo. Mimi ni kijana Mwanaume Mwenye mke na mtoto, ni miongoni mwa Familia maskini Sana Mwenye elimu ndogo...
18 Reactions
57 Replies
4K Views
Wanawake wa Dar ni wajanja wajanja, waongo, wanapenda kuiga maisha ya kisasa sana na kuishi maisha fake so hiyo inawalazimisha kuhangaika na pesa kuliko hata ibaada, kwa kuwa vipato vyao halali...
36 Reactions
182 Replies
14K Views
USIMPIGIE MTU SIMU ZAIDI YA MARA 2 MFULULIZO - labda kama ni jambo lenye haraka sana, subiri mpaka wakupigie. UKIKOPA, LIPA! -Rudisha kabla hata hujaoulizwa au kukumbushwa UKITOLEWA DINNER AU...
2 Reactions
5 Replies
837 Views
Habarini wakuu Daaah kuna binti mmoja nampenda sana ila sasa nashindwa kumtokea maana nimetoka kufahamiana naye kama week mbili hivi zimepita na natamani aje kuwa mama wa watoto wangu changamoto...
5 Reactions
76 Replies
13K Views
Habari wana Jamvi, leo narudi kwenu tena ikiwa ni baada ya miezi 10 kupita toka niachane na binti alieugaragaza moyo wangu hadi kufikia kuishi nae pamoja. Sababu iliyofanya tuachane ilikuwa ni...
5 Reactions
42 Replies
3K Views
2018 Siku moja nilikua bored home, nikajiunga BADOO nikakutana nae. Tukawa friends then Fuc* mates. Maisha yakasonga, nilichompenda yeye alikua hapendi hela na ni mrembo kweliii. Kwenye hela na...
8 Reactions
133 Replies
13K Views
Leo tuangalie upande wa pili kidogo. Tujadili kwa kujenga ili tuone wapi tumekosea ili tujirekebishe, lengo likiwa ni kufunguana mawazo. Mada hii inaweza kuwa msaada mkubwa kwa vijana ambao...
30 Reactions
111 Replies
12K Views
Leo nimeblokiwa na mwanaume nilie mpenda kwa miaka 4, kutokana na kumtumia txt za makasiriko like; “ hueleweki siku hizi”, “umekuwa kero siku hizi”. Sababu za kumtumia txt za makasiriko ni hizi...
45 Reactions
208 Replies
13K Views
Tuliachana mwezi January mwaka 2018, kila mtu aka-move on na yakwake, binafsi niliumia sababu nilimpenda kweli na yeye alinipenda ila kama unavyojua sababu tu za kiufundi za hapa na pale...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Habari Ni kijana 25-27 years Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho. Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi) mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake...
12 Reactions
232 Replies
14K Views
Habari wapendwa Kuna Watu hawaamini kama unaweza kupata mpenzi humu jf lakini mimi nasema hivi wapo wenye nia ya dhati kabisa kwa ajili ya ndoa wa kike na wa kiume Tena wadada warembo kabisa...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa wa JamiiForums Niende moja Kwa moja kwenye mada Hivi karibuni mdogo wenu nimepata mpenzi mpya ila kiasili si Mtanzania mwenzetu ni Mzungu ila anamakazi na biashara zake hapa...
12 Reactions
354 Replies
30K Views
Habari, Hili jambo limenitesa miaka nenda miaka rudi, natamani lifike mwisho. Wakati naingia kwenye mahusiano na huyu ambae ni mume wangu sasa, alikuja binti mmoja ambaye alikuwa ndo kamaliza...
18 Reactions
344 Replies
35K Views
Back
Top Bottom