Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Katika watu ambao nilikua najivunia uplayer na kuchezea wanawake basi mimi ni miongoni mwao.Sina idadi kamili ya wanawake ambao nilishawahi kuwachezea,kumbukumbu zangu hata haisebiki. Mtu mwenye...
8 Reactions
53 Replies
4K Views
Kiukweli wanawake wanakuaga na njaa Sana Jinsi Ahsubui wanavyogombana na watoto wakigombea Upolo Unakuta Mama mtu mzima anawafokea watoto wake kisa ajawekewa Upolo sad Wanawake badilikeni...
1 Reactions
3 Replies
607 Views
Ujumbe wangu huu hauwahusu wanaume wa Tanga wanaoa mabinti wa kitanga naamini wao wanaendana kitabia hivyo sio issue kubwa sana kuishi katika ndoa. Tuje kwetu sisi ambao si wenyeji wa Tanga na...
54 Reactions
227 Replies
45K Views
Nmelala nadaiwa songesha, uku nina pisi moja kali na ndo naitegemea na inanitegemea. Nashtuka zangu usingizini baada ya jana kurudi home saa 7 nikiwa kwa wana tunakula machingwa usku wa manane...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Babu yangu alinisihi kwamba mwanamke ana masikio matatu, mawili juu moja chini, wakati huo mwanaume ana macho matatu na vichwa viwili,.kichwa kidogo kikisimama kikubwa hakifanyi kazi, na macho...
2 Reactions
54 Replies
9K Views
Habarini, nina imani wote ni wazima Mungu anaendelea kutupigania. Nina changamoto naomba ushauri wakuu. Nina demu nipo nae kwa mahusiano lakini hii wiki sasa temekuwa tukipishana ishu nikwamba...
6 Reactions
108 Replies
8K Views
Unyenyekevu na utii wa wanawake walio kwenye ndoa umekua chini ya kiwango himilivu katika ndoa nyingi na hivyo kusababisha waume zao kupata pumziko la amani kwa wale wanawake wanyenyekevu...
3 Reactions
2 Replies
855 Views
Katika hali ya kushangaza,shetani anaonekana kufanikiwa katika eneo hili ili aweze kuziteka familia ama kuzivunja,kwa kuliteka tendo la uzazi. Kwa nini wanawake hawaridhiki siku hizi? Ukiachilia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu leo ilikuwa ni siku ya harusi ya aliekuwa mchungaji wangu. Lakini katka hali ya kushangaza,, Bibi harusi hajaja kwenye ukumbi wa harusi. Yaani sendoff imefanyika kwao jana alafu leo siku...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Huu uzi maalum kwa wale waliooa; tunataka kujua faida mnazozipata baada ya kuoa au tuseme ni kitu gani mnaweza tushawishi sisi ambao hatujaoa tuchukue hatua kama nyinyi, hebu mtupe faida...
9 Reactions
88 Replies
5K Views
Huyu Mwanamke Kama anailewi nimemwambia aniache nifocus na Maisha yangu lakini yeye kutwa kulazimisha yaani hata sielewi anatafta Nini kwangu. Mimi sasahv nataka kukaa single nimemwambia lakin...
2 Reactions
67 Replies
4K Views
Kuna mtu anashida kapata mtoto na mdada ambaye hawajaafikiana kuoana sasa huyo dada anapewa matumizi na huyo kaka na nikwa kila kitu. Sasa huyo kaka ni dhehebu jingine na yeye ni Mkatoliki...
1 Reactions
14 Replies
597 Views
Wallah sitasahau siku moja alfajiri kama hii nilipewa bonge la msonyo ule wa kuandikika! MXIUUU[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji30] [emoji31] Malumbano ya hoja ukichanganya na vichwa...
65 Reactions
399 Replies
45K Views
Ndoa za siku hizi zinakuwa na mambo mengi pengine hata wakati mwingine zinaanguka Kabisa Sasa wakati zinapoanguka inaathiri uchumi hasa wa wanaume kupeleka hata kupata magonjwa ya moyo Sasa...
4 Reactions
15 Replies
871 Views
Wanaume wenzangu naomba tuwaambie wadogo zetu kuwa si kila mwenye jinsia ya kike ni wa kuoa, wanawake wa leo wengi ni vivurunge, wanayo pesa ila wanataka kuwatawala wanaume hivyo kuwa makini ni...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Imefika mahali wanaume wanaume tumekua Kama hatuna akili hivi.tumebaki tunashinda tunalalamika tu bila kuchukua hatua. Yaani wanaume tunamalalamiko Kama wajane vile. Serikali za kimataifa na...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu tumeelewana au Tuongeze nyama?
2 Reactions
11 Replies
623 Views
Ni siku fulani nzuri na tulivu, ikichagizwa na weekend kuingia Moja kwa moja kwenye mada, Ni hivi, ukiwa kama mwanaume halafu ukaletewa malalamiko na Dada yako wa damu yaani tumbo moja. Kuwa...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari? Natafuta mdada wa kazi za nyumbani nipo Dodoma, Familia yangu ni ya watu watatu baba, mama, na mtoto mmoja naomba aliyetayari au anayemfahamu mtu anayehitaji kazi aje pm kwa maongezi zaidi
1 Reactions
4 Replies
544 Views
Back
Top Bottom