Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Salaam sana jf Imekua kawaida kwa hali ilivyo kwa sasa,kila tunakozunguka ktk maisha ya kawaida tunakutana na mijadala na hotuba mbali mbali za kumnyanyua mtoto wa kike ktk masuala kadhaa wa...
13 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia peke yangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja. Shida ni...
15 Reactions
110 Replies
12K Views
Hii ni maktaba nayowaletea kwenu nikijikumbushia mbinu kadhaa nilizowahi kuzifanyia practical. Njia hii ilikuwa ni kwamba ni lazima kuwe na mabinti wawili marafiki, nachofanya nawalinganisha...
2 Reactions
3 Replies
853 Views
Jamani mimi sielewagi shida ni nini, sometimes unaweza pata kijana mzuri tuu na unaona kabisa anatabia njema za kufaa kuwa hata mume/mke lakin mara nying hao ndo tunaowa push away. Mimi...
22 Reactions
549 Replies
31K Views
Heshima yenu nyote wapambanaji wenzangu.Matumaini yangu mmeamka na mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku. Tuje moja kwa moja kwenye mada. Ipo hivi ukitaka kufa masikini kama unafamilia...
14 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba...
87 Reactions
340 Replies
33K Views
Hello wanajamvi, Natumai mko poa kabisa na mnaendelea vema na weekend!! Kwa wale mashabiki wote [simba na yanga] nawatakia ushindi lakini sipendi yoyote afungwe for the sake ya furaha ya marafiki...
10 Reactions
146 Replies
9K Views
Hali zenu? Hii hali ninayo tangu nikiwa form 6. Wasichana niliowahi kutembea nao wote wana ngeu mpaka muda huu, japo sio kubwa ni ndogo ndogo tu, kwenye maeneo kama vile kifua, uso na mapaja...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Kwanini wanawake wakiachika ndio wanaanza kujitunza na kujiweka safi na wanakuwa pisi kali Haswa! Lakini akiwa ndani anavaa kama Anaenda kuuza mbogamboga au ndio Mazoea. Najua wengi hapa...
9 Reactions
53 Replies
3K Views
Huyu ni mwanamke niliye mpenda sana bonge, tipwa tipwa tandamu haswa. Anajoto hatari, nude imejaa (imevimba) Akifika geto muache nusu saa apumzike kwanza, anapenda kususa. Akianza kusaula...
6 Reactions
46 Replies
3K Views
Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao...
18 Reactions
62 Replies
5K Views
Habari wana JF, Kupanga sehemu mpya na kukuta jinsia tofauti na yako kwanini huwa mahusiano yaanze. Ukipanga sehemu mpya unaweza kujizuia kuanzisha mahusiano na mpangaji mwenzio? Nina nyumba ya...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwema watu wa mapenzi? Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University...
40 Reactions
139 Replies
10K Views
Niko somewhere in East africa, wife yuko kilometres kadhaa from me na tumezinguana toka jana,hakuna aliyemtafuta mwenzie leo for sex video,so nimeamua nitafute tu malaya hapa nilipo nijipigie siku...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Hii tabia naona inataka. Kuota mizizi kwa mpenzi wangu, Mara nyingi ninapompigia kumjulia Hali, maana tunaishi mikoa tofauti amekuwa akinijulia kuwa yupo off mood,bila ya kunioa sababu ya msingi...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Wadau habari, Mimi nina jambo linanitatiza sana, sana, sijui nimekua dhaifu au ni vipi. Jamani kuna kipindi nilikuja hapa kuleta uzi wa mm kuwa kwenye mahusiano na Dada mmoja kazini, dada huyu...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wadau. Nimegundua wazazi wengi wakristo wa Tanzania bara wagumu sana kusapot watoto wao nje ya kulipa ada za shule na vyuo. Hata kama wana uwezo Ukiomba mtaji hawakupi ila ukitaka...
4 Reactions
8 Replies
897 Views
Habarini wapenda, Binafsi nafurahi sana kuwa mahali hapa najifunza mnooo. Ila nilikuwa nina ombi. Mtu anapoleta uzi kutaka ushauri au msaada. Tujifunze kuwa na utu kuwaelekeza watu bila...
7 Reactions
13 Replies
663 Views
Wakuu bahari ya mihangaiko ya hapa na pale..na pirika za maisha.. Niende moja kwa moja kwenye swali..hivi inawezekana kurudiana na mpenzi wa zamani na mkawa kama kawaida..hata kama mliachana kwa...
5 Reactions
74 Replies
6K Views
Hodi wakuu! Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru Mungu nilifanikiwa, taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na...
18 Reactions
342 Replies
25K Views
Back
Top Bottom