yapata miezi miwili sasa rafiki yangu watengane na mchumba wake.
chanzo, mgogoro ulianza july mwaka jana mchumba wake alipoombwa waonane akadai yuko bize, akamfata mkoa alipo ili waonane...
Stori ipohivi hapa tulipo kuna kabinti kazuri (22yrs) kamehamia hapa nikatokea kukaelewa nikakapanga kanaeleweka mara hakasomeki na anasema ana mtu wake mimi sikuona shida maana hata mm sina shida...
Naomba nikuulize msomaji huwa una kabiliana vipi na hali Kama hii.
Iko hivi, wakati tunasoma chuo kikuu Kuna wadau inaweza pita ata miezi 3 hamjawahi salimiana sio mna ubaya la hasha.
Wengine...
Jamani naombeni mnisaidie mbinu za kumsau ex
Yaani nilikuwa nimeshamsau kabisa ila cha ajabu leo nimeshangaa amerudi tena katika moyo wangu nimejikuta na mkumbuka na moyo wangu umekosa furaha...
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.
Sasa inapotokea mfano mke wako anafungwa...
Habari wakuu,
Msaada wenu kimawazo. Mama watoto wangu aliniomba hela ya mchango wa harusi kwa baba yake mdogo nikampatia 10,000/- Akaniuliza ndio hii hela ya mchango ulioniachia? Nkamjibu ndio...
Frank ni mtoto wa mwalimu na baba yake alimkazia sana kwenye elimu yeye na ndugu zake. Kwa miaka yote wakiwa shule ya msingi baba yao hakuwahi kwenda kunywa bia bar, alirudi nyumbani na kuoga na...
Huyu ndugu yangu amekuja kwangu kunitembelea, lakini kutwa ni kumzonga mke wangu. Hata mimi hana story zaidi ya kumuongelea mke wangu.
Leo mke wangu ameniambia nikiwa sipo anamwambia eti muda...
Natamani kwenye hii miaka yangu ya 40+, ningekuwa na watoto wawili wenye miaka 20+. Ambao ningeongozana nao, na kuonekana kama mtu na kaka yake. Ingependeza sana.
Sasa mambo yamekuwa tofauti; kwa...
Samahani wanaume wenzangu katika kikao cha mwisho nilichohudhuria tulikubaliana kua ni marufuku kumsomesha mchumba, labda sana sana kumpeleka tu ktk yale mafunzo ya cherehani. Sasa swali langu ni...
Shemej yangu uyu Nadhan kuna siku nilishawahi kumzungumzia humu siku za nyuma[emoji116]
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/41201873
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/41974550...
Habarini za usiku huu wana jamvi,
Kwa Mara ya kwanza nimeamua kuandika Uzi huu kwa tukio ambalo nimelishuhudia mwenyewe usiku huu. Nipo hapa mjini Morogoro kikazi na nimefikia katika lodge moja...
Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha...
Salam! Hali hiyo tu hapo juu ndiyo chanzo kikubwa cha mimi kuzaa na huyu 'jimama'.
Frankly napenda na kuvutiwa sana na wanawake warefu wenye matumbo laini na nyama zinazoning'inia, na kitovu...
Huyu ndugu yangu ambaye kwangu ni kaka, alikapata kadem kakiwa kidato cha nne kakawa kamefaulu ushindi wa kukapeleka vyuo vya kati.
Jamaa akafanya mpango, akakatafutia shule ya private, kidato...
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa na shughuli mbalimbali za kuhakikisha mafuta ya kupikia hayakosi ndani!
Ila hili jambo la baadhi ya wanaume wenzetu kuendekeza zaidi tendo la ndoa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.