Huyu dada rafiki yangu wa muda toka tukiwa chuo. Jana alipenda tuonane tuweze ongea mawili matatu sababu ilikuwa ni weekend. Nilichukuana naye tukawa sehemu tunapata viburudisho then akaomba...
Sijui ni ugonjwa wa phonephobia mazoea wivu wa mapenzi au kutaka attention, Mungu ndo anae jua, ila siku ya leo nime chukua uamuzi mgumu baada ya kufikiria sana ni memuondowa wife kwenye...
Habari za weekend wadau?
Namtafuta mdogo wangu/rafiki yangu Swaumu Juma, tulikutana Morogoro nyumbani kwao, 2020 kipindi anasoma chuo, mie nilikuwa nafanya kazi kwa muda.
Yeye alikuwa anasoma...
Familia nyingi zina watu mizigo.
Ninaposema tabia mizigo ninamaanisha watu wenye tabia ngumu kumeza. Watu ambao wanavumilika tu kwasababu ni ndugu au wazazi lakini kiuhalisia hawafai hawafai...
Kwanza niseme wazi hili ndio tukio lililochukua muda mchache zaidi kuliko vile nilivyotegemea kuwa,
Kwanza Zero na dressing code zangu,"wengine waliita za kinyalu" Nimetinga ukweni na kumkuta...
Habarini wakuu naimani wote niwazima mungu nimwema anaendelea kutupigania
Naomba niende moja kwa moja kwenye jambo langu. Niko na mahusiano na mwanamke mmoja ambaye mahusiano yanaenda miezi...
Muhimu: watoto wa kiume wanaozungumziwa ni wale ambao wapo sana na mama zao, achana na wale ambao wana lelewa na single mothers ila wana farher figures au wana kampani kubwa ya wajomba au hata...
Salaam!
Tupo room muda huu na mpenzi wangu, analia hapa na kajilaza. Sababu kuu ni kuwa nimekataa ani massage. Alitaka anifanyie ya mwili mzima, yaani nilale kifudi fudi aone makalio yangu...
Wasalaam
Nilikuwa na manzi wangu nikiishi Ubungo Riverside by then, yeye akiishi Mbezi Kimara. Alikuja kunivuruga na chanzo kikiwa ni issue za kutoaminiana, aliniomba msamaha lakini nilikuwa...
Vidume wenzangu punguzeni huruma kwa wake au wapenzi wenu mnapokuwa kwenye mahaba.
Hawa viumbe wamapenda kupigwa paipu za maana si mnaona wenyewe wanavyo tutukana humu jamvini?
Wakitoka nje...
Kuna msemo usemao dalili ya mawingu ni mvua.
Sasa hebu tuambiane ukweli, pale unapogundua kuna dalili za kuachwa mpenzi wako au kuchokwa -- huwa unachukua hatua gani?
Panya Road nia zao mbaya ni pamoja na kuiba, kupora, kusumbua jamii na kuuwa. lakini panya road wanafanya hivyo kwa direct way. yani watakuwa presentable kwa kile kibaya wanachofanya...
Habarini wana jamvi kwanza nafurahi siku ya leo nimerejea tena JF baada ya kutoweka kwa miaka 5 na kupoteza Acc yangu ya mwanzo.
Nije kwenye mada husika, katika kipindi hiki nimekua nikiona...
Hapa ndio utajua anayejua baba wa mtoto ni mama na ndio maana tukasema nani km mama maana mama hazingiziwi mimba wala mtoto ila baba wengi wanalea watoto sio wao.
Mgawanyo wa majukumu huo, Mmoja...
Siku za karibuni kumeibuka kampeni isiyo rasmi inayoelekea kuwageuza wanawake wote wasio na upeo wa kuelewa mambo kuwa makahaba. Siku hizi imekuwa kawaida kukuta mijadala ya kuaminisha wanawake...
Baada ya muda mrefu kupita leo niko njiani naelekea ukweni kuonana na baba mkwe kwa mara ya kwanza ili kujitambulisha na kujuana nae.
Naombeni mnipe info kipi cha kuzingatia punde tu...
Pretty nyarwanda girl told me once that it is big pleasure for man to make her ejaculate and she can ejaculate a lot of vaginal fluids ,and she can spray like urination.
It is there culture in...
Mmependana na mtu amekua mpenzi wako na mnaenjoy life. Mmechukua hatua ya Imani mmekua mke na mme na maisha yanasonga Kwa amani na furaha.
Ghafla mambo yanachange, mmoja anaanza drama na...
Hilo neno linanitatiza sana,maana najua mahusiano ni mapatano ya mwanamke na mwanamke,kujamiiana ni makubaliano ya wote wawili.
Kwanini wanawake wawe na neno la kutumiwa?
Nisaidieni
Habari wakuu,
Nimekuja kwenu kutaka ushauri kuna dada hapa mtaani kwetu aliamia ni kama miezi miwili ilipta ni mzuri kiukweli na sikuwahi kumuona dume linakuja kwake hivyo hisia zikanambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.