Wakuu natumaini hamjambo naomba ushauri nichukue maamuzi gani
Kuna binti amezoea kunipiga vizinga ilhali sina mahusiano nae ni ile tu kujuana kishikaji, mbaya zaidi anakuingizia uongo ambao muda...
Katika utafiti mdogo nilioufanya kwa warembo wakali saba, nimekuja kugundua; mwanaume anayeweza kulipa 'bill' pamoja na kuwa na uwezo wa kulizungusha gurudumu vizuri; ndio hupendwa zaidi na...
Yule mwanamke bana pamoja na kwamba mchumba ake anapita kwenye tanuru la moto, lakini ameamua kusimama upande wa Sabaya.
Kuna haya mashankupe ya mjini sasa,jitu uko nalo kwenye mahusiano...
Habarini!.
Kuna mdau humu amenishtusha na uzi wake, analalamika kuwa alilipata jimama akawa analihonga elfu tano kila siku ya matapu tapu.
Sasa nikawa najiuliza hii imekaaje?
Nikaona nisiache...
Kila mtu hapa ulimwenguni ameumbwa na sifa tofauti tofauti. Kuna wengine wameumbwa na tabia za kuridhisha na wengine wameumbwa na tabia ambazo hazifurahishi. Hii pia inajitokeza katika wanawake...
Habarini za wakati huu wadau na Wana JF....
Natumai mko vyema.
Naomba nieleze kisa kimoja au viwili na ambacho kimenifanya niandike hili.
Miaka kama 8 kadhaa iliyopita nikiwa Masomoni mkoa...
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado...
Habari ako mwanajamii mwezangu , pia pole na majukumu yako.
Wiki kama 2 au 3 zilizopita niliandaa uzi mmoja unaohusu mm na mpenzi wangu , kwa wale wanaofatilia uzi wangu uliopita watakuwa...
Hii ni real story:
Una ka small house, unakagharimia kila kitu kodi, chakula, umeme, maji mpaka usalama umemwekea Knight Support na biashara nzuri tu umemfungulia na gari juu(Harrier).
Huyo bi...
Wapendwa wa Jamii Forums,
Nawasalimuni nyote! Kisha napenda kuwashirikisha jambo langu. Sina mambo mengi. Kwanza kabisa, WANAUME wenzangu hii haiwahusu kabisa. Labda kama unamjua mwanamke wa...
Wikiend iliyopita, nilikuwa nimejichokea kiaina; nikaona bora niende zangu 'club' moja ya karibu angalau nipate kinywaji kidogo, huku nikiburudika na mziki pamoja na kuosha macho kwa watoto...
Don Williams
"I've Been Loved By The Best" lyrics
Darling, if you ever leave me
Well, I'll just put my heart away
I couldn't love again, believe me
No one could please me anyway
And if another...
Wana MMU kwema?
Kuna jambo limenitatiza nikafanya maamuzi ila likanilazimu nililete hapa nione ushauri wenu.
Ni ivi kuna kijana mmoja tunafahamiana kwa mda mrefu ni just a friend ananiheshimu...
Mazee Tuelewe kwamba One thing everybody is capable of cheating
.
Kwa Maana KAmBa What u see happening in the office and at the workplace with ur female colleagues is what happens at ur wives'...
Si kwa muktadha wa kimapenzi ama hisia za kufikirika, zile tamanifu zenye kuleta mvuto wa hisia za mahusiano ya kingono... Zile za kusema you stole my heart - umeiba moyo wangu....!
Haya ni...
Nawasalimu wa jina la YESU, jina kuu kupita majina yote. Jina langu ninaitwa Theoflida , ni mwanamke mwenye umri wa miaka 38 mkaazi wa Mbezi ya Kimara jijini Dar Es...
Habari wandugu,
Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.
Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada...
Habarini Wadau,
Huyu ni Sheikh ninayemkubali sana kwani hana Unafiki.
Pia hana muda wa kuendekeza chuki kwa wasio waislam.
Pia yupo wazi kuelezea hisia zake kwa aina ya Wanawake anaowahitaji...
"Niliwahi kuwa katika Mahusiano na binti flani ambae nilidumu nae katika mahusiano kwa mwaka mmoja na nusu.
Sasa baada ya miezi 7 ya mahusiano kuna siku huyo binti aliniambia ana mimba, kwa kweli...
Tafsiri yake ni kufanya ngono, wengine wanaita tendo la ndoa.
Sio kukutana kiroho ni kimwili, makutano ya kiroho ni huru na hayana mipaka.
Hisia za matamanio ya kingono hayakamiliki bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.