Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu
Ndugu zangu hongereni kwa kumaliza mwezi mtukufu wa ramadhan na kusherehekea sikukuu kuanzia juzi Jana na leo yote tunasema mungu ndo mjuzi wa yote...
Yeyote anayekunyima furaha, piga chini.
Maisha haya ni mafupi, haijalishi utaishi miaka 100 au 200; bado tutasema maisha ni mafupi tu, ikiwa na maana hapa duniani tunapita.
Hakuna haja ya kuwa...
Wanajamvi kwema?
Kutokana na maudhi ya wife ya mimba. Nikajikuta nimezoeana na mdogo wa wife. Huyu dogo ana rafiki zake wawili mapacha.
So, kwa kuwa wife yupo kwao kwa likizo ya week 2...
Hili ni tusi la kiutu uzima. Ingawa dada huyu alikuwa anaongea kama utani lakini she was making alot of sense.
Ni hivi tulikuwa kwenye kikao cha harusi bar. Akapita jamaa AKASEMA anauza Dawa ya...
Habarini wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Yani hawa wanawake wa hivi wanakuwaga wagumu sana kufika Kilimanjaro sababu kwanza wanamaumivu makubwa ya mapenzi.
Pia wengi wao ni masingle mama...
Habarini wakubwa,
Niende kwenye mada moja kwa moja
Kwanza mtanisamehe kwakuwa Mimi sio mwandishi nzuri.
Mimi ni kijana mnaefanya huduma kwenye taasisi Fulani kubwa tu inayojihusisha na utatuzi...
Habari za mwisho wa mwaka.
Bandugu huu si uchonganishi ila ni dhamira tu ya kukufanya uishi kwa akili na watu wanaokuzunguka na hasa marafiki. Kwa utafiti niliofanya kulingana na matukio...
Nlisema ntaacha kukula makahaba lakini pombe sitaacha. Shida tu kulewa nayo inakujanga na majaribio yake. Wiki mbili iliopita nimeingia sehemu fulani hapa Tanga kuona mpira kumbe ni danguro ya...
Asalaam aleykum..
Kristu..
Bwana yesu asifiwe
Kutokana na maendeleo ya utandawazi karne hii imekuwa ni kawaida watu kutafuta wenza au marafiki kupitia hasa mitandao ya kijamii,kwa zaman kidogo...
Wakuu Kuna church girl Mmoja alinikazia kabisa ati lazima niokoke nimuoe ndio nimnyanjue.
Kumbe chini ya maji alikuwa anapigwa miti na wadosi at her place of employment.
Na vile alikuwanga soft...
[emoji28][emoji28] kuna mabinti wengine akili zao sijui zipoje.
Mwaka 2017 nlikua nadate na binti flani enzi hizo alikua bado mbichi kabisa miaka 18, siku namwambia tukutane kaniambia niandae...
Habari za mchana ndugu zangu,
Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.
Mume akadai chumba...
Kama inavyosomeka hapo juu,
Nimekuwa na mahusiano na kaka mmoja kwa miezi mitatu, lakini cha kushangaza alikuwa haniombi mchezo, nikawa najiuliza huyu kaka miezi mitatu sijawahi kusikia hata...
Salaam binafsi sijawahi kupigwa na msichana achilia mbali demu wangu, je, katika maisha yako imewahi kukutokea ukapigwa na msichana katika ugomvi? Ilikuwaje?
Funguka japokuwa ni aibu!
Hali nchini Tanzania imekuwa mbaya mno Wasimbe wanaongezeka kila kukicha kwa mujibu wa takwimu zilizofanywa huko Africa Kusini katika kila wanawake 10 wasimbe ni 7.
Bado haijajulikana shida hasa...
Mko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia...
Kitu ushawahi Fanya Maishani mwako na wala Haijawahi kujuta hata kidogo.
1. Sijawahi kujuta kuacha Advance japo watu walionizunguka waliona kama nimepoteza direction ya Maisha ila leo Hii Niko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.